MR.BLUE ATOROKA HOTELI HOTELINI KUKWEPA DENI LA ELFU 40
  
 Kupitia U 
heard ya clouds fm hapo jana, inasemekana msanii Mr Blue amrubuni mfanya  usafi wa 
hoteli inayoitwa Chriss, iliyoko Tarime, baada ya kuzuiwa kwa  mabegi 
yake kwa kushindwa kulipa deni la shilingi elfu 40,000.
 inasemekana Mr 
Blue aliamua kucheza dili na mfanya usafi ili aende  akamtolee mabegi 
yake na kumpa mtonyo kidogo, ambae alifanya hivyo na  Blue kufanikiwa 
kuondoka bila kulipa deni hilo, kitu kilichosababisha  mfanya usafi huyo
 kufukuzwa 
 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment