Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, November 27, 2011

ANTVIRUS SHOW ILIVYOJILI VIWANJA VYA USTAWI JANA

fULL MZUKA HAKUNA ALIEFUNIKWA JANA SUGU NA FABOLOUS NGOMA DROO KWA WATU.
lAZIMA TUKUBALI SUGU NI SUGU TU HAKUWA NA MDHAMINI LAKINI KAFUNIKA ILE MBAYAAA


             ST8 MUZIK NDANI YA LEADERS 2011

Mwanamuziki wa hip hop toka nchini Marekani Fabolous akikamua kwenye tamasha hilo lililo hapen katika viwanja vya Leaders jijini Dar na kuhudhuriwa na bonge la nyomi
Msanii wa Hip hop toka bongo land Jay Mo akikamua sanjari na mwana hip hop mwenzie Mchizi Mox
Simba mzee, Mfalme asiyevuliwa taji Selemani Msindi aka Afande Sele alikosha kisasawa mashabiki walo hudhuria tamasha hilo.
Masoja Long time kitambo wanaitwa Gangwe Mobb.

LOON ATIWA MBARONI KWA DAWA ZA KULEVYA

  Former RAPPER  Loon amekamatwa na dawa za kulevya Belgium,mwanamuziki huyu ambae alivuma sana miaka kadhaa iliyopita taarifa zaidi ntaendelea kukupa kupitia blog yako ya uniqueentertz.

RAIS DKT KIKWETE AHUTUBIA MAAFARI YA UONGOZI WA MAHAKAMA LUSHOTO

Rais Dk.Jakaya Kikwete akihutubia katika mahafali ya 11 ya Chuo cha Uongozi na Mahakama yaliyofanyika Lushoto mkoani Tanga leo ambapo pia mwenyekiti wa bodi ya chuo hicho Jaji Mkuu Mohamed Chande alihuhuria katika mahafali hayo.
 picha ya pamoja ya wanachuo wahitimu.



DRAKE ATEMA CHECHE DHIDI YA LIL WAYNE

lil_wayne_blue_lights_outaroad.jpgThough the first week numbers for Drake’s Take Care aren’t in yet, it’s pretty much a given that the Toronto MC will snag the #1 spot on the Billboard 200 Album Chart when the numbers are officially revealed and positioning is determined on Wednesday. Based on early projections Drizzy could move as much as 700,000 copies of his sophomore set, but while much of the music world is fixated on Drake’s sales numbers, his Young Money boss Lil Wayne is not.

"As far as expectations, we don't have those around here. Expectations are a weakness in the music business because if you expect anything, 10 times out of 10 it's not gonna happen, so we don't have expectations around here," Lil Wayne told MTV News on Friday when we caught up with him on a trip to New Orleans where, he gave out Thanksgiving Turkeys in his old neighborhood on Saturday.

"What we do expect is ... to work very hard and we expect people to respect our hard work and our effort," Weezy continued. "Now as far going to buy the album, as far as going to get 750,000 copies, that's never a problem with us; that's never important to us.

JENNIFER LOPEZ NA CASPER SMART MAPENZI HADHARANI

Jennifer Lopez and Casper Smart
Jennifer Lopez and her new boy toy BF Casper Smart continued their Thanksgiving weekend romp in Hawaii, cozying up on the beach this morning ... in the first photos of the couple since word of their relationship got out.




Wonder who picked up the tab on this trip?

RADI YAUWA MWANACHUO DODOMA

     Charles Mfaume ambaye alifariki hapo jana Mara baada ya kupigwa na Radi iliyoambatana na Mvua iliyonyesha Usiku wa jana Chuoni. Marehemu Charles Mfaume alikua ni Mwanafunzi wa Mwaka wa Pili wa shahada ya kwanza ya biashara na utawala wa rasilimali watu. (BCOM HRM)
     Mwili wa Marehemu Unatarijiwa kuwasili Chuo Hapa Kwaajili ya Maombi na Kuagwa tayari kwa kusafirishwa kuelekea kwao Dar es Salaam tayari kwa mazishi. Sala na Zoezi zima la Kuaga mwili wa marehemu kwa mara ya mwisho litafanyika muda si mrefu kwenye kiwanja cha mpira wa kikapu kilichopo katika kitivo cha sayansi ya jamii cha Chuo Kikuu Cha Dodoma leo na kusafirishwa leo
        Vilevile Radi hiyo imesababisha wanafunzi wawili kulazwa zahanati ya chuo kutokana na majeraha aliyopata mmoja wa wanafunzi aliyefahamika kwa jina la Peter ambapo aliungua Mguu na Shingoni na Mwanafunzi mwingine Wa Kike huyu amelazwa baada ya kupoteza fahamu kutokana na mshtuko wa jana. Huu ni Msiba Wa Pili ndani ya Chuo Kikuu Cha Dodoma ndani ya Wiki moja Ambapo alhamisi iliyopita Mwanafunzi wa Mwaka wa Pili Wa Kitivo Cha elimu Yohana Raphael kupoteza Maisha Ghafla mara baada ya kuanguka na kusafirishwa kwao Kigoma kwa Mazishi.    


MABINGWA WATETEZI KOMBE LA TUSKER CHALLENGE 2010 KILIMANJARO BOYS WALALA 1-0 KWA RWANDA

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwapungia mikoni mashabiki kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jioni hii,  Mara baada ya kuzindua rasmi michuano ya TUSKER CECAFA CHALLENGE CUP 2011 ambapo leo michuano hiyo imekutanisha timu za Tanzania Kilimanjaro Stars na Timu ya taifa ya Rwanda Amavubi,  mpira umekwisha na timu ya Rwanda imeifunga Kilimanjaro Stars  goli 1-0 , katika picha kulia  anayecheka ni Rais wa TFF na Shirikisho la Vyama vya michezo Afrika Mashariki na kati CACAFA Leodger Tenga.


NATO YAUWA PAKSTAN KWA SHAMBULIO LA NDEGE
 Waziri Mkuu wa Pakistan, Yousef Raza Gilani, ameelezea shambulio la ndege za NATO dhidi ya kituo cha ukaguzi cha Pakistan kuwa shambulio dhidi ya umoja na uhuru wa Pakistan.
Taarifa zinazohusiana
Asia
Wanajeshi 25 wa Pakistan waliuwawa katika shambulio hilo karibu na mpaka wa Afghanistan.
Bwana Gilani alisema Pakistan imeungana na haitoruhusu mtu yeyote kuishambulia.
Bwana Gilani alikuwa anakwenda Islamabad kwa mkutano wa dharura kuhusu ulinzi, kujadili tukio hilo.
Jeshi limesema lina haki ya kulipiza kisasi.
NATO inasema inachunguza tukio hilo kujua ukweli
.

Saturday, November 26, 2011

JOSE CHAMELEONE APAGAWISHA MASHABIKI WAKE

Ilikuwa ni Jumatano Nov23, 2011 katika sherehe za Thanksgiving nchini Marekani ambapo muimbaji Jose Chameleone toka nchini Uganda alikamua.Mamia ya watu walifurika kuja kumuangali Msanii huyo toka Nchini Uganda kwa jina maarufu la Jose Chameleone, ana nyimbo zake, ikiwemo Mama roda, Jamila analia, na nyingi nyingi.Muziki unaponoga warembo mikono juuuu!!!Wakati mwingine warembo hupandwa na jazba ya maraha na kwa wale wanaoshindwa kujizuia hukinasa kinasa ili wapate chombeza, hapa ni mdafada akichombeza kwenye songi la 'kipepeo'.
Mambo ya utamuZz hayo cheza ni kuchezee ndani ya Rendezvous Hall nchini marekani.Wanasema muziki wako ukikubalika kwa warembo baaaasi umewini! chekshia mahudhurio.


Aj Ubao alikuwa ni mwimbaji wa pili kuimba katika onyesho hapa ni nyuma ya jukwaa akipata flash ya pamoja na mdhamini wake wapendo.Muimbaji Ana Lov akipata flash ya pamoja na rafiki yake kwenye onesho hilo la Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone.WadadaZzzz.warembo.com ndani ya ukumbi wa Rendezvous mitaa ya Parklawn Dr, Rockville Maryland U.SNyuma ya jukwaa mwanadada Luren akipata flash.Cheza ni kuchezee na flash!!! Mwana muziki wa kizazi kimpya ndani ya Washington DC, AJ Ubao wa kwanza (kushoto) pamoja mzee wa kuwachanganya Dmk global Dickson Mkama, wa kwanza( kulia) wakiwa nyuma ya jukwaa na Jose chameleone aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu na wapenzi wa muziki wake.

Thursday, November 24, 2011

JACQUE PENTEZEL ADUNGWA UJAUZITO NA TIMBULO

                                       Habari za kidaku toka kwa rafiki wa karibu Msanii Timbulo zinasema kuwa Jacque Mpenteze ashadungwa ujauzito na kijana huyo msanii wa bongo Flava anaekuja kwa kasi katika staili za kubana pua.
  Penzi la Jacque na Timbulo limefikia sehemu nzuri si kiasi cha kuishi pamtu wanyetishaji wa habari hizi wamesea Haque ana ujauzito mdogodogo ambao bado haujaanza kuonekana pengine baada ya miezi kadhaa itakuwa sio siri tena.
  Kuzihilisha hayo ni kweli Msanii huyo aliimbia Uniqueentertz kuwa nyimbo yake mpya "wa leo wa kesho" ni mahususi kwa Mpenzi wake Jaque ambae ndiye chaguo lake la moyo kiasi cha kupa kibend binti huyo.

KATIBU WA BUNGE AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI.

Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashillilah ( kulia ) akiongea na Waandishi wa Habari( ambao hawapo pichani) kuhusu jinsi miswada mbalimbali ilivyopitishwa kwenye kikao cha tano cha Bunge mjini Dodoma hivi karibuni, kulia ni Mkurugenzi wa Habari,Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa Bw. Jossey Mwakasyuka.
Dkt. Thomas Kashillilah (katikati ) akiongea na Waandishi wa Habari kwenye Ukumbi wa Bunge mjini Dar es Salaam kama picha inavyonyesha kuhusu jinsi Miswada mbalimbali ilivyopitishwa kwenye kikao cha tano cha Bunge mjini Dodoma hivi karibuni


MIKATO MIPYA YA HARUSINI

 Hii ni maalumu kwa akina dada wa leo wenye kwenda na fashion kwa muda muaafaka.



Wanajeshi wakivunja maandamano
Maafisa wawili waandamizi katika utawala wa kijeshi nchini Misri wameomba radhi kufuatia mauaji ya waandamanaji yanayoendelea katika mji mkuu Cairo na miji mingine nchini humo.

Majenerali hao wamejitokeza katika televisheni ya serikali wakitoa salaam za rambirambi kwa wananchi wa Misri.

Hii ni mara ya kwanza kwa watawala wa kijeshi kuomba radhi tangu mgogoro uanze nchini Misri.

Serikali itatangaza leo namna wanavyopanga kuendelea na shughuli za uchaguzi wa ubunge unaotarajiwa kuanza Jumatatu ijayo.

Ujumbe wa majenerali hao ulionekana kuwa wa kuwapa moyo watu kinyume na awali ambapo walionyesha ukali na tarayi kukabiliana na upinzani hususan kwenye hotuba ya kiongozi wa baraza tawala la jeshi Field Marshall Tantawi.



Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni Future Centery Helene Masanja,akizungumza na wahandishi wa habari kuhusu mechi ya kombaini ya timu za Simba na Yanga dhidi ya timu ya Kumasi Asante Kotoko ya Ghana,katikati ni Mwenyekiti wa Yanga Loyd Nchunga na Mwenyekiti wa DRFA Amin Bakharesa.

GANGWE MOBB WAMSALITI SUGU KATIKA UZINDUZI WAKIMBILIA KWA DMX

Wakati ndio kwanza wadau wakiwa macho na hamu ya kusubiri show kubwa ya Vinega,ili kuzindua Anti Virus ,mambo si mazuri kwa upande huo,Pro-24 imepata taharifa kwaba vijana wa Gangwe Mob hawatashiriki katika show hiyo ambayo inatarajiwa kufanyika Nov 26 katika viwanja vya Posta Kijitonyama Jijini Dar es Salaam.Gangwe Mob ikiwa inaundwa na Inspector Harun na Luten Kalama. Pro-24 ikaamua kukutana na wasanii husika na kuzungumza ili kupata ukweli wa jambo hilo,Inspector alisema"ni kweli sisi kama Gangwe Mob Hatutashiriki katika show ya Vinega kutokana na Longolongo katika swala zima la malipo,waandaaji wanasema tutalipwa baada ya kupatikana viingilio mlangoni show isipolipa ina maana hakuna kitakacholipwa ila Tumepata kazi Nov 26 tutakuwa Leders Club kwenye show ya Dmx na Fabolous.Ila kimuonekano mara baada ya kuzungumza nao inaonekana Kalama bado ana nia ya kushiriki katika show ya vinega nini kitafata endelea kufatilia...


DAWA YA WAPIGA CHABO DARASANI YAGUNDULIWA
Kwa mkakati huu tutapunguza tabia ya wanafuni wazembe wasiotaka kusoma na kusubili kugelezea kwa wenzao katika mtihani.

Wednesday, November 23, 2011

AJALI MBAYA YATOKEA UBUNGO RIVER SIDE LEO

Katikati ni gari ndogo nyekundu iliyokandamizwa chini ya gari kubwa jeupe la mafuta. kuna mtu yuko hai bado hajatolewa. habari zinasema watu watatu wamekufa kati yao mama mjamzito ambaye kichwa na kiwiliwili vimetengana.
Wakijaribu kunasua mwili wa wahanga hao wa ajali na miili ya waliokufa katika ajalia hiyo. Kama inavyoonekana hali ilikuwa ni mbaya sana watu wakiagalia kilichotokea bila kuaminai lakini ndiyo hivyo tena.
Watu wakiangalia tukio hilo leo mchana maeneo ya Ubungo River Side jijini Dar es salaam.



Msanii wa kizazi kipya GTK ambae anaratibu shindano la Malkia wa michano amesema leo jijini Dar kuwa shindano litakuwa la aina yake kwani maandalizi yote yametimia na washiriki wapo katika hali ya ushindani.
Siku ya jumamosi katika uwanja wa Mmoto utawashwa na wasanii wakubwa na wasanii wanaowania taji hilo siku ya jumamosi hii.

BREAKING NEWS: MAPIGANO MAKALI KATI YA POLISI NA RAIA YANAENDELEA MUDA HUU

 
 
 
 
 
 
 
It has been five straight days of clashes between government protesters and Egyptian police in central Cairo and the death toll from the ongoing unrest has risen to at least 38. Now, the United Nations strongly condemned what it called the use of excessive force by security forces.
Young people have been gathering in Tahrir Square, wanting Egypt's military rule to hand over power to a civilian government.
The ruling military says that they will have a presidential election in the first half of next year, but that plan was quickly rejected by tens of thousands of protesters in Tahrir Square.
The protesters, who have withstood tear gas and beatings, say they have no wish to storm the ministry, but were trying to keep the police and army from moving on Tahrir Square.


 J.MARTINEZ ASHINDA DANCING WITH STARS

J.R. Martinez wins Dancing With The Stars Season 13!
The former Iraqi war vet is bringing home the Mirror Ball Trophy, beating out Ricki Lake and Rob Kardashian on the championship round of DWTS. 

The show ended with J.R. holding the trophy up high and being mobbed by all of the other dancers as confetti, sparkles and glitter showered down on them. 


MWANAMITINDO JESSICA WHITE AKIWA SOUTH BEACH

Supermodel Jessica White was the catch of the day on a recent shoot in Miami's South Beach!
The former Sports Illustrated Swimsuit model, and current face of Maybelline Cosmetics, looked gorgeous in a white string bikini which left very little to the imagination!