 Mwanamuziki
 mpya wa Bendi ya Mashujaa,Charles Gabriel a.k.a Chaz Baba akiwasilli 
kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jana jioni akitokea nchini 
Dubai alikokuwa amekwenda kwa mapumziko mafupi baada ya kuikacha Bendi 
yake ya awali ya African Stars (Twanga Pepeta).
Mwanamuziki
 mpya wa Bendi ya Mashujaa,Charles Gabriel a.k.a Chaz Baba akiwasilli 
kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jana jioni akitokea nchini 
Dubai alikokuwa amekwenda kwa mapumziko mafupi baada ya kuikacha Bendi 
yake ya awali ya African Stars (Twanga Pepeta).
 


No comments:
Post a Comment