Pages

Pages

Saturday, February 4, 2012

AJALI YATOKEA BARABARA YA MOROGORO LEO

 Gari kubwa Roli aina ya Sania, likiwa limeangua pembezoni mwa barabara ya Morogoro eneo la Kiluvya jana, haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo na haikuweza kufahamika hasara na majeruhi waliotokana na ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment