Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, March 22, 2012

WASHIRIKI WA SHINDANO LA CHEZA, VAA, IMBA KAMA RIHANNA WAPIGANA VIKUMBO KAMBINI

  WAREMBO sita waliofuzu kuingia fainali ya Shindano la ‘Cheza Vaa, Imba kama Rihanna’, mapema leo ‘wamebambwa’ wakifanya mazoezi ya kuogelea katika bwawa lililopo Hoteli ya The Atriums Sinza Afrika Sana, ambako walielezea kufaidi mazoezi wanayopata kutoka kwa mwalimu wao kwani.
 

MILLEN MAGESE KUSAKA WANAMITINDO - 22, APRIL, 2012.

Mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania, Millen Happiness Magese ataendesha zoezi la kutafuta wanamitindo wawili (kwa vijana wa kike na kiume) watakoshiriki kwa mara ya kwanza katika maonyesho ya wiki ya Mavazi ya Afrika Kusini (South Africa Fashion Week) tarehe 1 April mwaka huu.
Millen atafanya zoezi hilo kupitia kampuni yake ijulikanayo kwa jina la Millen Magese Group Company Limited chini ya mpango wake wa kuitangaza Tanzania kupitia fani ya mitindo (Tanzania International Fashion Exposé (TIFEX).
Alisema kuwa wanamitindo wanaotaka kupata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika SAFW kufika siku ya Jumapili tarehe 25 mwezi huu kwa ajili ya mchujo huo kuanzia saa 8.00 mchana kwenye hotel ya Serena.
Alifafanua kuwa anaamini kuwa wanamitindo wa Tanzania watakaopatikana katika zoezi hilo wataiwakilisha Tanzania vyema katika wiki ya maonyesho ya mavazi ya Afrika Kusini na kuitangaza Tanzania kimataifa kama anavyofanya yeye kwa hivi sasa.
Alisema kuwa hiyo ni fursa pekee kwa wanamitindo kuweza kujitangaza wenyewe kimataifa na kufuata nyayo zake.
Alifafanua kuwa wanamitindo wanaotakiwa kufika katika zoezi lazima wawe na vigezo vifuatavyo:- Umri miaka 18 mpaka 24, urefu 1. 75m, hips 37cm (ukiwa na nywele zako za asili) na kwa wanaume urefu ni 1.82m.
“Naamini kuwa zoezi hili litawanufaisha wana mitindo wa kike na wa kiume wa Tanzania na vile vile ushiriki wao katika SAFW na katika maonyesho mengine ya mavazi nje ya Afrika na kusaidia kuitangaza nchi kimataifa,” alisema Millen.
Alisema kuwa lengo kubwa la kampuni yake ni kuendeleza fani ya uanamitindo na vile vile kuitangaza Tanzania nje ya mipaka yake kwa kupitia fani ya mitindo na hata kwa njia ya utalii.
Aliongeza kuwa japo Tanzania ina wanamitindo wengi na wabunifu, bado kuna pengo kubwa ukilinganisha na maendeleo ya fani hiyo katika nchi ya Afrika Kusini na Nigeria.
Alisema kuwa nchi hizo zimepiga hatua kubwa sana na yeye kuhamasika kuanzisha kampuni yake iliyozinduliwa mwezi Machi mwaka jana kwa lengo la kuziba pengo hilo na kuleta maendeleo ili wahusika wafaidike na matunda ya fani yao.
Majaji wa zoezi hilo ni Ritha Poulsen, Mustapha Hassanali na Khadija Mwanamboka na katika kuwekea umuhimu zaidi mchakato huo, MMG imemkaribisha mwanamitindo maarufu, Aminat Ayinde kutoka America Next top model cycle 12 kushuhudia zoezi hilo.

BASATA KUVIJADILI VIKUNDI VYA UNENGUAJI VINAVYOKIUKA MAADILI

PRESS RELEASE
KUWEPO KWA VIKUNDI VYA WANENGUAJI NA BENDI ZINAZOKIUKA MAADILI YA KITANZANIA
Katika siku za karibuni kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa maadili kupitia maonyesho ya majukwaani na kazi mbalimbali za Sanaa.
Kutokana na hali hii, Baraza la Sanaa la Taifa kupitia programu ya Jukwaa la Sanaa Jumatatu ya Tarehe 26/03/2012 litakuwa na mada maalum ya Unenguaji na Maleba Katika Muziki.
Mada hii itakayowasilishwa na Chama cha Muziki wa Dansi Tanzania (CHAMUDATA) na asasi ya Sanaa ya Binti Leo pamoja na mambo mengine itaangalia hali halisi ya Sanaa ya unenguaji, maleba na matatizo yaliyopo na hatua zinazopaswa kuchukuliwa.
BASATA inatoa wito kwa wadau wote wa Sanaa na wapenzi wa Utamaduni wan nchi yetu kujitokeza kwa wingi siku hiyo kushiriki kuchangia mwelekeo mpya wenye maadili sahihi ya kitanzania.
Sanaa ni Kazi Kwa Pamoja Tuikuze na Kuithamini.
Ghonche Materego
KATIBU MTENDAJI, BASATA

CHEKA VS MAUGO WAONESHWA MKANDA WA UBINGWA LEO

WAANDAAJI wa pambano la ubingwa wa IBF kati ya Francis Cheka na Mada Maugo leo Wametyambulisha rasmi mkanda huo ambao utashindaniwa Aprili 28 mwaka huu katika ukumbi wa PTA, Dar es Salaam.
Francis Cheka (kushoto) na Mada Maugo (kulia)
Pambano hilo linatarajiwa kuwa katika uzito wa kg 75 la raundi 12 la Kimataifa ambapo linatarajiwa kuwa chini ya Kamisheni ya Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania (TPBC huku majaji wa pambano hilo wakitegemewa kutoka nje ya nchi.

Akizungumza Dar es Salaam leo, Mratibu wa pambano hilo, Kaike Siraju alisema kuanikwa kwa mkanda huo kutaashiria kupamba moto kwa ambano hilo ambalo linatarajia kuwa katika ngazi ya Kimataifa ili kuweza kupatikana kwa mshindi wa halali na pia itafuta hisia za kuwepo na ubabaishaji katika pambano hilo.

JE WAMFAHANU VEMA ABIDA?

 Habida
Super beautiful Habida is a mother of one and working on her debut album after taking a break to attend to duties that come with motherhood. She burst into the scene with a little Sunshine, a collabo with household talent Nameless. She is genuine, a go getter and likes to have a good laugh. Here’s a little bit about her…
1. In a nutshell who is Habida…?
Habida is a mother, a wife and an artist. Habida is a spontaneous person, a lover, charitable, Kenyan, and very pro women!
2. I grew up listening to… Doris Day, Frank Sinatra, Marvin Gaye, Freddy Jackson, Anita Baker and Chaka Khan.
 
3. I have had a passion for music since… I was born I think LOL! I remember always being in front of the turn table dancing in my mothers’ clothes and jewelry.
4. I get my inspiration from… The people that brought me up. Even from celebrities like Anita Baker. She is the musician that made me do what I do today, and her story keeps me going when I feel like I want to give up.
5. Apart from singing I can also… Act. I am an actress by profession. I work on my brand behind the scenes, and do a lot of charity. I spend a lot of time with my daughter and I am working on a few things to be released soon.
6. I can never leave the house without my… Blackberry, lip-gloss and bottle of water
7. My number one role model is… Kimora Lee
8. I am currently working on… my Album release a lot more, but I’ll tell you that later 
9. My best time ever growing up was when… my parents, my sister and I would drive to Mombasa and we would stay at our shamba house in Diani. We would sit under the stars and talk about anything and everything.
10. Thai food, Jazz, my family, my shoes and handbags… these are a few of my favourite things
11. My advice for upcoming artists is… Don’t do this if you don’t really love it, as the fame is not enough to keep you going. Know who you are and be real with yourself, don’t be superficial and think the limelight is enough!

ZIARA YA SEAN PAUL YAHAIRISHWA UGANDA

His singles “she doesn’t mind”, Got to love you” off his latest album “Tomahawk Technique” have made him one of the on-form artists allover the world and despite the fact that he has visited Ugandan twice, Sean Paul was due to travel back to the country for a musical performance but cancelled the trip. The Jamaican sensation called of the trip after promoters failed to raise the 400million he was asking.“The Sean Paul concert has crumpled because the amount Sean is asking for is too much. He decided to double the price without informing us yet we had reached an agreement in the first place. We are looking at another artist of the same caliber. We will update you on any developments on the artist we confirmed.” Said one of the directors of Solid Agency.

LIL' KIM AKIIMBA KATIKA BET's RIP THE RUNWAY


Lil Kim made her first televised performance in years last night as part of BET’s Rip The Runway.   After being introduced by bloggers The Fly Guys, the Queen B hit the stage with a mean catwalk that rivaled the paid models before going into a performance of ‘If You Loved Me’, followed by ‘It’s All About The Benjamins’ and ‘Crush On You’.
This was truly what Lil Kim needed to get back in the game. Her energy was high throughout the entire performance, she didn’t use a pre-recorded track and she acted as her own hype man for majority of the performance which kept the crowd crunk.  If she felt as though she had something to prove, she definitely proved it.

ADRIANA LIMA IN SWIMMWEAR FOR VICTORIA'S SECRET SPRING 2012

 Brazilian hottie Adriana Lima sizzles in swimwear for Victoria's Secret Spring 2012 catalog. The bronzed beauty was glowing under the sun to bring plenty of heat to the book that will offer over 150 swim styles to choose from.
The Victoria's Secret Angel was photographed in Turks & Caicos with fellow Angel Candice Swanepoel. Click the behind-the-scenes video below where they talk sexy smack.
For instance Lima insists, "Even if you're shy, trust me, don't worry about it, put on the suit, you're gonna still look hot."

DMX MATATANI TENA..!!

DMX is on the hook for another $630,000
DMX
is on the hook for another $630,000 -- this according to a booking agency which claims X's legal problems torpedoed a lucrative international comeback tour ... and now, it's suing to get its money back.

The booking agency in question -- a company called Heavy Rotation -- filed the lawsuit in New York, claiming it struck an exclusive year-long deal with DMX in 2011 to book the rapper's concerts ... anywhere on the planet.

But according to the lawsuit, DMX was plagued with legal problems from the start -- a traffic violation in August, and two nasty child support disputes ... which led to a lien on the rapper's passport, preventing him from performing overseas.

According to the suit, HR bent over backwards to fix the legal issues -- coughing up nearly a hundred grand to cover bail, child support, and a slew of other legal bills ... hoping it would clear the way for the tour, a task that included lifting the lien on X's passport.

But HR claims its efforts were in vain -- because DMX continued to cause problems, hiring outside management that tried to book DMX on shows within the United States ... violating X's agreement with HR. On top of that, X couldn't resolve his passport issues ... and all concerts had to be canceled.

X's manager Jason tells a different story -- claiming DMX chose to sever all ties with HR after it put the rapper at risk with some unsavory business practices.

Wednesday, March 21, 2012

MILLEN MAGESE MODEL SEARCH 2012

PROF. IBRAHIM LIPUMBA AFUNGUA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA KUU LA CUF

Mwenyekiti wa Chama wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Haruna Lipummba katikati akiongea na wajumbe wa baraza kuu la (CUF) katika ukumbi wa Lamada Hotel leo jijini Dar es salaam, katika ufunguzi wa mkutano wa kawaida wa baraza la chama hicho wa kwanza kutoka kulia ni Naibu katibu mkuu wa (CUF) Zanzibar Jusa Ismail , Katibu mkuu wa chama hicho na Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Seif Sharif Hamad na kushoto ni mwenyekiti msaidizi Taifa Bw.Machano Khamisi Ally.

SITTA MGENI RASMI MEDIA DAY BONANZA 2012

WAANDISHI wa habari 1,500 wanatarajiwa kushiriki kwenye bonanza la vyombo mbalimbali vya habari litakalofanyika Jumamosi wiki hii ukumbi wa Msasani Beach Club, Dar es Salaam. 
Bonanza hilo hufanyika kila mwaka likiandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na linajulikana kama Media Day Bonanza. 
Lengo la bonanza ni kuwaweka pamoja waandishi wote wa habari bila kujali ni wa siasa, michezo, uchumi, afya na mambo mengine pamoja na wafanyakazi wa vyombo mbalimbali vya habari, ili kubadilishana mawazo na kufurahi pamoja. 
Maandalizi kuhusiana na bonanza hilo yapo hatua za mwisho, ambapo bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ watatumika kuburudisha washiriki, ambapo  shughuli itaanza saa tatu asubuhi hadi saa mbili usiku. 
Pia kutakuwepo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao tutawatangaza Alhamisi wiki hii, lengo ni kuwa na bonanza tofauti na la miaka ya nyuma. 
Mgeni rasmi katika bonanza hili atakuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, ambaye pia ni Mbunge wa Urambo Mashariki na aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta. 
Pamoja na mambo mengine, Sitta atakabidhi zawadi za vikombe na medali kwa washindi mbalimbali watakaoibuka siku hiyo, pia atapata fursa ya kuzungumza na washiriki wa bonanza hilo. 
Tunaomba vyombo vya habari ambavyo havijathibitisha ushiriki wao kwa njia ya maandishi vifanye hivyo kama vilivyoagizwa kwenye barua zao za mialiko, vinginevyo ushiriki wao hautathaminika.

KENYA BEAUTY QUEEN CHOSEN AS OLYMPIC TORCHBEARER

 Kenyans Evans Wadongo, Cecilia Mwangi, Asunta Wagura and Abbas Gullet have been chosen to be Olympic Torchbearers ahead of the 2012 sports event in London.
The four were chosen from 250,000 nominations for the ‘Moment to Shine’ campaign, as it has been labelled by the London 2012 Organising Committee.
The Kenyans were nominated by Samsung, who are one of the official sponsors of the event.
They will join close to 80,000 torchbearers chosen from around the world to carry the lit golden torches for one hour, from one London town to another.
The Kenyan group will all be bearing the symbolic torches on July 1; Evans, Cecilia and Asunta in Solihull, while Abbas will bear the torch in Evesham.
“We were chosen because of the community work we do,” Cecilia told Capital Lifestyle, elated at being among those who will make history.
“I was selected as an anti-jigger campaign ambassador. It’s a milestone for Ahadi Kenya Trust. It’s also a moment for Kenyan people to shine and for the world to know our story,” she said. “It came as a surprise.”
“We will also have a reception dinner afterwards,” says Evans, who will be rubbing shoulders with iconic Senegalese musician Youssou Ndour who is bearing the torch in Alcester on July 1.
“I feel proud and happy to be selected. It shows that people believe in and are inspired by my work,” Evans added. “Samsung wanted people who can inspire others and people whose work is widely known to make a positive impact.”
Evans came into the limelight after being feted as a CNN hero in 2012, for founding a company that makes solar lanterns for masses in Kenyan rural areas that cannot afford lighting at home. In doing so he was hoping to also improve the health of the impoverished minorities, who often get eye ailments because of using smoky uncovered kerosene lamps.
Former Miss World Kenya Cecilia on her part is well known as a crusader against jiggers, which are especially rampant in Central Kenya.
Abbas Gullet recently led the Kenya Red Cross Society in staving off a horrific famine in the Horn of Africa region, and Asunta is the Executive Director of KENWA, known as the first Kenyan to openly say she is HIV positive and campaign against infections and related stigma.
The London 2012 website says the nominations were received between May and June last year and successful nominees notified this month.

The over 80,000 torchbearers, including a 100-year-old woman, will carry the flaming torch in a relay that starts on May 19 and ends on July 27.

SEAN KINGSTON ASHITAKIWA KWA KUMZURU MWANAMKE

Sean Kingston has been accused of attacking a woman during his supporting act stint on Justin Bieber’s 2010 tour.
After landing at LAX on a flight from Miami earlier this week, 22-year-old Kingston was officially served, according to reports from Radar Online:

Beautiful Girls singer Sean Kingston has been served with a civil summons and complaint in connection with a lawsuit to be filed alleging he was involved in the gang attack of a woman. Kingston…was served Friday night with the legal docs, linked to an incident that allegedly occurred after a concert in 2010 in which Kingston opened for the Baby singer.
The private investigator who officially served the legal documents told Radar reporters he had no comment and was at LAX on official business.
There has been no official word released from the Kingston camp as of yet.
Kind of hard to believe a big ol’ teddy bear like Sean Kingston could ever lay hands on a woman, don’t you think?.

Tuesday, March 20, 2012

BASI LA PRINCES MURRO LAPATA AJALI MAENEO YA SENJELE MBEYA

Tukio zima la Ajali mbaya la basi la Prince Muro iliyotokea jana Usiku maeneo ya Senjele likielekea Tunduma. Mwendo kasi ndio chanzo cha ajali hiyo mtu mmoja amefariki na wengine 14 ni majeruhi
Majeruhi ambao wamenusurika katika ajali hiyo mbaya wamesema kwamba dereva huyo alikuwa mwendo kasi tangia walipo fika mikumi, Wameendelea kudai kwamba walimpa onyo mala kadhaa lakini hakuweza kuwasikiliza na akaongeza mwendo kasi zaidi mpaka walipo pata ajali hiyo maeneo ya Senjele kuelekea Tunduma. Habari kamili itakuja mpaka sasa kuna majeruhi 14 na mtu mmoja amefariki Dunia.
Hivi ndivyo inavyo onekana Damu na viti kuharibika vibaya baada ya ajali hiyo iliyo tokea jana usiku
Basi hilo likiwa limeharibika upande wa mbele kama inavyoonekana kioo cha mbele.

MKWASA AITA 25 WA TWIGA STARS

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Charles Boniface Mkwasa ametaja kikosi cha wachezaji 25 kitakachoingia kambini Machi 25 mwaka huu ikiwa ni sehemu ya program yake ya maandalizi kabla ya mechi dhidi ya Ethiopia. 
Wachezaji walioitwa kambini ni Amina Salum (Lord Baden Sekondari, Pwani), Asha Rashid (Mburahati Queens), Aziza Mwadini (New Generation, Zanzibar),
Esther Mayala (Street Girls, Mwanza), Evelyn Senkubo (Mburahati Queens), Fadhila Hamad (Uzuri Queens) na Fatuma Bashiri (Simba Queens). 
Wengine ni Fatuma Gotagota (Mburahati Queens), Fatuma Khatib (Mburahati Queens), Fatuma Mustafa (Sayari), Fatuma Omari (Sayari), Hanifa Idd (Uzuri Queens), Maimuna Said (JKT), Mwajuma Abdallah (JKT),  Mwanahamisi Omari (Mburahati Queens) na Mwanaidi Khamis (Uzuri Queens). 
Mwapewa Mtumwa (Temeke), Rukia Khamis (Sayari), Semeni Abeid (Tanzanite), Siajabu Hassan (Evergreen), Tatu Salum (Makongo Sekondari), Upendo Jeremiah (Pangani, Tanga), Veneranda Mbano (Tanzanite), Zena Khamis (Mburahati Queens) na Zena Said (Uzuri Queens).

AFYA YA KAMANDA GULUMO INAENDELEA VIZURI

Msanii Mkongwe wa bendi Kwongwe ya Msondo Ngoma Music, Muhidini Gurumo akiwa katika hospital ya Taifa Muhimbili, Dar es salaam jana, akipimwa mapigo ya Moyo na Ofisa Muuguzi Msaidizi wa Hospital hiyo,Suraiya Mohamed alipolazwa kufanyiwa uchunguzi wa kina toka mwishoni mwa wiki iliyopita.
MWANAMUZIKI Wetu maarufu wa bendi kongwe ya  Msondo ngoma, Muhidin Gurumoaliyelazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ugojwa wa shinikizo ladamu anaendelea vizuri.Akizungumza na Dar es Salaam jana,Msemaji wa bendi hiyo Rajabu Mhamila'Super 'D' alisema Afya ya  Gurumo inaendelea vizuri na wakati wowoteanaweza kuruhusiwa kutoka hospitalini hapo.Alisema kuwa madaktari wanataka kuchukua vipimo vya mwisho kwa kinakujua kila kitu kinachop msumbua  katika mwili wake."Kwa sasa tunashukuru Mungu afya ya Gurumo inaendelea vizuri tofautina mara ya kwanza na akiendelea hivi anaweza hakurusiwa hivikaribuni"alisema Super D.Hata hivyo aliwataka wapenzi wa bendi hiyo kumuombea duwa mwanamzikihuyo ili apone upesi pia aliongeza kwa kusema maonesho yao ya wikiihii ni kama ifuatavyo Alhamisi watakuwa Mwandege Mkoa wa Pwani,Ijumaawatapiga katika viwanja vya Lidaz Clab jumamosi watakuwa katikaviwanja vya TCC Sigara na Jumapili watamaliza wiki endi katika ukumbiwa Max Bar uliopo Ilala Bungoni alisema Super D.

WILL SMITH NA JADA PINKETT MAMBO BYEE..!!

Will Smith and Jada Pinkett Smith 76ers game
Wil smith na mkewe Jada.
Will Smith, jada Willow and Jaden
Familia ya smith.
Will Smith and Jada were all about that PDA this past weekend as they hit up a 76ers game in Philly with the kids.  Jada, who’s been rocking a long mohawk lately, made sure she let folks know that flame is still burning as she kissed Will in front of thousands on the huge jumbotron at the game. Their kids, Willow and Jaden as well as Will’s mother Caroline were also spotted.
Tomorrow, Jada will release the music video to the song she wrote for Will titled, ‘Burn’ on facebook.

Monday, March 19, 2012

REBECCA MALOPE KUPAMBA TAMASHA LA PASAKA

Pia kwaya mahiri ya Kinondoni Revival inayotamba na albamu yao mpya ya Mtu wa Nne, inatarajia kutumbuiza katika tamasha la Pasaka na Mwinjilisti Faraja Ntaboba kutoka DRC.

Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Baada ya kutikisa Uwanja wa Taifa, mashambulizi mengine yatahamia kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Aprili 9 mwaka huu.

"Katika tamasha la Pasaka mwaka huu, Rebecca Malope atapata fursa ya kuimba nyimbo mbalimbali zilizomo kwenye albamu zake," alisema Msama.

Rebecca amewahi kutamba na albamu za Saturday Nite (aliyoitoa Januari 1, 2009), Hlala Nami (Novemba 11, 2003), Siyabonga (Desemba 21, 2000), Free at Last (Novemba 18, 1997), African Classics (Mei 5, 2009) na Greatest Hits (Januari 10, 2006).

"Bado tunaendelea na mazungumzo na waimbaji wengine mahiri wa muziki wa Injili, lakini Rebecca atakuwepo akishirikiana na wengine mahiri kama Rose Muhando, Solomon Mukubwa na wengineo," alisema Msama.

Tamasha la mwaka huu malengo yake makubwa ni kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwasomesha watoto yatima na kuwasaidia mitaji wanawake wajane.

Kiingilio katika tamasha hilo kimetengwa katika kategoria tatu na kitakuwa sh. 2,000 kwa watoto, sh. 5,000 kwa viti vya kawaida na viti maalumu sh. 10,000.

Rebecca Malope ni mwimbaji nguli wa Afrika Kusini aliyetamba zaidi kimataifa mwishoni mwa miaka ya 90.

Malope alizaliwa katika shamba la tumbaku Afrika Kusini. Akiwa mtoto, yeye na dada zake walikuwa wakiimba kwaya kanisani.
Alijiunga na kundi la muziki wa injili akiwa binti mwenye umri mdogo, jijini Johannesburg, chini ya mtozi, Zizwe Zakho.

Alianza kutoa albamu yake ya kwanza aliyoipeleka Marekani mwaka 1996 na mwaka uliofuata alisaini mkataba na EMI kisha akatoa albamu ya Free At Last

TWANGA PEPETA ILIYVYOPAGAWISHA MANGO GALDEN KIONONDONI

Bendi ya The Africa Stars "Twanga Pepeta wazee wa kisigino" ikiongozwa na Luiza Mbutu wapili kushoto usiku wa kuamkia leo, bendi hiyo ilikuwa ikitoa burudani ndani ya ukumbi wa Mango Gardeni jijini Dar es salaam, pia bendi hiyo hivi karibuni inategemea kutambulisha Album yake mpya. Wengeni ni waimbaji wa bendi hiyo Muumin Mwinjuma kulia na kutoka kushoto ni Janet Isinika, Dogo Rama na Amigolas.
Wannenguaji wa kike wa bendi hiyo wakifanya vitu vyao katika onyesho hilo kwenye ukumbi wa Mango Kinondoni.
Wannenguaji wa kiume wa bendi hiyo wakifanya vitu vyao katika onyesho hilo kwenye ukumbi wa Mango Kinondoni.