Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama Lubuva ambaye ni Mke wa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji mstaafu Damian
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Peniel Lyimo (kulia) akibadilishana mawazo
na Jaji Mkwawa (kulia) pamoja Msajili wa vyama vya siasa nchini John
Tendwa katika hafla hiyo ya kuambishwa viongozi watakaoiongoza Tume ya
Uchaguzi ya Taifa (NEC)
No comments:
Post a Comment