Rais
Jakaya Kikwete akiwasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small eneo la
Tabata, Mawenzi Dar kuwapa pole wafiwa. Kulia ni Rais wa TAFF, Simon
Mwakifwamba.
Baada ya kutoa pole Rais aliaga na kuondoka huku akiacha umati wa waombolezaji waliokuwa msibani hapo wakisubiri kumpumzisha Mzee Small katika nyumba yake ya milele.





No comments:
Post a Comment