Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, September 29, 2013

MISS UTALII TANZANIA KUMTANGAZA NYATI MWEUPE DUNIANI

Miss Utalii Tanzania 2013, Hadija Said Mswaga, amesema kuwa kupatikana kwa nyati mweupe wa ajabu na pekee duniani katika hifadhi ya Ngorongoro, imekuwa ni chachu na kichocheo cha pekee kwake katika mpango mkakati wake wa kuitangaza Hifadhi ya Ngorongoro kitaifa na kimataifa, ambapo kwa kuanzia ameamua kuanza kampeni hiyo kupitia mashindano ya dunia anayokwenda kushiriki ya Miss Tourism World 2013, ambayo mwaka huu yanafanyikia nchini Equatorial Guinea Octoba 12, 2013.
Kupatikana kwa Nyati huyo wa ajabu Mweupe, ambaye hapatikani sehemu nyingine yoyote Duniani, wakati huu ambao anakwenda katika mashindano hayo ya Dunia, imekuwa ni fulsa ya pekee kwa Tanzania, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na kwake , kuithibitishia dunia kuwa Ngorongoro Cater ni Ajabu la Asili la Dunia Barani Afrika. Ambapo sasa Ngorongoro Crater  pamoja na maajabu ya bonde lenyewe la kreta ya Ngorongoro, pia kuna maajabu ya Nyati Mweupe, Unyayo wa Binadamu wa kale zaidi Duniani, Mchanga wa ajabu unao hama kila mwaka kwa umbo la Nusu mwezi, Mlima wenye Volkano Hai wa Oldonyo Lengai, lakini pia ushirikiano wa kuishi bila kudhuriana wa binadamu na Wanyama katika hifadhi hiyo na upatikanaji wa jamii karibu zote za Wanyama wakubwa (BIG FIVE) na adimu duniani wakiwemo Faru Weusi,Duma,Mbwa Mwitu, Kaka kuona n.k.

WEMA SEPETU NA AUNT EZEKIEL WADENDEKA LIVE

Wema sepetu na Aunt Ezekiel wakisherekea siku ya kuzaliwa kwa Wema kwa kisses mbichi, hii ni tafsiri kwa jamii ya wqatu wa kitanzania?

MAJAMBAZI YAPORA 150 ML BENKI YA I&M JIJINI DAR

Majambazi saba akiwemo mmoja ambaye amevalia sare za polisi wameiteka benki ya I&M  jijini Dar es Salaam na kuchukuwa fedha zinazohisiwa  kuwa  ni zaidi ya shilingi milioni 150 na kutokemea kusikojulikana.
Tukio hilo limetokea katika benki hiyo iliyoopo katika makutano ya mtaa wa Indira Gandi na Mosque ambapo baadhi ya mashuhuda wameelezea tukio hilo lilivyokuwa.   Akizungumza katika eneo la tukio kamanda wa polisi mkoa wa Ilala kamanda Marieta Minagi amesema bado wanaendelea kufanya uchunguzi wa tukio lenyewe ingawa  mpaka sasa ni kama milioni zaidi  150 zinahisiwa kuibiwa.   Naye mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meki Sadiki akiwa katika eneo hilo amesema  matukio ya Kuiba fedha katika benki yanazidi kushamiri na hivyo kuna haja ya taasisi husika kujipanga  upya.
  Hata hivyo ITV ilishuhudia baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo wakipandishwa katika gari la polisi lenye namba za usajili  T220 AMV na kuondoka  nao kwa ajili ya mahojiano  zaidi

BALAA LA MSANII DIAMOND HUKO GEITA










BET 2013 HIPHOP AWARDS LINEUP REVEALED


During the taping of the 2013 BET Hip Hop Awards on Saturday (September 28), the lineups for the always entertaining and popular cyphers were revealed.
 The most hilarious cypher will feature Kevin Hart a.k.a. Chocolate Drop, Nick Cannon, JB Smoove and more.
 On a more serious note we can look forward to hearing bars from, Slaughterhouse, A$AP Mob, Black Hippy, Travis $cott, Lil Kim, Action Bronson, Astro, Jon Connor and many more.
 It's rumored that Michigan spitter Jon Connor hinted at joining Dr. Dre's Aftermath label during his time on the mic. We'll have to wait and see, but that would be a great addition to Dre's team.
 Check out the lineups below.
 Cypher 1 – Wax, Rapsody, Emis Killa, Rittz, Jon Connor
Cypher 2 – A$AP Mob: Ferg, Twelvy, Nast, Ant & Rocky
Cypher 3 – Action Bronson, Star Life Breezy (Sprite Contest Winner) ,Travis $cott, Tifanny Foxx & Lil Kim
Cypher 4 – Slaughterhouse: Joell Ortiz, Crooked I, Royce da 5’9 & Joe Budden
Cypher 5 – TDE: ScHoolBoy Q, Jay Rock, Ab Soul, Isiah Radhad & Kendrick Lamar
Cypher 6 – Real Husbands Of Hollywood: Chocolate Drop (Kevin Hart), Nick Cannon, Nelly, Boris Kodjoe, Dwayne Martin, JB Smooth
Cypher 7 – Asia Sparks, Bad Lucc, Problem & Astro 
   BET will air the show on October 15th at 8PM EST.

Saturday, September 28, 2013

N.O.R.E ATANGAZA KUACHA MUZIKI BAADA YA ALBUM HII IJAYO


If history has proven anything, it’s that rappers never retire. But to hear N.O.R.E. tell it, he’s ready to put the mic down after his next album Melvin Flynt 2 and focus on becoming a rap CEO. Say what, what?!

“I think I need to step away from the game in totality as an artist per say, as N.O.R.E. to give these new artists their full shot.”Good Belt Gang is made up of Yung Reallie, City Boy D, Black Boy Cocca, Tweez and Money Ming and collectively they’ve inspired the 36-year old rapper to move on in his career. “Will I stop rapping? No, because I love to rap. But will I be putting out albums and will I be touring? That’s the part — I think I want to fully sit back and try and be a CEO,”

BANK YAMPELEKA PUTA MARY J BRIGE


It pays to be broke ass broke if you're Mary J. Blige's foundation -- a bank just agreed to slash the group's debt by nearly $200,000 .
According to legal docs, TD Bank reached a settlement with Mary J.'s charitable group ... agreeing to let it pay a mere $125k -- which might not sound like a great deal, until you realize the total tab was a whopping $322,000!
As source first reported ... the Mary J. Blige and Steve Stoute Foundation for the Advancement of Women Now was sued last year when it defaulted on a $250k loan. The charity even blamed the bank ... claiming it should've know the group's finances were in shambles.
According to the settlement, the group will pay back $15,000 immediately -- and then make 12 easy payments of $9,166.
We're guessing TD Bank agreed to the deep discount because ... some money is better than none at all.

ELIZABETH BOIFACE ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2013


Miss Universe Tanzania 2013, Betty Boniface baada ya kutangazwa mshindi, pembeni ni mshindi wa mwaka jana, Winfrida

Betty (katikati) akiwa na washindi wa pili (Miss Earth Tanzania, Clara Noor) na mshindi wa tatu

Warembo walioingia Top 5.

SIRI YAFICHUKA: DAKTARI FEKI ALIKUWA NI FUNDI UMEME TU

SIRI imefichuka! Kumbe yule Dokta Dismas John Macha aliyenaswa kwa tuhuma za kujifanya daktari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar, Jumanne wiki hii, ni fundi wa umeme wa nyumbani, Risasi Jumamosi linaianika.
Akizungumza na mwandishi wetu Jumatano wiki hii, mmoja wa maafisa wa ngazi ya juu wa Jeshi la Polisi ambaye hakutaka jina lake liandikwe kwa kuwa si msemaji wa jeshi hilo, alisema kwa mujibu wa uchunguzi wao, ilibainika kwamba dokta huyo feki ni fundi umeme wa siku nyingi.
Afisa huyo alisema kuwa hadi sasa uchunguzi zaidi juu ya Macha unaendelea ili kujua mambo mengine yaliyojificha.
Hata hivyo, hakuweka wazi ni hatua gani ambayo anaweza kuchukuliwa na kusisitiza kuwa lile ni kosa kubwa kwani linahusisha afya na maisha ya watu.
“Baadhi ya mambo ambayo tumeyabaini kuhusu huyu jamaa, ni kuwa kumbe ni fundi umeme wa nyumbani na alichokuwa akifanya Muhimbili ni kutaka kujipatia fedha kwa mkato japo tunaendelea kupeleleza kujua ni wapi alipata vifaa vya udaktari,” alisema na kuongeza:
“Tuhuma kama hii ni nzito, inahusisha afya na maisha ya watu kwa jumla, taratibu zinaendelea kujua mengi sana juu ya huyu bwana.”
Macha ambaye anadaiwa kutafutwa na uongozi wa Muhimbili kwa muda mrefu, alikamatwa na kufikishwa kwenye kituo cha usalama cha Muhimbili (Muhas) kwa mahojiano zaidi ambapo habari zilidai alisema yeye ni daktari wa Mwananyamala ambaye alifika hapo kwa ajili ya kuangalia wagonjwa wake wa nje. 

WANAWAKE WAANDAMNA KUDAI SERIKALI IWASAIDIE KUPATA WAUME

Amini usiamini Nigeria ina upungufu wa wanaume wa kuoa!! Kiasi kwamba wanawake wanaotamani kupata wenza na kutengeneza familia wameamua kuchukua hatua. Zaidi ya wanawake elfu 8 walio single jana wameandamana kutokana na upungufu wa wanaume wa kuwaoa.
Lengo la maandamano yao ni kuishinikiza serikali kuwasaidia waolewe, kivipi? (Ndio swali hata mimi nimejiuliza!)
Wanawake waliojikusanya na kuandamana ni mkusanyiko wa 5380 waliopewa talaka, 2200 ni wajane 1200 yatima, na 80 wengine. Wanawake hao wamedai kuwa hawana uwezo hata wa kununua chakula cha siku kwa sababu hawana wanaume wa kuwasaidia ndio maana wanahitaji wanaume wa kuwaoa na kuwasaidia mahitaji yao.


KWA HABARI ZAIDI BOFYA OLDER POSTS

MUIGIZAJI, MEGAN LYNNE YOUNG AWA MISS WORLD 2013


Philippines—Heavy favorite Megan Lynne Young form Olongapo City bested 24 other aspirants in the 2013 Miss World Philippines pageant Sunday night at the Solaire Resort and Casino in Pasay City and took home the coveted title, P1 million worth of management contract from the pageant organizer, plus gifts and services from the contest’s sponsors. 
 SONY DSC
Young, 23, is a local television personality who first gained prominence as an “avenger” in the GMA 7 reality talent search “Starstruck.” She later moved to ABS-CBN where she scored hosting gigs and other acting projects.
On her first foray in a nationwide pageant, Young also bagged the lion’s share of special awards—Best in Fashion Runway, Miss Sports by Fila, Miss Reducin, Miss Olay, Miss Laguna World, Miss Bold and Glamorous by Revlon, Miss Figlia and Miss Bench Body.
Palawan native Janicel Lubina placed second and was proclaimed First Princess which comes with a P150,000 prize money.
The 18-year-old Lubina, also the reigning Miss Bikini Philippines set to represent the country in the Miss Bikini International competition later this year, was also proclaimed Best in Swimwear and Miss Photogenic.
Zahra Bianca Saldua from Las PiƱas City, a Muslim woman, was crowned Second Princess and got P100,000. She was the lone candidate to parade in a one-piece swimwear and did not take off her sarong in the swimwear competition. She was also proclaimed Miss Friendship and Miss Pantene.
Nueva Ecija’s Bianca Paz, who placed fourth in the pageant’s maiden edition in 2011, landed in the same spot this year and was proclaimed Third Princess. She took home P75,000, along with the distinction of being Miss Redoxfat and Best in Long Gown, the same award she received on her first shot at the title.
Rounding up the Top 5 is Omarie Linn Osuna, 20, from Olongapo City.
Young will try to bag for the Philippines its first victory in the 63rd Miss World pageant in Indonesia on Sept. 28.
MEGAN YOUNG

MEGAN YOUNG 4

MEGAN YOUNG 5
MEGAN YOUNG 6
MEGAN YOUNG 8
MEGAN YOUNG 12
s not by this site
MEGAN YOUNG 14
WATCH MISS WORLD 2013 HERE

NEW VIDEO: FLO RIDA - THE DREAMZ "OFFICIAL MUSIC VIDEO"

To coincide with his new venture, The Beamz, which allows users to create music with the movement of hands and laser light, Flo introduces the project with an accompanying new video. Pretty bright, huh?
 Behind The Scenes: 2 Chainz “Used To”

 2 Chainz recently shot the visual to one of the stand out tracks off his B.O.A.T.S 2: Me Time. The visual will pay homage to the Hot Boys with cameos from Weezy, Juve, Turk and Mannie Fresh. Stay tuned.

TANK: NACHUKIZWA NA DRAKE, BIG SEAN KUPEWA PROMO PASIPO YA UKALI

Tank has grown tired of turning on his radio and hearing rappers who sing get more airplay than actual singers.
 "A mainstream radio station is more apt to play a rapper singing badly than a singer singing great," he told HipHollywood. "So right now it's a competition. It's a competition between the R&B singers and the rap R&B singers. And I'm waging war on anybody singing that calls themselves a rapper."

KAT STARKS ON GETTING DIPORTED: Says She Never Slept w/ Q (Worldstar)

Young Jack Thriller recently spoke with Kat Stacks for an exclusive interview!
She explains where she came from, being pimped, the definition of a bottom b*tch, says she never slept with Q of Worldstar, being locked up, getting deported, doing business with Q & much more!

YALIOJILI PARIS FASHION WEEK 2013- RUNWAY YAWAKA MOTO

Tizama video hapa chini
VIDEO 2

RIHANNA ATUMBUIZA "WHAT NOW" KATIKA KIPINDI CHA ALAN CARR:CHATTY MAN

Alan Carr and Rihanna
Rihanna helped Alan Carr celebrate his 100th show on Friday’s “Chatty Man.” Wearing a checkered-patterned jacket and leather leggings, the pop diva sat down with the British comedian for an interview filled with laughs.
She asked the bartender for a “Duck Fart,” but when he couldn’t deliver, she settled for a shot of vodka before discussing her mullet hairstyle, River Island clothing line, Barbados’ Crop Over fest, and her reputation for partying.
“I just try to be as honest with myself as possible, be realistic with who I am and what I love to do, what makes me happy, and it’s not always partying,” said RiRi. “As a matter of fact, recently I’ve become like a square, I hate partying. I’ve been so bored of it maybe it’s because it’s the same music every night.”
When asked if she’s been getting any action on the road, she responded, “I am such a bootleg rock star. I do nothing actually. I’m embarrassed to say that. That’s so disgusting. I’m pathetic.”
She also performed her latest Unapologetic single “What Now,” for which she recently shot a video in Thailand.

NICK MINAJ AIPAPASA MIJIBABA VIFUA LIVE

Nicki Minaj
While promoting her new fragrance Minajesty on Friday’s episode of “Ellen,” Nicki Minaj got up close and personal with some hunks. The “Super Bass” rapper was blindfolded and had to sniff the chests of three guys to find where Ellen had sprayed her scent.
“Lol. Only for Ellen,” tweeted Nicki.
Was she able to identify the spot? Find out how she did.
 Screen Shot 2013-09-28 at 11.26.58 AM Screen Shot 2013-09-28 at 11.24.41 AM
“I don’t wear bras. I hate bras. Bras are the devil!!!”

NEW VIDEO: KING PUSHA BY PUSHA T

Pusha T
Pusha T comes for the crown in the dark video for “King Push.” The G.O.O.D. Music MC flexes his power on the Joaquin Phoenix-produced track, which opens his debut My Name Is My Name.
“I rap, ni**a bout trap ni**as/ I don’t sing hooks,” he declares over the militaristic beat.
MNIMN drops Oct. 8 featuring collaborations with Chris Brown, Kendrick Lamar, Kelly Rowland, 2 Chainz, and Big Sean. “It’s definitely going to be the hip-hop album of the year,” he told Mtv news.
WATCH VIDEO HERE 

MISS WORLD 2013 FINALE LIVE UPDATEs

In less than 24 hours, the new Miss World 2013 will be crowned by the reigning Miss World 2012, Wenxia Yu of China. The show will begin at 7.30pm local time with the “Menuju Final Show”. Here is the detailed schedule released by the Miss World 2013 Media Center:
17.00 WITA : “Menuju Final Show”
18.30 WITA : Red Carpet Miss World 2013
19.30 WITA : Final Show LIVE from RCTI
22.00 WITA : Press Conference of the newly crowned Miss World 2013 and her court.
22.30 WITA : Miss World 2013 Coronation Party.

In addition to Miss World 2013 Talent Challenge Winner which was announced during the live TV show, the official Challenge Winner Results for Miss World 2013 were announced during this morning’s rehearsals: Miss World Nepal Ishani Shresta was the winner of the Beauty With a Purpose Award 2013; Miss World Brazil Sancler Frantz won the Beach Fashion competition; Miss World Philippines Megan Young was the winner of the Top Model contest; Miss World India Navneet Kaur Dhillon won the Social Media Award; Miss World Netherlands Jacqueline Steenbeek won the Sport Challenge.
Official Challenge Winner Results for Miss World 2013
Talent: Miss World – Indonesia Vania Larissa; The first runner-up: Miss World Australia – Erin Holland; The second runner-up: Miss World Ukraine – Anna Zaiachkivska; The third runner-up: Miss World British Virgin Islands – Kirtis Mallone; The fourth runner-up: Miss World Canada – Camille Munro;
Sports Challenge: Miss World – Netherlands Jacqueline Steenbeek; 2nd – SPAIN – Elena Ibarbia Jimenez; 3rd – NORTHERN IRELAND – Meagan Green; 4th – PARAGUAY – Coral Ruiz Reyes; 5th EL SALVADOR – Paola Ayala.
Multimedia Award: Miss World – India Navneet Kaur Dhillon; 2nd – THAILAND – Kanyaphak Phokesomboon; 3rd – NEPAL – Ishani Shrestha; 4th – PHILIPPINES – Megan Young; 5th – MALAYSIA – Melinder Bhullar.
Beach Fashion : Miss World – Brazil Sancler Frantz; 2nd – FRANCE – Marine Lorphelin; 3rd – GHANA – Naa Okailey Shooter; 4th – JAMAICA – Gina Hargitay; 5th – PHILIPPINES – Megan Young.
Top Model: Miss World – Philippines Megan Young; 2nd – UNITED STATES – Olivia Jordan; 3rd – FRANCE – Marine Lorphelin; 4th – UKRAINE – Anna Zaiachkivska; 5th – BRAZIL – Sancler Frantz.
Beauty with a Purpose: Miss World – Nepal Ishani Shresta; 2nd – AUSTRALIA – Erin Holland; 3rd – TANZANIA – Brigitte Lyimo; 4th – BELGIUM – NoĆ©mie Happart; 5th – BRAZIL – Sancler Frantz; 6th – FRANCE – Marine Lorphelin; 7th – GHANA – Naa Okailer Shooter; 8th – ENGLAND – Kirsty Heslewood; 9th – INDIA – Navneet Dhillon; 10th – ARUBA – Larissa Leeuwe.
KWA HABARI ZAIDI CLICK OLDER POSTS

VIVAZI VYA BIKINI KUTOKUWEPO LEO KATIKA FAINALI ZA MISS WORLD 2013

The organizer of Miss World 2013 beauty pageant declared that the beauty pageant would ditch bikinis amid protests launched by hard-line Muslim groups in Indonesia.
 miss-world-bikini
According to Adjie S Soeratmadjie of the RCTI (Rajawali Citra Televisi Indonesia), official broadcaster and organizer of Miss World 2013 in Indonesia, the contestants will now be required to wear long Bali sarongs instead of bikinis, reported Ace Showbiz.
"There will no bikini in this year’s Miss World pageant to respect our traditional customs and values. This is a sensitive issue in Indonesia. We have discussed it since last year and they have agreed," Soeratmadjie said.
Miss-World bikinis
Last year, pop sensation Lady Gaga was forced to cancel its sold-out concert in Jakarta because of huge protest from hardliners for her provocative outfits.

Even Beyonce Knowles and The Pussycat Dolls also toned down their sexy clothing when they performed in the most populous Muslim country.