Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, August 3, 2015

YOLANDA SHAYO BALOZI WA MKOA WA KILIMANJARO ATEMBELEA VITUO VYA WATOTO YATIMA

Mrembo aliebuka kidedea kwenye shindano la kumsaka barozi wa mkoa wa Kilimanjaro 2015,Yolanda Shayo ametembelea vituo vya watoto yatima katika eneo la mamba Malangu moshi vijijini.

Shughuli hiyo ilifanyika mapema jana ambapo mrembo huyo alitembelea vituo vinee ambavyo ni Msoroe,Mrieni,Kikoro na kotela kwa kugawa vifaa vya shule kwa watoto na kula nao chakula cha pamoja.

Baadhi ya vitu vilivyotolewa na mrembo huyo ni kalamu,madaftari,rula na sabuni za kufulia na kuogea,Yolanda alipata fulsa ya kuongea na viongozi wa vituo hivyo ambapo alibaini  changamoto balimbali zinazokabili vituo hivyo.

Yolanda ambae ni Miss Kilimanjaro Ambassador wa mara ya kwanza ameonesha jitihada zake za kuanza kazi ya urembo kwa kuitumikia  jamii yake ambapo alikuwa ana wito huo tangu akiwa mtoto.

Kwa nafasi aliyoipata mrembo huyo ameaidi kuwa kinara kuutangaza utamaduni wa mkoa wa kilimanjaro na kuvitangaza kitaifa na kimataifa vivutio vya utalii vilivyomo ndani ya mkoa huo.

"mbali ya kuwa mrembo na balozi wa mkoa wa kilimnjaro nitahakikisha natumia fulsa hii kupeleka ujumbe mbalimbali kwa jamii yangu ikiwemo kuwahimiza vijana wenzangu kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika octoba" aliongea Yolanda.
Miss kilimanjaro ambassador 2015,Yolanda Shayo akiwa katika picha ya pamoja na mtoto ambae anaosha kalamu ikiwa ni sehemu ya zawadi zilizogawiwa na mrembo huyo.
 Yolanda Shayo akisaidia kugawa chakula kwa watoto na viongozi wa vituo hivyo,ambapo alishiriki kwa pamoja nao katika chakula cha mchana.

YOLANDA SHAYO NDIYE MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015

 Yolanda Shayo ndiye mshindi wa shindano la kumsaka balozi wa Mkoa wa kilimanjaro 2015, Yolanda alifankikwa kuwabwaga washiriki wenzake na kutoka kidedea katika shindano hilo kwa kuibuka na taji la kuwakilisha mkoa huo(Miss Kilimanjaro Ambassador 2015).
Shindano hili ambalo lilifanyika mwishoni mwa mwezi wa saba likikutanisha wanyange mbalimbali kwa adhima ya kukuza na kuendeleza vipaji vya wasichana warembo,shindano hili ambalo lilidhaminiwa na cocacola,vodacom na castle light na kupambwa na msanii Diamond platnumz.
Nafasi ya pili ilienda kwa Doreen Cosmas(namba1 kiunoni) na nafasi ya tatu ilienda kwa mrembo Winny Usiri(mwenye gauni jekundu)

WAKRISTO WA ITALIA WAWEZESHA ZAHANATI YA KISASA VIKAWE

IMG_0282
Mkuu wa Masista Waabuduo Damu ya Kristo, Euprasia Julius akimtambulisha mgeni rasmi na meza kuu kwa wageni waalikwa na wanakijiji wa Vikawe (hawapo pichani) katika hafla ya ufunguzi wa Zahanati ya Da.Ma Africa Maria De Mathias (MDM) Vikawe, Kibaha.
Na Mwandishi wetu, Kibaha
MGANGA Mkuu wa halmashauri ya Mji Kibaha, Dk. Happniness Ndosi amepongeza shirika la masisita wa Waabuduo Damu ya Kristo kwa kufanikisha ujenzi wa zahanati ya kisasa katika kijiji cha Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani.
Mganga huyo ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa zahanati hiyo,pamoja na kuwapongeza amesema serikali itaendelea kushirikiana na mashirika yote kwa lengo la kuwezesha kila kijiji kiwe na zahanati na kila kata kituo na kila wilaya kuwa na hospitali.
Aliwapongeza masista hao kwa kuonesha upendo na huruma kama Biblia inavyomsimulia msamaria mwema ambaye alikuta mtu aliyepigwa na majambazi na kumsaidia.
Aliahidi ushirikiano wa serikali katika kufanikisha usajili wa zahanati hiyo na kuendelea kuisaidia hatua kwa hatua hadi inakuwa kituo mpaka watakapofanikisha safari yao ya kuwa hospitali kubwa ya kisasa.
Mganga huyo pamoja na kutoa ahadi hiyo aliwataka wananchi wa Vikawe kutumia huduma hiyo na kwamba zahanati hiyo itakapohitaji msaada wa gari la kubebea wagonjwa (Ambulance) wataletewa kuchukua mgonjwa na kumfikisha panapohusika.
Zahanati hiyo ya DA.MA Africa imejengwa kwa ufadhili wa wakristo wa Italia chini ya usimamizi wa Muitalia, Germano Frioni.
Akitoa salamu zake Muitalia huyo amesema kwamba anawashukuru wakazi wa Vikawe kwa kumpa nguvu ya kusonga mbele hasa kwa kutambua kwamba yeye na marafiki zake wamefanyakazi usiku na mchana kutafuta fedha kwa ajili ya kusaidia marafiki wa Afrika.
Alisema atajitahidi kufanya kila linalowezekana kuhakikisha changamoto za zahanati hiyo zinafanyiwa kazi.
Aliwaomba wananchi wa Tanzania kuendelea kumuombea yeye na wenzake kama Papa Francis anavyoagiza ili malengo ya safari ya kuwapo duniani yafanikiwe.
Alisema kwamba watoto wake Daniel na Marco (kwa sasa wote ni marehemu) ambao ndio kifupi cha zahanati hiyo DA.MA wamemfanya kujitambua na kusaidia wengine katika kuonesha upendo.
Aidha alisema kwamba ataendelea kukumbuka Vikawe kwani alifika mara ya kwanza mwaka 2005 na kuona hali ilivyokuwa ambapo sasa lipo jengo la zahanati hiyo likiwa limekamilika.
Wazo la ujenzi wa zahanati hiyo , lilitolewa na wananchi wa Vikawe kwa Masisita Waabuduo Damu ya Kristo mwaka 2004 wakati wakiwa katika eneo hilo baada ya kununua ekari 40 kwa ajili ya kilimo mwaka 1994.
Alisema pamoja na maombi hayo na wao wenyewe kutambua kwamba kuna mahitaji makubwa ya huduma ya afya japokuwa kuna zahanati ya serikali, hawakuweza kutekeleza maombi ya wanavijiji hadi mwaka 2011 walipofanikiwa kupata ufadhili kutoka Italia na kuanza ujenzi mwaka 2013.
Katika risala yao walisema kwa ushirikiano kati yao na wafadhili hao wamefanikiwa kuwapo kwa zahanati hiyo yenye mahitaji yote ya msingi kwa mujibu wa taratibu za serikali na kuzidi.
Msoma risala alisema kwamba wataendelea kupanua miundombinu mpaka zahanati hiyo ifikie ngazi ya cha afya na baadae hospitali.
Pamoja na ujenzi wa zahanati hiyo ya kisasa masisita hao wameanzisha shule ya awali kuwaandaa wanafunzi wa darasa la kwanza.
Wamesema kwamba wanaamini kwamba wataendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine wa afya katika kuimarisha huduma za hospitali hiyo.
Zahanati hiyo pamoja na vifaa tiba pia ina raslimali ya visima vya maji ya mvua ujazo zenye ujazo wa lita laki moja na kingine lita 49 elfu, wanatumia umeme wa sola na jenereta .
Walisema kwamba wanachangamoto ya kukosa umeme wa Tanesco, barabara nzuri na nyumba za wafanyakazi.
IMG_0289
Mwenyekiti wa kijiji cha Vikawe, Kibaha, Shabaan Mgini akiwasalimia wageni waalikwa wakati wa utambulisho.
IMG_0301
Sr. Theresia Rogatus akisoma risala katika hafla ya ufunguzi wa Zahanati ya Da.Ma Africa DMD iliyopo Vikawe, Kibaha.
IMG_0323
Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha, Dr. Happiness Ndosi akizungumza kwenye hafla ya ufunguzi wa Zahanati ya Da.Ma Africa -DMD kijiji cha Vikawe, Kibaha. Kutoka kushoto ni Mdau wa Zahanati hiyo, Dr. Zuberi Mzige wa Hospitali ya Mwananyamala,
IMG_0335
Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha, Dr. Happiness Ndosi akimpa mkono wa shukrani Mfadhili aliyejitolea kujenga Zahanati hiyo Raia wa Italia, Germano Frioni kwa ujenzi wa Zahanati hiyo itakayohudumia wakazi wa kijiji cha Vikawe, Kibaha.
IMG_0341
Masista Waabuduo Damu ya Kristo wakielekea meza kuu kwa mwendo wa madaha huku wakiwa wamebeba zawadi kwa ajili ya kumkabidhi mgeni rasmi na wafadhili waliojitolea kujenga Zahanati hiyo.
IMG_0348
Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha, Dr. Happiness Ndosi (kulia) akimkabidhi zawadi Mfadhili aliyejitolea kujenga Zahanati hiyo Raia wa Italia, Germano Frioni. Anaye shuhudia tukio hilo ni Baba Paroko wa Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Kalmeri Bunju...
IMG_0351
Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha, Dr. Happiness Ndosi akikabidhi zawadi kwa wadau waliombatana na Mfadhili aliyejitolea kujenga Zahanati hiyo Muitalia, Germano Frioni.
IMG_0354
IMG_0194
Mganga Mkuu wa halmashauri ya Mji wa Kibaha, Dr. Happniness Ndosi (wa pili kulia) pamoja na Mfadhili wa ujenzi wa Zahanati ya Da.Ma Africa ya kijiji cha Vikawe, Kibaha, Muitalia, Germano Frioni wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Zahanati hiyo inayosimamiwa na Masista Waabuduo Damu ya Kristo nchini.
IMG_0230
Muonekano wa ndani ya Zahanati ya Da. Ma Africa-DMD iliyop Vikawe, Kibaha mkoa wa Pwani.
IMG_0211
Mganga Mkuu wa halmashauri ya Mji wa Kibaha, Dr. Happniness Ndosi akiangalia chumba cha dawa katika Zahanati hiyo mara baada ya kuzinduliwa.
IMG_0235
Wageni waalikwa wakijadiliana jambo mara baada ya kufungiliwa rasmi Zahanati hiyo nje ya moja ya chumba cha upasuaji mdogo.
IMG_0128
Baba Paroko wa Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Kalmeri Bunju akiendesha ibada takatifu ya misa maalum kabla ya ufunguzi rasmi wa Zahanati hiyo.
IMG_9973
IMG_0089
Wanakijiji wa Vikawe wakishiriki ibada maalum wakati wa uzinduzi wa Zahanati ya Da. Ma Africa.
IMG_0126
IMG_0086
IMG_0265
Kwaya ikitoa burudani.
IMG_0017
Wageni waalikwa na wanakijiji wakishiriki kuimba pamoja na kwaya.
IMG_0102
Pichani juu na chini ni baadhi ya wanakijiji na wageni waalikwa waliohudhuria uzinduzi huo.
IMG_0140
Umati wa wageni waalikwa na wanakijiji wa Vikawe.
IMG_0361
Mgeni rasmi Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha, Dr. Happiness Ndosi katika picha ya pamoja na wadau pamoja na wafadhili waliojenga Zahanati hiyo.
IMG_9898
Masista Waabuduo Damu ya Kristo wakifurahia taswira za picha za mnato kutoka kwenye kamera.
IMG_0224
Jenereta la Zahanati ya Da.Ma Africa linalotumika kutoa umeme katika Zahanati hiyo.
IMG_9881
Muonekano wa nje wa jengo la Zahanati ya Da.Ma Africa kabla ya kuzinduliwa rasmi.
IMG_0247
Wanakijiji wa Vikawe na wageni waalikwa wakiingia kukagua Zahanati hiyo mara baada ya kuzinduliwa.

Wednesday, July 29, 2015

Nicki Minaj Brings Out Lil Wayne in Brooklyn


Nicki Minaj’s “Pinkprint Tour” stopped by Brooklyn’s Barclays Center on Sunday night (July 26), and it brought a whole lot of excitement with it. First, concertgoers got to see Meek Mill, Nicki’s boyfriend, air out Drake on stage—Meek made several pointed comments about Drake’s use of ghostwriters, in the wake of Drake’s “Charged Up” diss track.
But that wasn’t all—the real fireworks came when Nicki brought out her Young Money labelmate Lil Wayne for a surprise performance. Weezy livened up the huge crowd, performing his verse from Chris Brown’s “Loyal.”
“Make some noise for the man who changed my life,” gushed Nicki while bowing to her mentor. “Ain’t nobody fu**in’ with you. I don’t care how long I’ve been in this game. I think you are the best rapper alive.”

Usain Bolt storms to victory in 100m final at Anniversary Games and sets sights on showdown with Justin Gatlin.

Usain Bolt laid the groundwork for a box-office clash in Beijing next month between the superstar of the sport and its chief villain Justin Gatlin as he won his first serious 100metres of the season in 9.87 seconds despite a sodden track in London.
The Jamaican superstar then watched his friend Mo Farah, who he has defended in the wake of the doping storm surrounding coach Alberto Salazar, ease to a stunning 3,000m victory.
Farah has never lost at the Olympic Stadium, where he made history by doing the distance double at London 2012. He received the loudest cheers of the night and won in 7min 34.66sec, before mimicking Bolt’s trademark archer celebration. 
Scroll down for video 
Usain Bolt cruised to victory during the men's 100m final at the Sainsbury's Anniversary Games, allaying any concerns over his fitness  
Usain Bolt cruised to victory during the men's 100m final at the Sainsbury's Anniversary Games, allaying any concerns over his fitness  
Bolt's time of 9.87 seconds in both the heat and the final on Friday night, is the sixth fastest time of the year for that event
Bolt's time of 9.87 seconds in both the heat and the final on Friday night, is the sixth fastest time of the year for that event

Bolt was on his first outing for six weeks after recovering from a pelvic injury and looks to be returning to his best form
Bolt was on his first outing for six weeks after recovering from a pelvic injury and looks to be returning to his best form
Meanwhile, Great Britain's Mo Farah won the men's 3,000m, beating his own Olympic Stadium record in the process 
Meanwhile, Great Britain's Mo Farah won the men's 3,000m, beating his own Olympic Stadium record in the process 

The ring is STILL on! Kylie Jenner, 17, continues to flaunt new band on wedding finger that may be from beau Tyga, 25

She showed off a new band on her wedding finger on Monday.
And the next day Kylie Jenner appeared to go out of her way to reveal the piece of jewelry is still on her finger as she stepped out in downtown Los Angeles with sister Kendall, 19.
The 17-year-old held her hand up to her hair, putting the band - which was joined by a Cartier LOVE ring - on full display.
Scroll down for video 
Yup, I still have it on: Kylie Jenner appeared to go out of her way to reveal her new gold band is still on as she stepped out in downtown Los Angeles on Tuesday
Yup, I still have it on: Kylie Jenner appeared to go out of her way to reveal her new gold band is still on as she stepped out in downtown Los Angeles on Tuesday
It could be a wedding band: The 17-year-old reality star has been dating Tyga, 25, who could have given her one if not both rings
Did he put a ring on it? Kylie  ignited rumours she is now married to rapper Tyga after posting a picture of herself wearing a new ring on her wedding finger on Monday
Did he put a ring on it? Kylie ignited rumours she is now married to rapper Tyga after posting a picture of herself wearing a new ring on her wedding finger on Monday
The looker appeared camera ready as she wore a black cropped tank top with a gold zipper up the back and matching wide-legged slacks with six inch heels.
The E! teen's raven locks were parted in the middle and perfectly groomed.
And the reality star stood out with her silver framed purple sunglasses and a furry shoulder bag. 
No hiding: In every snap the E! teen made sure her wedding finger was in full view 
No hiding: In every snap the E! teen made sure her wedding finger was in full view 
Putting it all behind her: The sister of Kim, Kourtney and Khloe has yet to address marriage rumours
Putting it all behind her: The sister of Kim, Kourtney and Khloe has yet to address marriage rumours
Also present was older sister Kendall who had on aviators and a black top.
The two were seen walking in and out of an office building and also getting into a chauffeured black Cadillac Escalade.
It looked as if both were attending a business meeting that was most likely filmed for their show Keeping Up With The Kardashians. Their siblings Kourtney, 36, Kim, 34, and Khloe, 31, were not seen.
There's her sister: Kendall kept her head down as she walked to a black Cadillac Escalade
There's her sister: Kendall kept her head down as she walked to a black Cadillac Escalade
In the Monday photo, she wears two rings on her wedding finger; the first is the ring that initially sparked engagement rumous back in May when she first started wearing it.
The second seems to be a diamond encrusted band, prompting fans to speculate she was indeed engaged throughout the summer and is now a married woman two weeks shy of her 18th birthday.
Adding fuel to the fire, Kylie seemed to drop a hint during the premiere episode of I Am Cait that a secret wedding may have already taken place. 

Birdman Opens Up About Lil Wayne Fallout.

Birdman and Angie Martinez
Birdman is finally ready to talk. The Cash Money founder has been embroiled in several large controversies over the last few months, stemming from his beef with former protégé and YMCMB star Lil Wayne. Weezy has sued him for $51 million, and allegations have ranged from extortion to attempted murder, after Wayne’s tour bus was shot up. So far, most of what the public has known has been hearsay, without much coming straight from any of the principal players.
Now, Birdman is ready to change that. He spent 48 hours with Angie Martinez in Miami and addressed all the hot topics.
For now, we’ve just got a sneak peek. “Nicki and Drake ain’t goin’ nowhere, regardless,” says Birdman in response to Wayne’s threats that he will take his Young Money artists with him.
He goes on to describe his fallout with Wayne in more detail: “That was shocking to everybody,” he says, adding, “We never thought [Wayne] would be saying nothing negative about me ever in no lifetime. I never thought that could ever happen—for that man to open his mouth and say something negative about me. Sh*t f**ked my day up. I love my son. He mean the world to me. For that man to say something negative about me, that affected my life.”
The full tell-all interview will air today at 4 p.m. EST on Power 105.1.

Friday, July 24, 2015

WAREMBO WA MISS KILIMANJARO AMBASSADOR WATUNISHIANA MISULI KWENYE REHEASAL

 Wanyange wanaowania Taji la Miss Kilimanjaro Ambassador 2015,wakifanya reheasal ya mwisho kabla ya kuanza kwa mtanange huo usiku wa leo saa mbili.


 Warembo wanaowania taji la Miss kilimanjaro wakionesha umahili wao wa kucheza nyimbo za ufunguzi wa onesho hilo ikiwa ni mazoezi ya mwishomwisho kukuukabili mchuano mzito utakaoanza saa mbili usiku katika ukumbi wa kili home mjini Moshi.

Hali halishi ndiyo hii katika ukumbi wa Kili home,mambo yakiwa yamepangwa yakapangika kwa burudani murua itakayotolewa na warembo hao ikisindizwa na Diamond Platnumz ambae amekwisha wasili mjini hapa.