Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, January 29, 2012

RAIS KIKWETE ZIARANI USWIS

 Rais Jakaya Mrisho  Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Bill and Melinda Gates Foundation Bw. Bill Gates wakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na  Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia Bw. Kevin Rudd wakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Waziri Mkuu wa Thailand Bi. Yingluck Shinawatra wakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Rais na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Walmart Bw Doug Mc Millonwakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Madame Sadako Ogata, Rais wa Japan International Cooperative Agency mjini Davos.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Waziri Mkuu wa Kenya Mh Raila Odinga baada ya kufanya naye mazungumzo mjini Davos.
Rais Jakay Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron mjini Davos, Uswisi

YANGA WAWAPIGISHA KWATA WANAJESHI WA JKT RUVU WAWATANDIKA 3-1



Alikuwa mshambuliaji na mchezaji bora wa Uganda, Hamisi Kiiza aliyeokoa jahazi la mabingwa wa Tanzania Bara Yanga kutokomea kwenye gwaride la JKT Ruvu kabla ya Mwasika kuipoteza JKT Ruvu.

Katika mchezo huo wa ligi kuu ya vodacom uliochezwa katika uwanja wa Taifa, JKT Ruvu walikuwa wa mwanzo kupata goli katika dakika ya 33 kupitia kwa Amos Mgisa.

Kama yanga wangekuwa makini wangekwenda mapumziko wakiwa mbele kwa goli 2 ama zaidi, lakini walikwenda mapumziko wakiwa nyuma kwa goli moja huku wakipoteza nafasi walizopata kupitia kwa Kenneth Asamoah.

Yanga iliwabidi wangoje mpaka dakika ya 60, ambapo walisawazisha goli kupitia kwa Hamisi Kiiza kwa Mkwaju wa penati, na dakika 19 mbele Kiiza alirejea tena nyavuni kwa kuifungia Yanga goli la pili.

Wakati JKT Ruvu wakiwa wanajiuliza kilicho wasibu walijikuta wanatundikwa msumari wa tatu katika dakika ya 89 kupitia kwa Stephan Mwasika, hivyo kuwaashia indiketor Simba waliopo kileleni.


Katika mchezo mwingine wa ligi kuu uliochezwa Mlandizi ulimalizika kwa sare ya goli 1-1 pale Ruvu shooting ulipo wakaribisha Kagera Sugar.

Katika mchezo huo magoli yote yalifungwa katika kipindi cha kwanza, huku Ruvu Shooting wakiwa wa mwanzo kupata goli katika sekunde ya 33 kupitia kwa Abdurahman Abdurahman.

Kagera Sugar walikuja kusawazisha goli hilo katika dakika ya 26, na kupelekea mchezo kuisha kwa sare ya goli 1-1.


Katika uwanja wa Azam, Toto Africa imekubali kupokea kichapo cha pili mfululizo toka kwa Villa Squad inayoangaika kujinasua toka mkiani, wakati jahazi la Toto likiendelea kuzama.

Magoli ya mshambuliaji wazamani wa Moro united na Yanga Nsa Job na Makundi yalitosha kuwapa point 3 muhimu Villa Squad na kuibuka na ushindi wa magoli 2-0.
MSIMAMO WA VPL.
Kwenye Mabano Idadi ya Mechi Zilizochezwa.
1. Simba SC (14) 31
2. Yanga (15) 31
3. JKT Oljoro (14) 26
4. Azam FC (14) 26
5. Mtibwa Sugar (14) 22
6. Kagera Sugar (15) 20
7. JKT Ruvu (15) 17
8. Ruvu Shooting (15) 17
9. Moro United (14) 15
10. African Lyon (14) 14
11. Toto Africa (15) 13
12. Polisi Dodoma (14) 12
13. Coastal Union (14) 11
14. Villa Squad (15) 10

BOKO HARAM WAUWAWA NIGERIA

Watu waliouliwa na Boko Haram
Jeshi la Nigeria linasema limewapiga risasi na kuwauwa wafuasi 11 wa kikundi cha wapiganaji wa Kiislamu, Boko Haram, kaskazini-mashariki mwa nchi. Msemaji wa jeshi alieleza kwamba wapiganaji hao waliuwawa wakati wa mapambano katika mji wa Maiduguri, ambako kundi hilo lilianzishwa mwongo uliopita. Juma lilopita watu kama 185 waliuwawa katika mji mwengine wa kaskazini, Kano, kwenye mashambulio kadha ya mabomu. Boko Haram ilisema ilifanya mashambulio hayo, na imeonya kuwa itaendelea na ugaidi hadi mfumo wa sharia unafuatwa Nigeria nzima.

J LO NA SMART NDUKINDUKI

Jennifer Lopez and her new boyfriend Casper Smart are heating up the streets of Miami!
J.Lo brought her young tender with her to a photoshoot and the couple were attached at the hip!
They were spotted getting cozy between breaks of the shoot which went down in South Beach yesterday.
Jennifer covered up her sexy white bathing suit photoshoot ensemble with a robe and left Casper guessing.
Recently, 24 year old Casper went on a bit of a twitter rant defending their love and shutting down critics.

Saturday, January 28, 2012

MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA JESHI LA POLISI NA MKUU WA MKOA WA TANGA

viongozi wa Serikali na wananchi wa kijiji cha Nduu,Mombo mkoani Tanga wakitafuta namna ya kuwatoa askari wa kikiso cha kutuliza ghasia (FFU) mkoani Tanga mara baada ya gari lao lenye namba za usajiri PT 2000 aina ya Toyota Landcrusser kuacha njia na kupinduka bondeni wakati wakiwa kwenye ziara ya Makamu wa Rais,Dkt. Mohamed Bilal iliyotokea jana eneo la Nduu Mombo mpakani mwa wilaya ya Lushoto na Korogwe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Inspekta Jenerari Said Mwema na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Chiku Galawa, kufuatia ajali ya gari la Polisi lililopata ajali na kusababisha kifo cha askari sambamba na kujeruhi wengine, ajali iliyotokea jana katika barabara itokayo Lushoto kuingia mji mdogo wa Mombo, gari ambalo lilikuwa mwishoni mwa msafara wa Makamu wa Rais uliokuwa ukitokea wilayani Lushoto.
Makamu wa Rais alikuwa akimalizia ziara yake mkoani Tanga, ziara aliyoianza Januari 24 na kuikamilisha jana Januari 27 wilayani Lushoto. Msafara wa Makamu wa Rais ulikuwa unatoka Lushoto ukielekea Hale, ambako huko Makamu wa Rais amefika salama. Makamu wa Rais amesikitishwa sana na tukio hilo na amewapa pole Mkuu wa Jeshi sambamba na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, na anabainisha kuwa tukio hilo limemgusa sana na anawatakia moyo wa ujasiri na uvumilivu kufuatia tukio hili ambalo limekuja katika kipindi ambacho hakikutarajiwa.
Makamu wa Rais anatarajiwa kuondoka mjini Tanga kesho kufuatia kuhitajika kusimamia mkutano wa Kamati ya Muungano unaofanyika kesho asubuhi jijini Dar es Salaam, sambamba na kusimamia majukumu mengine ya serikali kufuatia Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete kuwa nje ya nchi kikazi kwa sasa.“Naamini mkoa wa Tanga na Jeshi la Polisi watatoa huduma zote zinazohitajika kwa wafiwa sambamba na majeruhi, nami binafsi nitafatilia kwa ukaribu,” anasema Mheshimiwa Makamu wa Rais Dkt. Bilal.

MSD YATOA MSAADA WA SH.MIL.10 KWA TWIGA STARS

Mkurugenzi wa Shughuli za Kanda za Mashariki wa Bohari ya Dawa (MSD), Lucy Nderimo (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Osiah hundi yenye thamani ya sh. mil. 10 ikiwa ni msaada kwa timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Twiga Stars, katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Meneja wa Huduma kwa Wateja na Uhusiano wa MSD, Salome Mallamia. Timu hiyo inapambana na Namibia kesho katika mechi ya marudiano ya kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake.
Katibu Mkuu TFF, Angetile Osiah (kushoto) akitoa shukurani kwa MSD kuipatia timu hiyo msaada. Kutoka kulia ni Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa gazeti la Jambo Leo, Grace Michael na Mkurugenzi wa Shughuli za Kanda za Mashariki wa Bohari ya Dawa (MSD), Lucy Nderimo
Katibu Mkuu TFF, Angetile Osiah (kushoto) akitoa shukurani kwa MSD kuipatia timu hiyo msaada. Kulia ni Mkurugenzi wa Shughuli za Kanda za Mashariki wa Bohari ya Dawa (MSD), Lucy Nderimo

Mkurugenzi wa Shughuli za Kanda za Mashariki wa Bohari ya Dawa (MSD), Lucy Nderimo (kushoto) na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Osiah wakiwa na furaha wakati wa hafla ya MSD, kukabidhi msaada wa Sh. Mil. 10 kwa timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Twiga Stars, Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja wa Huduma kwa Wateja na Uhusiano wa MSD, Salome Mallamia.
Meneja wa Huduma kwa Wateja na Uhusiano wa MSD, Salome Mallamia (kushoto), akielezea umuhimu wa msaada huo kwa timu hiyo ya soka kwa wanawake. Kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Osiah

BOW WOW AELEZA JINSI ALIVYOMFAIDI KIM KARDASHIAN KIMAPENZI


Bw wow joined the wake-up crew at Power 105.1 this morning on The Breakfast Club, and he really let us know some new things about him!
On if he slept with Kim Kardashian.
I just want to know one thing. Where did you hear that one from? I just want to know where you heard that one from … We were cool.
Did you make a tape? Have you ever made a tape?
Yeah, I think we’ve all been guilty of hitting the record buttons on our iPhone every once in a while.
Has Kim gotten any better since Ray J? Honestly, she was terrible on that tape.
To be honest, I havenot seen or spoken to Kim in the last two years. But sweet person. Cool peoples.
Did she call you Lil’ Bow Wow? Do people call you that in bed?
Nah, it’s different because you’re dealing with different nationalities. Sometimes, you might hear “Papi” one night. The other night you might hear “Daddy” the other night you might hear “Babe.” One night you might hear nothing but just moans and groans.
On what he’s been up to “Movies, albums, touring, staying busy. That’s really it. Just working. Staying active. Father now, so on and off from working and maintaining a 1-year-old. She’s about to be one now.”
Saw you on 106 & Park. It looked like you were about to tear up while you were talking about her.
“I’m not gonna lie man … It was hard for me to look at her while I was talking about her. It’s a touchy situation because I love her so much and she is my first. I had to reel [the tears] back. But even Stunna hit me like ‘I think you was about to drop one.’”
You recently reached out to your father.
Yeah (Mumbles “Crazy a** ni**a”)
What made you do that? Was it the baby?
It was really out of  self. Because it was something I felt I needed to do as a man.
Before that, when was the last you had spoken to him?
Like, four years ago.
Why did you guys stop speaking?
Because of his alcohol problems. My father’s a heavy alcoholic. Been that way since I was young. Been that way my whole life.
Was he ever abusive in the house?
Oh, naw. Never. My mom would whoop his ass. And that’s happened! being I’m his only son, I know it’s gotta kill him. But at the same time, I’m grown now, and I have to do what I have to do. But at that time, I needed that for self. Not that I had gotten too “Bow-Wow-ish,” but I felt like I wanted to connect with my family and build what was lost.  That’s why I reached out to him, and it was all out of love. But I guess he felt  like I was trying to disrespect him by having it on my webisode or whatever. But, if you watch it, I was ecstatic talking to my father. Then, all of a sudden I see something crazy pop up from my two sisters on the Net. Ratchet asses. They ratchet. They real ratchet for that.
They said you sent goons or something.
I would never send people. I don’t send goons for nobody. I’m not that type of dude. I don’t attract that type of attention. What people don’t get about me is I get love from my hip-hop peers and people outside of hip hop. So the person who did that threat, I don’t even know where that came from.

WAKONGWE KURUDI 2012


2012 marks a new year with plenty of new artists, but we'd love to see some of our old favorite artists return to the limelight. 
Neo-soul singer D'Angelo made his first concert debut in over a decade after practically falling off the face of the earth in 2000. 
So, GlobalGrind decided to round up all the artists we want to come back, most of who had their heydey in the early '90s. 
R&B group Jodeci had all the ladies "feenin" in the '90s, why not make the ladies "feen" in 2012?
Or what about '90s phenomenon, The Spice Girls?  Scary Spice, Ginger Spice, Baby Spice, Posh Spice, and Sporty Spice had every little girl in the world chanting "Girl Power!" 
If you've thought about an artist you wanted to comeback, we guarantee you GlobalGrind wants to bring them back too!
Check out all the musicians we want to make a comeback in 2012 in the gallery above!

Friday, January 27, 2012

MTOTO ALIEZALIWA MAHABUSU AENDELEA KUSOTA LUMANDE

Wakati Tanzania ikiwa imeridhia mkataba wa kimataifa wa kutekeleza na kulinda haki za watoto na kusimamia kwa karibu ulinzi wa haki za binadamu, sasa serikali ina kila sababu ya kuangalia haki za watoto walioko gerezani kwa makosa ya wazazi wao.
  Miongoni mwa haki ambazo serikali inapaswa kuchunguza kwa undani na kubainisha kisa kilichosababisha mtoto mdogo wa kike wa miezi sita , Azra Vuyo Jack, ajikute yeye na wazazi wake wakiwa katika mahabusu ya gereza la Ruanda jijini Mbeya wakikabiliwa na tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya.
  Azra ambaye kwa jina la utani, kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Mbeya yetu huko gerezani anaitwa Merryciana au bibi jela jina ambalo limezoeleka zaidi mbali ya jina lake halisi alilopewa na wazazi wake la Azra   .
   Mtoto huyo wa kike aliendelea kukua katika tumbo la mama yake akiwa gerezani, hatimaye alizaliwa salama Julai 15 mwaka jana katika hospitali ya wazazi meta.
  Mama yake ni Anastazia Cloete (27) mwenye asili ya kizungu, raia wa Afrika ya kusini
  Cloete alikamatwa mwaka juzi, Novemba katika mpaka wa Tanzania na Zambia , mji mdogo wa Tunduma akiwa mjamzito na kutupwa mahabusu katika gereza hilo hali iliyomfanya aendelee  kulea ujauzito wake.
  Uchunguzi wa kina uliendelea kufanywa na madaktari wa hospitali hiyo hadi alipojifungua salama.
   Uchunguzi wa tukio la mtoto huyo hadi sasa umezusha mwendelezo wa harakati za kihabari na wanaharakati wa haki za binadamu kuona umuhimu wa kuondolewa kwa mtoto huyo ambaye kwa muda wote tangu azaliwe amekuwa akitumia maziwa ya kopo na hanyonyeshwi na mama yake mzazi.
  Mmoja wa ya wasamaria wema aliyejitolea kuwahudumia watuhumiwa hao waliyokumbwa na tuhuma za kukutwa na dawa hizo ni Emily Mwaituka ambaye amekuwa akifanya kazi kubwa ili kuhakikisha mtpto anakuwa na afya nzuri kwa kununuliwa makopo mawili ya maziwa kila wiki tangu alipozaliwa julai, mwaka jana.
  Mwaituka anasema amekuwa akinunua kopo moja la maziwa ya unga aina ya SMA 1 ambalo huuzwa sh 26000 na anapaswa kununua makopo mawili ili kuweza kumudu mahitaji ya mtoto huyo wa kike ambaye hanyonyi maziwa ya mama yake mzazi anayesubiri hatima ya kesi inayomkabili akiendelea kuwa mahabusu kwenye gereza la Ruanda jijini Mbeya.
  Uchunguzi uliofanywa na Mbeya yetu  umegundua kuwa Cloete aliyekuwa akisoma nchini kwao katika chuo cha Capetech alijifungua mtoto wa kike miezi sita iliyopita baada ya kushikwa uchungu akiwa mahabusu na kukimbizwa hospitali ya wazazi ya meta.
  Cloete ambaye amekuwa akitumia majina mawili kwani alipolazwa katika hospitali hiyo aliandikishwa jina la Anastazia Elizabeth wakati alifikishwa hospitalini hapo kwa uchunguzi akiwa mjamzito Januari 14 mwaka jana na kufunguliwa jarada la matibabu lenye namba 46 – 26 – 83.
  Uchunguzi umebaini kuwa raia huyo wa afrika ya kusini na mumewe , Vuyo Jack ( 31 ) waliokamatwa mpakani hapo, aligundulika kuwa mjamzito alipokuwa mahabusu na kuanza kupatiwa matibabu sahihi yaliyosaidia ujauzito wake kukua vizuri.
  Habari za ndani zinadai kuwa kwa muda wote huo baada ya ujauzito wake kugundulika alikuwa akipatiwa matibabu chini ya uangalizi wa madaktari na alipofikia  hatua za mwisho mjadala mzito ulifanywa na jopo la madaktari walioonyesha mashaka kuwa asingeweza kujifungua kwa njia ya kawaida na kutakiwa afanyiwe upasuaji.
 Imeelezwa kuwa daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake katika hospitali hiyo Peter Msafiri , alipofanya uchunguzi alibaini kuwa raia huyo hapaswi kufanyiwa upasuaji kwa vile alikuwa na uwezo wa kujifungua bila matatizo.
  Dk Msafiri alipohojiwa anasema Cloete alijifungua salama ingawa walitaka kumfanyia upasuaji lakini alipinga hatua hiyo na kudai kuwa anaweza kujifungua salama kwa njia ya kawaida.
  Baadhi ya wauguzi wa hospitali hiyo ambao hawakutaka majina yao kutajwa walidai kuwa raia huyo wa Afrika ya Kusini alijifungua mtoto wa kike na kwamba mama yake akiwa mahabusu amekataa kumyonyesha kwa madai kuwa hapati mlo wa kutosha unaomuwezesha kutoa maziwa ya kutosha kwa ajili ya mwanae.
  Cloete alilazwa hapo kwa ajili ya uchunguzi , hamnyonyeshi mtoto wake, kweli amejifungua mtoto mzuri wa kike, amesema kuwa hawezi kumnyonyesha na  anamlisha maziwa ya kopo akidai kuwa akinyonyesha atakosa nguvu kwa kuwa mahabusu alikowekwa hapati lishe bora anadai muuguzi mmoja.
 Miongoni mwa wanaharakati wa haki za binadamu walioguswa na habari za mtoto huyo kuendelea kukaa mahabusu na mama yake kulimgusa. Mchungaji William Mwamalanga, anasema kuwa kitendo cha mtoto huyo kuishi katika mazingira hayo hakuendani na haki za binadamu ambazo Tanzania imeridhia kwenye umoja wa mataifa.
  Mwamalanga anasema yeye na wanaharakati wenzake wanaandaa mpango maalumu wa kupigania haki ya mtoto huyo na kuhakikisha kuwa anaondolewa mahabusu baada ya kubainika kuwa amekuwa hanyonyeshwi na mama yake mzazi tangu alipozaliwa kwa madai kuwa hawezi kumnyonyesha kutokana na lishe duni anayopata akiwa mahabusu.
  Nakushukuru sana kuzisoma taarifa hizi, tunajiandaa ili kuona njia sahihi inayoweza kutusaidia kumtoa mtoto huyo mahabusu na kuiomba serikali iangalie kwa undani shauri hili kupitia kwa mwendesha mashtaka mkuu wa serikali ili kujua haki na stahili za mtoto huyo mchanga vinginevyo tunakiuka haki za watoto na binadamu ambazo Tanzania imeridhia kuzitekeleza, anasema Mwamalanga.
  Kumbukumbu za tukio hilo tulizonazo zinaonyesha kuwa raia hao wawili wa Afrika ya Kusini, waliokuwa wakiishi mtaa wa 2A Valley Road – Schaapkraal – Capetown walikamatwa na kilo 42 .5 za dawa za kulevya Novemba 18 mwaka juzi katika mpaka wa Tunduma na kufunguliwa – jalada namba TDM/IR/1763/2010.
  Katika tukio hilo ambalo Vuyo na Cloete walinaswa na dawa hizo walizozificha kwenye gari aina ya Nissana Hard body yenye namba za usajili CA – 508 – 656 lililokuwa likimilikiwa na Vuyo Jack waliokuwa wakitokea mkoani Morogoro kuelekea Afrika ya Kusini, Cloete alikuwa akisoma katika chuo cha Capetech.
  Kwa mujibu wa taarifa za ndani ambazo zimethibitishwa na Mkemia Mkuu wa Serikali dawa hizo za kulevya ni paketi 26 za cocaine zenye uzito wa kilo 28.5 paketi tatu za Heroine zenye uzito wa kilo 3.25 na paketi nane aina ya Morphine zenye uzito wa kilo 3.25, madawa hayo yote yanathamani ya zaidi ya sh bilioni 1.2.

PINDA AKUTANA NA BALOZI WA SUDAN NCHINI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Sudan nchini, Dkt Yassir Mohamed Ali kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar essalaam Januari 27,2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Sudan nchini, Dkt Yassir Mohamed Ali, Ofisini kwake jijini Dar es salaam, Januari 27,2012.

DKT BILAL ATEMBELEA MASHAMBA YAMPUNGA KORONGWE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wakulima wa Mpunga kuhusu kilimo hicho cha umwagiliaji wakati alipotembelea na kukagua mashamba ya Skim Mamlaka ya mji wa Mombo jana Januari 26, 2012.
 Makamu wa Rais wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akikagua mitaro ya maji yanayotumika kumwagilia mashamba ya mpunga ya Skim, mji wa Mombo, wakati akiwa katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga jana Januari, 26, 2012, akiwa katika ziara ya mkoa wa Tanga. 

JORDIN SPARK NA JASON DERULO DAM DAM

Jordin Sparks and Jason Derulo are a couple?! 
There's no are-they-or-aren't-they speculation on this one - Derulo himself recently announced their romance!
It turns out they got closer after the "It Girl" singer fractured his neck. 
"We are together," Derulo tells PEOPLE Magazine. "She lives in Phoenix and she comes [to Miami] and takes care of me, brings me breakfast in bed and she'll go on walks with me. We've gotten closer because of my accident. It's awesome to have someone you can talk to and she's a wonderful person."
The two 23-year-olds bonded after Derulo fractured his neck while performing acrobatic dance moves for his tour. Jordin nursed him back to health.
It's good to see the two young stars in love - without the rumors, gossip or intrusive paparazzi photos to ruin it!

MA MEN D'ANGELO IS BACK

D'Angelo
Last time we heard from D’Angelo, he was in trouble with the law, but it looks as though we may have some good news for his fans. He’s back!
A photo surfaced of him in Stockholm earlier this week. Now there’s news that he was out there on a European tour.
He’s calling it the “D-Tour,”  and it’s only hitting a few cities in Europe. But it’s his first time on the road since Bill Clinton was in office. According to fans who have attended the shows, D’s still got it.
He’s been performing hits from his albums Brown Sugar, Voodoo and a rumored new LP James River.

MAPIGANO MAKALI YAENDELEA NCHINI DRC


Polisi wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo wakiwatawanya waandanaji na kufungua barabara ambazo raia walikuwa wamefunga.
 
Polisi wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo wakiwa katika eneo la tukio kuzuia waandamanaji.
Wananchi wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo wakiwa wamepanga mawe barabarani.
Huko Jamhuri ya Demokrasia ya Congo-DRC jana kulikuwa na maandamano makubwa katika mji wa Goma unaopakana na mji wa Kivu Kaskazini huko mashariki mwa Congo.
Raia wa mji huo wa Goma walisema hali ya kiusama ni duni kwa raia yakiwemo mauaji na kupotea kwa watu wakibebwa na kupelekwa mahali yasiyo julikana wakati wa usiku.

TWIGA STARS WAWAKUNG'UTA WABUNGE 2-1

Mchezaji wa timu ya Bunge, Sadifa Juma akimtoka Fatuma Haibu wa Twiga Stars katika mchezo wa kirafiki jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambapo Wabunge waliichangia Twiga, sh. mil 3. Katika mchezo huo Twiga ilishinda mabao 2-1.

MAANDAMANO YA WANAFUNZI WAKITAKA MATUTA BAADA YA WENZAO KUGOMGWA


Baadhi ya wanafunzi hao wakizuia magari kupita hapao jana

Wanafunzi wa Shule za Msingi Ndugumbi na Mwalimu Nyerere, Magomeni,Dar es Salaam, wakiandamana leo katika Barabara ya Kawawa, kuishinikiza Wakala wa Barabara wa Serikali (TANROADS), kuweka matuta barabarani, kufuatia wenzao wawili kugongwa na magari kunakosababishwa na mwendo kasi katika eneo hilo.

WORLD ECONOMIC FORM IN DAVOS

President Jakaya Kikwete with other leaders shortly before  taking part in discussions on "Africa-from Transition to Transformation"
held at the Davos Congress centre in the on-going  World Economic Forum at the Swiss mountainous resort of Davos. Others from left are Prime Minister of kenya Mr Raila Odinga, Nigeria's Finance Minister Ms Ngozi Okonjo-Iweala, Prime Minister of Ethiopia Mr Meles  Zenawi, President of South Africa Mr Jacob Zuma, President of Guinea Mr alpha Conde, Mrs Sarah Brown and Former British Prime Minister who was the moderator of the discussion Mr Gordon Brown.
President Jakaya Kikwete take part in in discussions on "Africa-from Transition to Transformation"
held at the Davos Congress centre in the on-going  World Economic Forum at the Swiss mountainous resort of Davos.
Others from left are President Alpha Conde of Guinea, Prime Minister Raila Odinga of Kenya, Prime Minister of Ethiopia Mr Meles Zenawi, President Jacob Zuma of South Africa and the moderator former British Prime Minister Mr Gordon Brown.

FASHION SHOW YA KUMKUMBUKA WINEHOUSE

 We don't know if it is cool, sweet, or just downright creepy, but Jean Paul Gautier remembered the late Amy Winehouse by having all of his models dress in her likeness for his Spring 2012 Couture show.

The show featured 70 looks and each one was worn by a model that had Winehouse's famous beehive hairdo and upper lip beauty mark. Some models even came down the runway puffing on a cigarette. Winehouse's music also played in the background while the models strutted their stuff.

HAPPY BIRTHDAY DRAYA


Draya getting a little Love in the club…
Draya kicked it with Omarion and more last night as she celebrated her b’day at Entourage in LA.
Those puppies were definitely hanging on for dear life. But with the help of some great double sided tape,  Draya managed to rock this deep V all night while toasting to turning another year older.  Other celeb guests spotted on the scene included Ray J, Teairra Mari, model Rosa Acosta and Laz Alonso.

Thursday, January 26, 2012

ETI SHILOLE ACHUMBIWA NA PEDESHEE LA MAFUTA..!!

Msanii wa filamu za bongo, Zena Muhamed ‘Shilole, amesema anajisikia ni mtu mwenye furaha kwani amechumbiwa na mwanaume mmoja ambaye ni mfanyabiasha wa mafuta kutoka mkoani Tanga.

Msanii huyu kwa muda mrefu amekuwa akitafuta mwanaume wa kumuoa ambapo sasa anaonekana kuwa na furaha kwani ndoto yake ya imetimia.

Shilole alisema kuwa ndoa yake itafungwa muda wowote baada ya maandalizi yote kukamilika ambapo inaweza kufungwa mwezi Octoba mwaka huu. Hata hivyo aliongeza kuwa ndoa hiyo itafungwa kimila na si kama watu walivyozoea kufunga zile za kifahari.

“Yani naweza kusema kuwa mwaka huu utakuwa wa furaha sana katika maisha yangu, kwani nimepata mwanaume ambaye ndiye chaguo langu na kikubwa ni kwamba ndoa yetu tutafunga kimila,” alisema.

Msanii huyu yupo mkoani Tanga ambapo ameenda kwa lengo la kujiachia kidogo na mchumba wake huyo ambaye hakutaka kumtaja jina.