Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Saturday, October 29, 2011

MBWANA MATUMLA NA FRANCIS MIYEYUSHO KUZICHAPA KESHO

Francis Miyayusho (kushoto) na Mbwana Matumla wakitunishiana misuri leo baada ya kupima
Mbwana Matumla akipima uzito leo.
 

APIGWA SHOKA KICHWANI NA MAJAMBAZI HUKO TABATA

Wadau picha hizi zinatisha lakini mtuwie radhi kwani ndiyo hali halisi iliyotokea usiku wa kuamkia leo huko Tabata na hakuna mtu anayeweza kuvumilia maovu haya yanaofanywa na watu wasiokuwa na utu. Leo saa 12 asubuhi hospitali ya taifa Muhimbili imempokea mgonjwa anayeitwa Mussa Shabani(42) akiwa na shoka iliyonasa kichwani
(kama picha inavyooneka hapo chini).
Bwana Mussa ni mlinzi katika nyumba ya Joseph Mwakyusa huko Tabata. Majambazi yalipofika nyumbani kwa bawana
Mwakyusa yalimjeruhi
kwa shoka bwana mussa na, wakati majambazi yaliyovamia nyumba ya Mwakyusa yakiendelea kufungua spea za gari aina ya Toyota verosa. kwa bahati nzuri bwana Mwakyusa alishtuka
na ndipo
majambazi hayo yalipokimbia na kutoweka yakimuacha mussa katika hali mbaya na shoka ikiwa imenasa kichwani.
Madaktari wa taasisi ya tiba ya mifupa MOI walifanya kazi ya ziada kuitoa shoka hiyo na sasa Mussa yupo chumba cha wagonjwa
mahututi. bwana.
Jumaa Almasi afisa uhusiano mkuu wa MOI amethibitisha tukio hilo na kusema ''Ni kweli bwana Mussa amepokelewa hapa MOI akiwa na shoka iliyonasia
kichwani mwake lakini madaktari wamemfanyia upasuaji na kuitoa na sasa hivi yupo chumba cha wagonjwa mahututi''

Madaktari wakiendelea kumfanyia upasuaji Bw Mussa.

 KERI HILSON ASHAMBULIWA NA MASHABIKI STEJINI

During Keri Hilson’s ” No Boyz Allowed” tour, she hit Paris for her last concert and was attacked a crazy male fan. He rushed on the stage during her last song of the night and snatched her right on up. Security came to the stage and pulled him off Keri seconds later.
Check out the video below. Start at the 2:15 mark.

Friday, October 28, 2011

VIDEO MPYA RIHANNA UTATA MTUPU

Riri is no stranger to controversy when it comes to her music videos. This year alone, her racy ‘S&M’ video was seen as too hot for television and famed photographer Dave LaChapelle sued her (and settled out of court) for allegedly stealing his ideas and ‘Man Down’ was criticized because the video showed a sexually assaulted Rihanna shooting the man who abused her. Now, her latest video for ‘We Found Love’ has offended the Rape Crisis Center who say that she portrayed herself as “an object to be possessed by men.”



MAPACHA WALIOUNGANA WATENGANISHWA


 Growing up, twin sisters Nicole and Jill Carty had a lot in common.
 But around the age of 14, Nicole Carty told ABC News today, they started going in different directions — and they never stopped, with Nicole Carty attending Brown University for a degree in sociology and Jill Carty heading to the University of Pennsylvania to pursue degrees in international business and studies.
 Now with the Occupy Wall Street movement more than a month old, the recent Ivy League graduates have found themselves on Wall Street but on opposing sides.
 Nicole Carty, who works for a television station, spends her free time in Zuccotti Park, Occupy Wall Street’s headquarters, organizing general assembly meetings for the demonstrators.


 Jill Carty works for a company that assists financial service clients. She said although she agreed with some of the protesters’ sentiments, she did not support more government regulations and intervention.


NEW VIDEO TREY SONGZ FEAT T-PAIN "THE WAY U MMOVE
For the love of strippers…

Ne-Yo along with Trey Songz and the King of auto tune T-Pain hit up ATL’s  Diamonds Gentlemen’s Club for Ne-Yo’s latest video, ‘The Way You Move’. The trio filmed the video for the laid back track earlier this month and Ne-Yo is letting fans decide whether or not it should make his fifth studio album “The Cracks In Mr. Perfect.”

Thursday, October 27, 2011

SALHA ISRAEL APETA MISS WORLD 2011

Salha Izrael, Miss Tanzania 2011 akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la Dunia. Hapa wakiwa Scotland.

WABUNGE WATWANGANA BUNGENI ITALIA
Anger: He gets his opponent by the throat as other politicians jump in
Anger: FLI deputy leader Claudio Barbaro, left, grabs Lega Nord's Fabio Rainieri, far right, by the throat as other politicians jump in
Boiling point: As Italy stands on the financial brink FLI deputy leader Claudio Barbaro, left, screams and goes for and Lega Nord's Fabio Rainieri, far right, through a sea of police
Boiling point: Barbaro, left, screams and goes for Rainieri, far right, through a sea of police
Hands-off! Rainieri, after being partially strangled, grabs the arms of Barbaro to defend himself
Hands-off! Rainieri, after being partially strangled, grabs the arms of Barbaro to defend himself
Broken-up: Deputy Speaker Rosy Bindi suspended the sitting for several minutes after the fight, apparently caused by comments on television
Broken-up: Deputy Speaker Rosy Bindi suspended the sitting for several minutes after the fight, apparently caused by comments on television.

MKAZI WA KAWE AJINYONGA NA KUFA KWA KILE KILICHODAIWA KUWA NA MFARAKANO NA MKEWE.

Marehemu Barnabas akining'inia mara baada ya kujinyonga na kitambaa mapema leo asubuhi nyumbani kwake.
Mwili wa Marehemu Baranabas ukitolewa nje na askari wa kituo cha kawe huku umati mkubwa wa watu ukilishuhudia tukio hilo la kuhudhunisha.
Mwili wa Marehemu Baranabas ukitolewa nje na askari wa kituo cha kawe huku umati mkubwa wa watu ukilishuhudia tukio hilo la kuhudhunisha.
askari wa kituo cha Kawe wakiupakiza mwili wa Marehemu Barnabas kwenye gari ya polisi kwa uchunguzi zaidi.

Wednesday, October 26, 2011

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI AUSTRALIA

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa watanzania waishio Australia Asimwe Kabunga katika mkutano unaowajumuisha watanzania waishio Australia okt,26-2011. Rais Jakaya Kikwete pamoja wanajumuia ya watanzania wanaoishi Australia wamezungumzia masuala mbalimbali ya maendeleo.
Picha ya pamoja ya wanajumuia wa kike wanaoishi Australia pamoja na Mke wa Rais na Mama Salma Kikwete baada ya kuamlizika mkutano wa Rais Kikwete na Watanzania wanaoishi Australia.
Mama Salma Kikwete akisalimiana na mmoja wa wanajumuia.


DRAKE NA NICOLE SCHERZINGER WAFUMWA BENETI
Drake and Nicole Scherzinger were both spotted at popular West Hollywood restaurant Cecconi last night and both were doing their best to dodge the waiting paparazzi.
Nicole is now a sexy single lady, having recently split with her boyfriend of 4 years, Formula One driver Lewis Hamilton.


 MIAKA 50 YA WIZARA YA FEDHA
Kikundi cha Ngurumo Culture group cha mjini Bagamoyo kikitumbuiza katika maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa upande wa Wizara ya Fedha jana katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam.
Kikundi cha Makirikiri (DIKAKAPA)kutoka Botswana kikitumbuiza katika maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa upande wa Wizara ya Fedha jana katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam.(bukuku

CLARA ELIAS APATA SHAVU KWENYE BLOG

  Clara Elias,moja ya warembo waliopata shavu la kuuza sura katika blog bana yetu,hivi punde utamuona hapo juu.
  Mbali hayo mrwembo huyu ana umri wa miaka 21,anapendelea ndizi nyama na kinywaji laini,ana elimu ya Diploma pia hupendelea kusikiliza muziki,kucheki movie na kuchati na watu mbalimbali.


PENZI LA JENNIFER HUDSON NA DAVID OTUGA VIPANDE VIPANDE

Say it ain't so! Rumors are circulating that Hollywood couple Jennifer Hudson and David Otunga are splitting!

The duo has been engaged for 3 years and have a 2-year-old son together named David Otunga Jr., but unfortunately things between the two may have hit a rough patch.

FRANCIS MIYAYUSHO NA MBWANA MATUMLA WATAMBIANA MPAMBANO JUMAPILI

Bondia Fransic Miyayusho (kushoto) na Mbwana Matumla wakitunishiana misuri mbele ya waandishi wa habari katikati ni Mohamedi Bawaziri mratibu wa mpambano huo


PENZI LA DRAKE NA MS CAT LASAMBALATIKA TENA
Just when I thought I heard it all when it comes to Drizzy and his boo pieces…

Ms Cat aka Cat Washington from Bad Girls Club 5 made a pit stop by Philly’s new Hot 107.9 recently for an interview with radio host Q Deezy and spilled the tea on her relationship with Drake. According to Ms. Cat, she met Drake on the set of the ‘Best I Ever Had’ video and she moved in with him months later. She dished on why she decided to leave Drake after a year and a half and she also revealed that Drake is working with something in the bedroom. Peep the excerpt below.

HIVI NDIVYO AJALI YA BASI LA DELUX ILIVYOTOKEA JANA


Wananchi na polisi wakiangalia mabaki ya basi hilo baada ya kuteketea kabisa kwa moto.
Mmoja wa watu waliokuwa wakitoa mabaki ya miili ya watu walioteketea kwa moto akiendelea na zoezi la kuangalia iwapo kama kuna masalia yeyote.
Basi liliteketeakabisa na mabaki ya miili ya watu ililazimu kukusanywa kwa beleshi.
SALHA ISRAEL AONYESHA KIPAJI MISS WORLD 2011
Miss Tanzania 2011, Salha Izraeli (track ya pink) akiwa katika picha mbalimbali wakati wa fainali za kumsaka mrembo mwenye kipaji cha michezo ndani ya Kambi ya Miss World jijini London Uingereza.