Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, September 29, 2010

BREAKING NEWS..!!

MISS TANZANIA AKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA LEO!!

Vodacom Miss Tanzania Genevive Emmanuel akiwa ameshikilia bendera mara baada ya kukabidhia rasmi leo tayari kwa safari yake ya kuelekea nchini China katika jiji la Sanya ambako shindano la dunia Miss World 2010 linatarajiwa kufanyika Oktoba 31 mwaka huu nchini humo Vodacom Miss Tanzania ataondoka kesho kwa ndege ya Shirika la ndege la Quatar Airways akipitia Uarabuni, Mongolia na kisha Sanya nchini China.
Esther Mkwizu ambaye ni Mwenyekiti wa Sekta Binafsi na aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi bendera ya taifa kwa Vodacom Miss Tanzania Genevive Emmanuel akikabidhi bendera hiyo huku wazazi wa Genevive wakishuhudia kulia ni baba yake Bw. Emmanuel Mpangala na kushoto ni mama yake mary.
TMG YAFANYA ONYESHO LA MAVAZI ARUSHA

Baadhi ya Warembo wanaounda Kikundi cha 'Tanzania Models Group'


Kikundi cha Wanamitindo wa Tanzania kijulikanacho kwa jina la 'Tanzania Models Group' wanatarajia kufanya onyesho la mavazi katika ukumbi wa Via Via Club jijini Arusha siku ya jumamosi ya tarehe 2,oktoba.

Akizungumza leo, Mratibu wa onyesho hilo lililopewa jina la 'Time and Beauty' Bi. Angel Justace alisema kuwa lengo la kuandaa onyesho hilo ni kuweza kutangaza umoja wao, kuvumbua vipaji vya vijana wenzao na kutangaza Utalii wa nchi ya Tanzania.

Bi. Angel Justace alisema kuwa kwa sasa wakati umefika kwa vijana kuungana katika kutangaza utalii wa nchi.

"Sisi kama vijana hatuna budi kujitoa kwa kuungana na kutangaza Utalii wa nchi yetu, kwani bila kufanya hivyo nchi yetu haiwezi kutambulika na wageni hawawezi kujua nchi yetu ina vivutio gani vinavyovutia,"

Onyesho hilo linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa Via Via Club,jijini Arusha siku ya jumamosi ya tarehe 2,oktoba ambapo litawakutanisha wanamitindo kutoka Dar es Salaam na wale wa jijini Arusha huku wakipabwa na mbunifu wa mavazi ya asili Bw. Gabriel Mollel Sairiamu.

Aliongeza kuwa mbali na mbunifu huyo wa mavazi ya asili Bw. Gabriel Mollel Sairiamu pia atakuwepo msanii wa kizazi kipya Hussein Machozi.

Onyesho hilo limedhaminiwa na Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro Conservation-Arusha, Kilimanjaro Express Bus, Mwandago Evestiment,Coco Pazzo, Triple A Radio na Masai Club ya Dar es Salaam.
 

Meneja wa bia ya Balimi Extra,Fimbo Butallah akiongea na waandishi wa habari namna masindano ya mitumbwi yatakavyofanyika katika mikoa ya Mwanza,Kigoma,Mara,Kagera pamoja na Ukerewe katika mkutano na waandishi hao ulifanyika leo makao makuu ya kampuni ya bia Tanzania (TBL).Kushoto ni Meneja msaidizi wa bia hiyo,Edith Bebwa.

Meneja wa bia ya Balimi,Fimbo Butallah (pili shoto),Meneja msaidizi wa bia ya Balimi,Edith Bebwa (shoto) wakiwa na wadau wa Inter grated mara baada ya mkutano huo.

Baadhi ya wanahabari wakiwa katika mkutano huo leo.

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Balimi Extra Lager leo imezindua rasmi mashindano ya mitumbwi kwa mwaka 2010.

Mashindano hayo ya kupiga kasia, ambayo yatashirikisha mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Kagera na visiwa vya Ukerewe, yametokea kuwa kivutio kikubwa kwa wakazi wa Kanda ya ziwa na wale wa Kigoma kufuatia mashabiki na wapenzi wa mchezo huo kuongezeka mwaka hadi mwaka.

Akiongea wakati wa uzinduzi huo, Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager Fimbo Butallah alisema, Ni zaidi ya miaka mitano sasa, bia ya Balimi imekuwa ikiendesha mashindano haya katika kanda ya Ziwa na mkoani Kigoma, kwa kipindi chote hiki tumefanikiwa kuleta changamoto katika upigaji makasia, kwa kuwapa fursa wapiga makasia kutumia mitumbwi yao katika michezo na kujipatia kipato cha ziada kupitia zawadi nono zinazotolewa lakini pia kuleta burudani kwa wakazi wanaozunguka ziwa Victoria na lile la Tanganyika.

Mashindano haya ya mitumbwi ya Balimi sasa yamekuwa na umaarufu mkubwa na kuongoza kwa mashabiki katika kanda ya ziwa. Kama ilivyo kawaida, mashindano haya yatatanguliwa na burudani mbalimbali za uhamasishaji, zikifuatiwa na mpambano katika hatua ya mwanzo kabla ya fainali kuu itakayofanyikia Jijini Mwanza tarehe 4 Decemba.

Katika hatua za awali mashindano yataanzia Kituo cha Kigoma tarehe 9 Octoba, Kagera 23 Octoba, Mwanza 13 Novemba, Mara na Ukerewe 27 Octoba. Pia ninapenda kuwajulisha washiriki kuwa zawadi za mwaka huu zimeboreshwa zaidi, ukilinganisha na miaka ya nyuma. Hivyo washiriki waongeze mazoezi ili kujihakikishia ushindi katika maeneo yao, pia timu mbili za wanaume na moja ya wanawake zitakazoshika nafasi za juu katika ngazi ya awali ndizo zitakazoingia katika fainali kuu itakayofanyika Jijini Mwanza.

Akizitaja zawadi watakazopata washindi katika ngazi za awali na fainali, Meneja Msaidizi wa Bia ya Balimi Edith Bebwa alisema; Katika ngazi za mikoa zawadi zitakuwa kama ifuatavyo: Ngazi ya Mikoa Fainali Kuu Wanaume Wanawake Wanaume Wanawake

Mshindi wa kwanza 700,000 500,000 2,500,000 2,000,000
Mshindi wa Pili 550,000 400,000 2,000,000 1,500,000
Mshindi wa Tatu 350,000 250,000 1,500,000 750,000
Mashindi wa Nne 300,000 200,000 750,000 500,000
5 hadi 10 - Kila timu 200,000 100,000 400,000 200,000


FAMILIA YA EMANUEL MPANGALA YAMUAGA GENEVIVA KUELEKEA MISS WORLD
 Familia ya Emmanuel Mpangala ikiwa katika picha ya pamoja wakati wa tafrija ya kumpongeza Binti yao Genevieve  aliyeshinda taji la Vodacom Miss Tanzania 2010.Kushoto ni Dunstan na mziwanda Brian. 
 Dua ya kuanza kwa tafrija ikisomwa na babu....
 Wazazi wa Miss Tanzania wakiwa na binti yao.
 Kamati ya Miss Tanzania nayo haipo mbali...
 Burudani ya mziki ikiendelea kutoka kwa ....
 Kalunde Band na hapa Deo Mwanambilimbi akifanya vitu.
 Kocha wa Yanga Papic na Rais Mstaafu wa Klabu ya Yanga Imani Madega wapo...
 Wadau wa TMK wakiongzwa na Ben Kisaka wapo.
 Mambo flani ya sherehe yalikuwa kama hivi Somoe aliongoza msafara huu.
 Miss Tanzania wa zamani (2009) nae huyo anapakua chake...
Mdogo wa Vodacom Miss Tanzania akishusha stata yake

MISS PROGRESS INTERNATIONAL JULIETH WILLY AREJEA TANZANIA NA MAFANIKIO MAKUBWA!!

Miss Progress International Juliet Willy akipozi kwa picha mara alipowasili akitokea nchini Italia alikoshiriki shindano la urembo katika taji hilo na kufanikiwa kutwaa taji hilo la Dunia ambalo ndiyo kwanza limeanzishwa mwaka huu, hivyo kuwatoa kimasomaso watanzania katika nyanja ya Urembo. Juliet amekwa mrembo wa kwanza Tanzania kutwaa taji la dunia katika masuala ya urembo na warembo wengi wameshiriki katika mashindano tofauti tofauti ya dunia lakini bado hawajafanikiwa kufikia katika kutwaa taji la dunia.
Rosemary Momburi Mama mzazi wa Miss Progress International Juliet Willy akimkabidhi ua kama ishara ya kumkaribisha nyumbani Tanzania mara baada ya kufanya vyema na kutwaa taji la dunia linalojulikana kama Miss Progress International.
Miss Progress International Juliet Willy katikati akipungia mashabiki ndugu na jamaa waliokuja kumpokea kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere jijini Dar es salaam mara baada ya kuwasili akitokea nchini Italia, kulia ni Caroline Sanga Mwandaaji wa Mashindano hayo Tanzania na kushoto ni Rosemary Momburi mama mzazi wa Juliet Willy. 

MSHINDI WA MILIONI KUMI ZA SUPA PESA
Mshindi wa kwanza wa milioni 10 na bahati nasibu ya SUPA Pesa ni Bwana. Khamisi Mohamed Khamisi 32 yrs.
 Amekabidhiwa checque yake leo katika ofisi za Supa pesa.

Tuesday, September 28, 2010

Dolce & Gabbana - Barely Innocent Brides

  (modoz wakionyesha mavazi ya d&g katika milan fashion week) 

After witnessing a Dolce & Gabbana show, it's hard to imagine where else in Western Europe do models look prettier than on their catwalk, especially in this truly beautiful spring 2011 fantasy bride, hyper Sicilian collection presented Sunday, Sept. 26, in Milan.

Created almost entirely in white, the collection was mesmerizingly pretty. White normally stands for virtuousness but was anything but innocent here.
The duo opened with a evocative long-sleeved lace dress cut with an erratic hem. Semi-sheer and worn by their preferred model, Natasha Poly, the Russian beauty who has opened and closed most of their recent shows, it caused a collective outtake of breathe before the wide-eyed audience of some 800 in Dolce & Gabbana's custom-built show space. Like all the models, Poly was elegantly groomed in ever so slightly disheveled hair, pale pink lipstick, barely there makeup and giant ring earrings.
Throughout, the gentlemanly designers varied short with long looks - either bloomers, shorts and negligees, or slip dresses, full gowns and cotton knitted cocktails. Thrown in toward the end were some great sexy widow suits, silvery boudoir looks and a couple of remarkable sheathes with glittering crystal embroidery.
"It's us very much being Dolce & Gabbana," said Domenico Dolce backstage after the show, which received a thunderous burst of applause. Few could argue with that since this house has always based its success on tapping into the conflicting myths of the duo's native Sicily - sensuality and religion, family and suggestive sin.

BREAKING NEWS..!!

AJALI MBAYA YA PIKIPIKI YATOKEA JIONI HII SAMORA ANENUE
      Ajali ya pikipiki imetokea leo jioni katika barabara ya samora avenue ambapo pikipiki iliyokuwa inakwenda mwendo wa kasi kupata ajali ambapo dereva na raia mmojaq walijeruhiwa vibaya na kuwahishwa hospitali.
Sekunde ya tano baada ya kuoikea kwa ajali ya pikipiki ambapo pikipiki ilibiringita kumkwepa mama mpita jia hatmaye ilimjeruhi vibaya mama huyo katkati ya barabara ya samora.
Dereva pikipiki hakutambulika jina kwa haraka akiwa ajitambui baada ya ajali kutokea huku damu zikimtoka kichwani.
Mama mjeruhiwa jina halikufahamika mara moja ,akiwa anasaidiwa na raia wema huku damu zikimtoka kila mahali sehemu ya kichwani.


Monday, September 27, 2010

    UNIQUE ENTERTAINMENT PRESENTS:  GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010



MBIO ZA MABOTI BURUDANI TUPU


Baadhi ya washiriki wa mbio za mashua za Vodacom Tanzacat wakishindana katika ufukwe wa bahari ya hindi yacht club ambapo zaidi ya boti 60 zilishindana na zaidi ya nchi kumi zilishiriki katika mashindano hayo ya kimataifa mashindano hayo yamefanyika kwa siku nne mfululizo.

Mwenyekiti wa Club ya Yacht Jim Bell(kushoto) akimkabidhi kombe mshindi wa mbio za mashua za Vodacom Tanzacat Blaine Dodds(kulia)wa pili kutoka kushoto ni Mkuu wa Udhamini wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza ,Peter Blaine.

     my meal @ ubungo-maziwa.
Msosi ulikuwa mtamu ile mbaya pande za huko ubungo kwa ndygu na jamaa(MAGESE AKINOGEWA NA UGALI WEE..ACHA TU)

Sunday, September 26, 2010

Fashion designer to Princess Diana dies

French-born fashion designer Catherine Walker, a favourite of late princess Diana, has died of cancer aged 65, Walker's family said on Sunday. Walker died in hospital near her Sussex home on Thursday.
Diana, who died in a Paris car crash in 1997, was buried in a black dress designed by Walker.
Walker's family said in a statement: "Catherine Walker overcame young widowhood and fought cancer twice with enduring bravery.
"She built one of the most successful British couture brands and at the same time raised a loving family. Catherine Walker has dressed many of the world's most beautiful women."

 

TANGAZO KWA MODELS

models wote wanaotaka kupata dili za matangazo,fashion show na ushering,tuletee picha yako ikiwa na namba zako za simu. 0714 796622.

Marni sees summer of fun and fantasy

Like many of the other designers showing during the current Milan Fashion Week, Marni, in her collection presented Sunday, dared to paint her styles in bold color.
From the daytime outfits with flared top over a skirt, leggings or Bermuda shorts, to the busy floral prints for evening wear, the show for the spring-summer 2011 unfolded like a carnival party.
Green, orange, electric blue, pink, and bright yellow are the hues preferred by designer Consuelo Castiglione, who, color aside, as in past seasons, has her own fashion mind.
This round she has fun with flounces and frills,which turn some of her outfits into clown suits, especially those with a baggy top and frilled cropped trouser.
The latest Marni eccentricity is the leather head-cover, reminiscent of either a bathing cap or a yesteryear aviator cap. Every model who came down the runway wore one, either in two-tone neutral shades or in bright color.

MWISHO MWAMPAMBA ATANGAZA UCHUMBA KWA MERL
  Mwisho akiwapiga kilaji kusheherekea hafla ya kuvishana pete na meryl.
Meryl akitokwa na chozi la huba baada ya kuvishwa pete na mwisho.

  Mwisho mwampamba mshiriki wa BBA all stars ameweka historia tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo baada ya kumvalisha pete ya uchumba mshiriki mwenzake toka Namibia aitwae Merl.

Saturday, September 25, 2010

     UNIQUE ENTERTAINMENT PRESENTS GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010

   Kampuni ya Unique Entertainment inatarajia kufanya show bab-kubwa ya mitindo nchini Tanzania iitwayo Giraffe unique model 2010 itakayojumisha shindano la wanamitindo kumi bora wa kike ambapo vigezo vya wanamitindo hao vitatajwa hivi karibuni.
    Lengo la shindano hili ni kuinua sanaa ya mitindo nchini Tanzania ambapo inaweza kutoa ajira kwa vijana kama kazi zingine kwa muda wote,hii ni tofauti sana na mashindano mengine kwani washiriki wote kumi watakuwa na nafasi ya kuwajibika katika jamii na binafsi kwa kumuingizia kipato mwanamitindo tofauti na mashindano mengine kwa mwaka mzima.
  ITADHAMINIWA Na : Graffe ocen view hotel,Tanga beach resort hotel, Truworths,uniqueentertz blog na wadhamini wengine wataendelea kutajwa.  STAY TUNED

  MODFL ANGEL AHITIMU ELIMU YA SEKONDARI
  Angel mmoma akiwa katika pozi baada ya kuvalishwa taji.
Model akimlisha rafike keki katka siku ya sherehe za kuhitimu elimu ya sekondari..
 Dada wa Angel,Messy mboma alilishwa keki dabo-dabo watoto wa sekondari wasivoyulia.....!!
 Ndugu na jamaa walishow love kwa Angel kwaq kumpa zawadi kadha wakadhaa..ama kweli alijiskia faraja sana kwa kutembelewa na camera yetu katika tukio la muhimu kakwe.