
Mwanadada aliyewahi kufanya vyema kwenye shindano la BSS,Menina akiimba kwa hisia jukwaani

Mkali
mwingine wa bongofleva anaefanya vyema kwenye muziki huo,akitambulika
kwa jina la kisanii Ney wa Mitego akiwaimbisha mashabiki wake usiku huu
kwenye wakati wa tamasha la serengeti fiesta likiendelea kwenye uwanja
wa Majengo,mjini Moshi.




No comments:
Post a Comment