Pages

Pages

Wednesday, July 18, 2012

MATUKIO YA AJALI YA KUZAMA KWA BOTI YA SEAGULL KATIKA PICHA

 Askari wa Jeshi wakibeba miili ya watu waliokufa katika ajali hiyo ya Boti ya Seagull ya kuzama Baharini, wakihifadhi katika Bandari ya Zanzibar.
 Sehemu ya wananchi waliojitokeza kushudia ajali hiyo na kuhakiki ndugu jamaa na marafiki, wakiwa katika Bandari ya Zanzibar.
 Miili ya waliokufa katika ajali hiyo, ikibebwa baada ya kuopolewa majini.
 Askari wakijipanga upokea maiti waliokuwa wakishushwa katika Boti za uokoaji.
 Wanahabari wakihojiana na mtoa taarifa.

No comments:

Post a Comment