Pages

Pages

Thursday, July 11, 2013

JOYCE KIRIA AFIWA NA BABA YAKE MZAZI

  Jana ni siku nyingine ya Historia kwenye maisha yangu baada ya baba yangu Michael Francis Iwambo Kiria wa kibosho dakau nganyeni kufariki huko mkoani Tanga ambako alikuwa akiishi. Kesho ni safari ya kuelekea moshi kwa ajili ya taratibu za mazishi.

No comments:

Post a Comment