Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, September 25, 2011

BASTOLA YA RAGE YAMTIA MATATANI TENA

Mbunge wa Tabora Mjini,Ismail Aden Rage akiwa na bastola kiunoni wakati akielekea kupanda jukwaani kuzungumza na wananchi wa Kijiji cha Igurubi kwenye mkutano wa CCM wa kampeni za uchaguzi mdogo Jimbo la Igunga jana.Picha na Ray Naluyaga.
Duru za habari zinasema jeshi la polisi limeanza kumuhoji huku vyama vya upinzani vikipinga vikali kitendo cha mbunge huyo kwenda kinyume na taratibu za tume ya uchaguzi kwani kwani hajui ni marufuku?.ni kosa raia wa kawaida kuonyesha bastola hadharani kwani inaweza kuhatarisha usalama na utulivu.
Miaka kadhaa iliyopita Rage aliwahi kufungwa kwa tuhuma kadhaaa.je tuhuma hii aiwezi kumrudha tena lupango?.


MISS TOURISM MARA 2011 HIYOOOO..!!

Hatimaye lile shindano la kumsaka mlimbwende wa mkoa wa Mara katika maswala ya utalii, litafanyika Ijumaa ya tarehe 07/10/2011, katika ukumbi wa Bwalo la Magereza mjini Musoma, ambapo takriban warembo 15 watapanda jukwaa moja kuchuana kumpata muakilishi wa mkoa katika mashindano yan Miss Tourism Lake Zone yatakayofanyika baadae mwezi december. Kampuni ya Stoppers Entertainment inayoandaa mashindano hayo, imejipanga kuyapa hadhi mashindano hayo ambapo warembo mbali na kupita jukwaani, watashiriki katika shughuli za kijamii, kuimba na kucheza ngoma za makabila ya mkoa wa Mara. Hata hivyo waandaji wamewaomba wadhamini kuendelea kujitokeza kudhamini shindano hilo, kutokana na kugusa utalii, utamaduni na uchumi wa nchi yetu, yote kwa minaajili ya kuitangaza Tanzania.
Shindano la Miss Tourism Mara 2011, litasindikizwa na burudani kutoka kwa  Ditto na Linah wote kutoka jumba la vipaji THT. Pia burudani za ngoma za asili zitakuwepo.


        MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA

Pata picha mama mjamzito akipata uchungu na hospitali iko maili kadhaa kwa usafiri huu...


JUSTIN BIEBER NI MFALME WA SELENA GOMEZ

Seriously, Justin Bieber is the perfect guy!
The Biebs is currently on the west coast and was spotted with his boo Selena Gomez as they kicked off their weekend with a cuddle sesh on the beach.



ZANZIBAR COUPLE’S RETREAT – TASTE OF LOVE
(2 NIGHTS / 3 DAYS)
Friday 14th October 2011 to Sunday 16th October 2011
JCCE TOURS & SAFARIS CO., LTD
Inapenda kuwataarifu kuwa imeandaa retreat maalum kwa wapenzi kuanzia siku ya Nyerere Ijumaa tarehe 14 Oktoba 2011 mpaka Jumapili tarehe 16 Oktoba 2011 katika hoteli maarufu hapo Stone Town ZANZIBAR BEACH RESORT.
Retreat hii ni siku tatu na ambapo wapenzi watapata fursa ya kujumuika pamoja na kutembelea baadhi ya vivutio mjini Zanzibar. Gharama yake ni US $ 550 kwa wapenzi (watu wawili) ambayo kila kitu kimelipiwa.

Kwa maelezo zaidi na kujiandikisha tafadhali wasiliana nasi kupitia simu namba +255 783 600 304 au tuandikie kupitia enquiries.jccetz@gmail.com / jccetz_tours_safaris@yahoo.com Pia unaweza kutufuata Twitter @JCCE_TOURS_TANZ au kutembelea page yetu Facebook JCCE TOURS & SAFARIS CO., LTD
Mwisho wa kujiandikisha ni Oktoba 8 2011, Saa 5 asubuhi
© JCCE TOURS & SAFARIS CO., LTD 2011

PACKAGE INAJUMUISHA / INCLUDES:

Malazi / Accommodation on Half Board Basis (Superior Rooms) for 2 Nights
Usafiri wa Ndege (Njia Moja) / One way Flight Ticket
Usafiri wa Boat (Njia Moja) / One way Boat Ticket
Kutembezwa Stone Town / Guided Tour of World Heritage Stone Town
Kutembezwa Prison Island / Guided Tour of Prison Island
Chupa ya Mvinyo / Bottle of Wine and fruit platter
Candle Lit Dinner by the pool side
Zawadi Maalum kwa wapenzi / Special Gift for the Couple

Saturday, September 24, 2011

WATANZANIA WASHINDA SOUTH AFRICA

TIMU ya Tanzania inayoshiriki kwa mara ya kwanza kwenye mashindano ya kujibu maswali na kupiga mipira yanayojulikana kama Guinness Mpira Changamoto yanayoendelea huko
Johannesburg Afrika Kusini, wamefanya kufuru isiyotegemewa baada ya kuongoza katika hatua ya tano hapo juzi.

Lukuba ambaye tuliwasiliana naye moja kwa
moja jana alisema ndoto ya washiriki wa Kitanzania ni kuendela kuvuta pesa ili kuubwaga umasikini na kuwatoa nishai wenzao wa Kenya
na Uganda ambao wamekuwa wakiwabeza kabla ya mashindano kuanza. Changamoto hiyo ya Guinness itaoneshwa na televisheni inayopendwa na watazamaji wengi nchini, ITV kwa wiki nane mfululizo. Washindi wa hatua zote nane watajiunga na wanasoka wannne waliostafu soka katika onyesho ambalo pia litashirikisha



MADEREVA WAGOMEA TOCHI ZA USALAMA MBEYA
Madereva wa Mabasi na Matrafiki katika Stand kuu - Mbeya. 
Tukio la Madereva wa Mabasi ya masafa marefu kutoka Mbeya kugoma kuendesha mabasi yao kwa kulalamikia 'TOCHI' nyingi barabarani limenishangaza sana, kwa faida ya wasioelewa, TOCHI ni Kamera za usalama barabarani zinazotumiwa na Matrafiki kuangalia magari yanayokwenda mwendo wa kasi katika eneo ambalo hawastahili kwenda mwendo huo.

Model
Aisha hssan

REDDS MISS ILALA KANDA BORA 2011
Salha Israel " queen of Tezee"
  Ndiyo kanda lyomtoa mrembo  SALHA ISRAEL Miss Tanzania 2011.Hongera sana J.KALIKUMTIMA.

Friday, September 23, 2011

AJALI YA ROLI YAAUWA WATU WATATU MBALIZI-MBEYA
Polisi wakiangalia gari aina ya roli lenye namba IT.9518, lililopata ajali baada ya kugongana na gari jingine na hivyo kupinduka na kusababisha vifo vya watu watatu watembea kwa miguu na kuvunja nyumba


LIYUMBA YUKO HURU
Habari za uhakika tulizo nazo  ni kwamba, aliyekuwa Kibosile wa Benki Kuu ya Tanzania 'BOT', Amatus Liyumba leo majira ya saa 4: 45 asubuhi ameachiwa huru, baada ya kukamilisha kifungo chake cha miaka miwili alichokuwa amefungwa katika Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam akidaiwa kutumia vibaya mali ya Umma juu ya ujenzi wa magorofa pacha ya Benki hiyo yaliyopo Posta jijini, Dar.


TOP PICS OF A WEEK
 
LIGHTNESS MODEL


GARI YA MIAKA 60 YATEMBEA MPAKA LEO
Mzee Saidi ni mwanajeshi mstaafu ambae anamiliki gari aina ta peugeot ambayo ilinunuliwa na marehemu baba yake kipindi anasoma shule ya msingi,gari hii inatumia mafuta kidogo mithili ya chemli wala haijawahi kushushwa gear box wala injini iko bomba tu.
Mzee Saidi aliwahi kuwa dereva wa viongozi mashuhuri nchini kwetu kama Marehemu Kawawa,Jaji Jeseph Warioba na mh Kingunge kwa mujibu wa maelezo yake.
    Jinsi ilivyo kwa ndani hivi sasa.
Inatumia mchuzi juu tanki la mafuta is dead...
Hili ndilo komeo la mlango wa gari hilo."wafaransa waliwahi kunifuata na kuniomba gari hili waliweke kwenye makumbusho ncnini kwao nikakataa kwani ni kitu cha kujivunia katika maisha yangu niliachiwa na marehemu baba yangu,japo nna magari ya kifahari hili ni kipenzi changu" aliongea mzee Said.

Wednesday, September 21, 2011

URAFI WA MWASITI UKO KWENYE KEKI..!!

 Utu na usupastaa wa Mwasiti(msanii wa kizazi kipya)unamtoka kabisa pale anapoona keki,hivyo hufanya maarifa ili afaidi zaidi keki hiyo kama alivyokutwa na kamera yetu Msanii huyo alikuwa anazunguka mashariki magharibi,kusini kaskazini na vipande vya keki katika holini maeneo ya block 41 mwishoni wa wiki iliyopita ambapo kulikuwa na suprize birthday party ya mmoja ya wana THT angali siku hiyo kulikuwa na hafla ya kuwapongeza wanafunzi waliohitimu kidato cha nne.
Muda mwingi Mwasiti alioneka na vipande vya keki visivyooisha kikiisha anachomoka na kingine na kuna wakati ilimbidi kupanga foleni na madansa hao wa THT kusubiri mgao wa mara kwa wa keki hiyo,hakutaka kuachia vipande hivyo mpaka tunaondoka maeneo hayo Mwasiti alikuwa akitafunatafuna tu.
 Mwasiti kawa sharogal sikuizi "usinishike... meeeen"
    Nani hakujua Linah ni mrefu..?
      Alexia
Mateja 20 na vimwana..


LONDON FASHION WEEK
UK singer Eliza Doolittle has been a busy little bee during London Fashion week, flitting from show to show and changing outfits faster than Superman!

Tuesday, September 20, 2011

WASANII WAFUMWA WAKIFANYA KITU MBAYA

 Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya(bongo flava) Ally Timbulo (Timbulo) amefumwa akifanya kitu mbaya na msanii chipukizi wa filamu Isabela Francis(Vai wa ukweli),tukio hili lilitokea juzi usiku wa manane maeneo ya Ilala ambapo kamera yetu ilinasua uhondo huo.
 Pia kuna tetesi kuwa Timbulo ana uhusiano wa kimahaba na Msanii wa kuigiza Jackline wa chuzi,Msanii huyu anatamba na kibao cha 'Domo langu zito' amekuja kwa kasi upande wa mabinti kwani mwezi uliopita ilivuma kuwa  anatoka na Shilole.
     Dozee dozee...dar by night....

SEAN KINGSTONE ALILIA SAA YAKE

Baada ya kufanya bonge la performance pande za Lugogo cricket oval,Sean Kingston alishuka kwenye stage na kuitwa tena na MC of the night,Dave Kazoora na Kazoora kuanza kumfagilia Sean Kingston kwa show kali ya nguvulakini alifunguka zaidi kwa kuomba saa yake na kudai kuwa international artist yoyote anayekuja Uganda,huwa wanabadilishana vitu coz alivyokuja R Kelly hajakuwepo na kwa sasa itabidi arekebishe

Sean Kingston kwanza alishangaa mwisho wa siku akavua saa kumpa MC na yeye kuvaa ya MC na kushuka kwenye stage

Lakini Backstage,Sean Kingston alikomaa kudai saa yake kwa waandaaji akidai kuwa MC alimdanganya eti International artist wote wakija hubadilishana vitu na wao na pia kwa kua alikua mbele ya fans wake asingeweza kukataa na mwisho wa siku ilibidi MC Kazoora kurudisha saa ya Sean Kingston kabla hajaondoka Uganda fna baadaye MC Kazoora alitupia kwenye Facebook account akifunguka ilikua ni utani tu na wala yeye si tapeli na wala siyo njia nzuri ya kuomba vitu na wala asionekane wa ajabu


AMBER ROSE ATEMBELEA GHANA

Amber Rose is an international superstar and she's in the motherland to feed the children.
The Behind The Shades vixen hopped on a plane and headed to Ghana and once she arrived, she was greeted by the guys of the village.



BIRTHDAY YA ANGELA SIMMONS MIAMI BEACH




Angela Simmons
Angela Simmons showed off her incredible figure in a white bikini during her latest trip to Miami Beach.
Angela has been celebrating her 24th birthday all weekend long, leading to one of her friends asking, how many times are we going to celebrate Angela's birthday?!