Pages
(Move to ...)
▼
Pages
(Move to ...)
▼
Friday, January 27, 2012
TWIGA STARS WAWAKUNG'UTA WABUNGE 2-1
Mchezaji wa timu ya Bunge, Sadifa Juma akimtoka Fatuma Haibu wa Twiga Stars katika mchezo wa kirafiki jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambapo Wabunge waliichangia Twiga, sh. mil 3. Katika mchezo huo Twiga ilishinda mabao 2-1.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment