Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, April 30, 2013

REDD'S MISS NYAMAGANA 2013 NDIO HABARI YA JIJINI MWANZA

Kumekucha...Redds Miss Nyamagana 2013 mchakato umeanza...shindano kufanyika Jumamosi ya tarehe...11/05/2013 JB Belmont Hotel Mwanza..Show nzima Itasimamiwa na mchekeshaji Zembwela..huku burudani ikikamilishwa na Recho kutoka THT. Warembo Zaidi ya 20 watapanda jukwani...wakiwa na hamu sio tu kulichukua taji la Miss Nyamagana lakini pia Taji la Miss Tanzania 2013/14. Tiketi zitauzwa mapema, wahi tiketi yako..kwani ni chache mno!! Karibu.

Sunday, April 28, 2013

ASNATH KUTOKA CHUO KIKUU MZUMBE ATWAA TAJI LA REDD'S MISS HIGHER LEARNING MOROGORO 2013

Mshindi wa Shindano la Redd’s Miss Higher Learning Mkoa wa Morogoro, Anitha Mwakitwange kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe akipunga mkono mara baada ya kuvikwa taji hilo usiku wa kuamkia jana katika shindano lililofanyika Mjini Morogoro. Anitha aliwashinda warembo wenzake 10 aliokuwa akiwania nao taji hilo.
 
Redd’s Miss Higher Learning Mkoa wa Morogoro, Anitha Mwakitwange(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Rosemary Aloyce (kulia) na Mshindi wa Tatu Tarchisic Mtui mara baada ya warembo hao kutawazwa kuwa ndio washindi wa Shindano hilo usiku wa kuamkia jana katika shindano lililofanyika Mjini Morogoro. Anitha ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe aliwashinda warembo wenzake 10 aliokuwa akiwania nao taji hilo.


 Majaji wa shindano hilo wakiwa tayari katika meza yao kusubiri washiriki wa Redd's Miss Higher Learning Morogoro kupanda jukwaani kuwania taji hilo.
 Mashabiki na wapenzi wa Sanaa ya Urembo kutoka Mkoa wa Morogoro na wengi wao wakiwa ni wanafunzi kutoka Vyuo vya Mzumbe, SUA, Jordan, St Joseph na MSJ wakisubiri kuanza kwa shindano hilo la Redd's Miss Higher Learning 2013.



Washiriki wa shindano la  Redd’s Miss Higher Learning Mkoa wa Morogoro wakicheza show ya ufunguzi wa shindano hilo lilifanyika usiku wa kuamkia jana na kushirikisha warembo 11 kutoka vyuo mbalimbali vya elimu ya Juu mkoani humo.
 Mwakilishi wa Kamati ya Miss Tanzania ambaye ni Afisa Habari wa Kamati hiyo, Hidan Rico akizungumza machache.
 Huyu alibuni vazi lake kwa Kitenge na makaratasi.
 Huyu alitumia Majani ya mti wa Muashock...
 Kiroba nacho kilichukua nafasi yake kwa mrembo huyu ....
 Miss Higher Learning yeye aliamua kutumia majani ya maua kutengeneza kauni lake maridani la ubunifu.
 Wapenzi wa sanaa ya urembo wakifuatilia kwa umakini onesho hilo.
 Msanii chipukizi wa Mkoa wa Morogoro, ambaye ni mwanafunzi wa Chuo cha St Joseph ajulikanae kama Jose alitumbuiza..
 Ulifika wasaa wa kivazi cha Ufukweni na kila mmoja alienda Mindu kuogelea kwa kivazi chake...
 Huyu aliingia hivi katika maji...
 Huyu alivaa hivi...
 Ilikuwa ni raha kwa mashabiki usiku huo ndani ya Savoy mjini Morogoro...
 Miss Tanzania namba Eugenia mbili nae alikuwepo kushuhudia shindano hilo

 Ilikuwa ni shangwe kwa wapenzi na mashabiki wa sanaa ya urembo Morogoro hasa meza hii ya Mzumbe ambayo ilishajua wazi kuwa taji ni lao mapemaaa...
 Vazi la usiku lilipita na kisha tano bora ikatangazwa...


Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora ya Redd’s Miss Higher Learning Mkoa wa Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja maara baada ya kutwajwa wakati wa shindano hilo lilifanyika usiku wa kuamkia jana na kushirikisha warembo 11 kutoka vyuo mbalimbali vya elimu ya Juu mkoani humo. Kutoka kushoto ni Tarchisic Mtui, Rosmary Aloyce,Hellen Mhando, Tausi Idd na Asnath Mwakitwange. 
 Washiriki wote ndio hawa hapa...
 Mzee wa Magube Gube!! Barnaba Boy aliwapagawisha vilivyo wapenzi wa sanaa ya urembo hasa wanafunzi hawa kutoka vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu Mkoani Morogoro.  
Walijiachia vilivyoo...katika sho hiyo kali 

Wednesday, April 24, 2013

MUIGIZAJI LULU MICHAEL KATIKA POZI TOFAUTI MWAKA 2013

NICE ONE
HOT HOT
COOL
good
CUTE ONE

LOVELY

HOT

GOOD

LULU AKIWA NA PENNY,,, BABY MAMA WA DIAMOND PLATNUM

Tuesday, April 23, 2013

Miss Tabata kufanyika Mei 31

Shindano la kumsaka mrembo wa Tabata, Miss Tabata 2013, litafanyika Mei 31 katika ukumbi wa Da’ West Park, Tabata.

Mratibu wa shindano hilo Joseph Kapinga amesema kuwa shindano hilo litakuwa ni ya aina yake kulinganisha na mashindano ya miaka ya nyuma kwani mwaka huu wamemejitokeza warembo wazuri zaidi.

“Warembo wazuri wamejitokeza zaidi kuliko mashindano ya tuliyowahi kuyafanya nyuma. Tutakuwa na burudani nyingi kutoka nje na ndani ya nchi,” alisema mratibu huyo wa Bob Entertainment na Keen Arts.

Warembo watakaoshiriki kwenye shindano wanaendelea na mazoezi kila siku katika ukumbi wa Da’ West Park.Warembo hao ni Pendo Judica Moshi (20), Madgalena Bhoke (21), Kabula Juma Kibogoti (20), Queen Eliakim Masha (19), Upendo Dickson Lema (22), Martha Gewe (19), Zilpha Christopher (19), Hidaya David (22), Aneth Ndumbalo (19), Amina Ally (18), Dorice Mollel (22), Eunice Nkoha (19), Kazunde Kitereja (19),  Angela Fradius (19), Domina Soka (21), Rehema Kihinja (20), Glory Jigge (18) na Sophia Claud (21).

Wengine ni Lilian Mpakani (19), Lilian Msanchu (19), Rita Frank (20), Pasilida Mandali (21), Rafhel Mussa (19), Jasmin Damian (18), Angelina Mkinga (19), Mercy Mwakasungu (20), Tunu Hamis (19), Brath Chambia (23), Ray Issa (22), Shamim Abass (22) na Shan Abass (22). 
Kapinga aliwaomba warembo wenye sifa kuendelea kujitokeza ili waweze kupata wawakilishi bora katika shindano la Kanda ya Ilala.

"Bado milango iko wazi, mrembo yoyote anayejiamini kwamba ana vigezo anakaribishwa. Tunataka shindano la mwaka huu liwe na ushindani zaidi,” mratibu huyo aliongeza. Warembo 10 watachaguliwa kushiriki mashindano ya Miss Ilala na baadaye Miss Tanzania.

Anayeshikilia taji la Miss Tabata kwa sasa Noela Michael ambaye pia ni Miss Ilala. Waliyojitokeza kudhamini shindano hilo ni Fredito Entertainment, CXC Africa, Brake Point na Saluti5

Monday, April 22, 2013

DIAMOND ALIPOCHAFUA HALI YA HEWA MAISHA CLUB KWENYE KUMTAFUTA ALIEMWAGA POMBE YA MADEE , CHEKI PICHA 22 ZA SHOW ALIYOFANYA HAPA

apenda kumshukru mwenyezi mungu...Mungu wa
rehema kwa kila jambo ambalo
mekuwa akinisimamia na kulifanikisha.....
Napenda kumshukru mungu tena
kwa siku ya jana pale Maisha Club.....kwenye uzinduzi wa
 video mpya ya Madee ya Pombe
Yangu......Nilifika kushow love and respect yangu kwake....
na  kuamua kukonga nyoyo za Mashabiki
waliojitokeza kwa wingi kuja kushuudia kichupa hicho
Balaa kilichosimamiwa
Na Adam Juma kutoka Nextlevel.....
Zifuatazo ni picha kadhaa Nilivokinukisha Ndani
ya NEW MAISHA CLUB
Na kuharibu Hali ya hewa ya mule Ndani....
Nilipowasili niliutana na My Big Bro Chid Benz nae
akiwa amekuja kuchek show...




Mariam & Esma khan walikuwepo kumpa support
 madee usiku wa Jana....pia na
dada yangu halima kimwana ayupo pichani nae alikuwepo...
Moja kwa Moja niliena backstage kuonana na madee
kupanga mpango wa kumsaka aliemwaga pombe yake