Pages

Pages

Thursday, February 2, 2012

BREAKING NEWS:SHYROSE BHANJI KALAZWA MAUTUTI

Afisa uhusiano wa NMB na aliyekuwa mgombea nafasi ya kuwa mwakilishi wa Ubunge Kinondoni kupitia chama cha Mapinduzi Dada Shyrose Bhanji akiwa amelazwa.
Hii ni kutokana na hali yake ya kiafya kuwa mbaya sana,mungu msaidie binti yetu Shyrose.

No comments:

Post a Comment