Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, November 28, 2010

WASHIRIKI WA GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010 KUWEKWA HADARANI DESEMBA1

Unique Model Event Comming Soon!!   WASHIRIKI WA GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010 WANATEGEMEWA KUWEKWA HAFDHARANI SIKU YA JUMATANO HII KATIKA HOTELI YA GIRAFFE OCEAN VIEW MBELE YA WAANDISHI WA HABARI KATIKA PRESS CONFERENCE YA KUTAMBULISHA WASHIRIKI NA WADHAMINI.

KOCHA WA NGUMI AKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO


MDAU WA MICHEZO AMKABIDHI VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI KOCHA RAJABU MHAMILA 'SUPER D' KWA AJILI YA KUENDELEZA MCHEZO HUO KWA VIJANA WASIO NA VILABU NCHINI.


Kampuni ya IRO & STEEL LTD, ALTAF& CO.PK inayojishughurisha na utengenezaji wa vyuma leo imemkabidhi kocha na mdau maarufu wa mchezo wa ngumi Rajabu Mhamila 'Super D' vifaa michezo vyenye thamani ya laki tatu na hushee kwa ajili ya kuuendeleza mchezo wa ngumi.

Akizungumza na waandishi wa Habari Dar es Salaam leo wakati wa hafla hiyo, Mdau binafsi na Engeneer wa kampuni hiyo, Zulfiqal Ali alisema wameamua kutoa vifaa hivyo ili kuuendeleza mchezo wa ngumi kwa vijana hasa wa kujitegemea na kuunga mkono jitihada za Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa mstari wa mbele katika kuendeleza michezo. .

Vifaa hivyo ni Groves pea nane, fulana mia sita za kufanyia mazoezi , pamoja na kamba nne za kuruka wakati wa kufanya mazoezi

Alisema kutokana na idadi kubwa ya vijana kupenda mchezo huo na kukabiliwa na tatizo la vifaa, mdau huyo ameona aweze kumsaidia kwa kumpatia vifaa kocha huyo ambaye anatoa mafunzo kwa mabondia wa kujitegemea katika ufukwe wa Coco Beach siku za Jumamosi na Jumapili.


"Baada ya kuwa nimeona juhudi za Mhamila 'Super D' ambaye siku za nyuma alikuwa bondia hapa nchini na alizichezea timu mbalimbali nimeamua kumwongezea nguvu ili aweze kufanya kazi hii kwa mafanikio lakini pia hapa tunaunga mkono juhudi za Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete katika kuthamini na kuendeleza mchezo hapa nchini,." alisema Zulfiqal.

Wednesday, November 24, 2010

SIKU YA MCHUJO WA PILI WA GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010

Hii ndio top 15 ya mamodo wakali Tanzania kwa mwaka 2010-ambao wakipozi kwaajili ya picha kabla ya mchujo
Baadhi ya wanamitindo wakipata chakula cha mchana katika hoteli ya Giraffe ocean view hotel,michael maulus meneja utawala wa unique Entertainment akijichanganya na mamodo katika menyu.

Mkurugenzi wa unique E
Upande wa chakula ulikuwa namna hii full kujichana mwanzo mwisho katika ukumbi wa Jety one ndani ya Giraffe ocean view hotel.
Na hii ndiyo drem team ya Giraffe unique model 2010,jumla ya washiriki kumi waliopita mchujo wa kuingia katika mtanange wa 24 desemba .
majina ya wanamitindo waliopita ni Dorah mhando, purity walele,asia dachicalorine mwakasaka,diana mainason,mariam rabii,ritah samwel,carina suleiman na bilkis suleiman

Monday, November 22, 2010

SIKU YA MCHUJO WA AWALI WA GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010 KATIKA HOTELI YA GIRAFFE OCEAN VIEW



KIDUKU CHAWATOA ROHO WATOTO


Watoto wa wafanyakazi wa benki ya TIB wakishindana kiduku katika fukwe za south beach-kigamboni

BOZI BOZIANA ATUA NCHINI KUREKODI NA TWANGA PEPETA



                              Waandishi wa habari wakimsubiri BOZI BOZIANA
Mwanamuziki nguli wa JAMUHURI ya KIDEMOKRASIA ya CONGO, BOZI BOZIANA amewasili nchini kwa ziara kikazi katika kuzikonga nyoyo za wapenzi wa muziki wa dansi kwa kushirikiana na bendi ya AFRICAN STARS,ama  TWANGA PEPETA.

Meneja wa BOZI BOZIANA GODRICK NUNI na Mkurugenzi wa bendi ya TWANGA PEPETA ASHA BARAKA wanasema mwanamuziki huyo mkongwe  atakuwa hapa nchini kwa  muda wa wiki moja na atarikodi nyimbo na bendi ya AFRIKAN STARS.



UMEZALIWA TAREHE MOJA NA CALVIN KLEAN ALIYEZALIWA 19NOV1942 HUYU NI MBUNIFU MAARUFU WA MAVAZI NA MITINDO LEBO YAKE (CK) IKITHAMINIKA NA KUTAMBULIKA KONA NA KONA ULIMWENGUNI.

Thursday, November 18, 2010

WASANII WA FILAMU WAKALIA MAKABULI BILA WOGA

VIGEZO HIVI KUWAHUKUMU WANAMITINDO JUMAMOSI HII PALE GIRAFFE HOTEL


Jumla ya vigezo nane vitatumika kuwapata wanamitindo kumi wa kike wenye sifa za kitofauti katika shindano maarufu la mitindo nchini Tanzania liitwalo Giraffe unique model 2010.
    Ni siku ya jumamosi hii saa sita mchana ndani ya ukumbi wa jet 1 katika hoteli yenye hadhi ya nyota nne namaanisha Giraffe ocean view hotel,hoteli im\nayomilikiwa na watanzania katika ukanda wa bahari ya hindi inayojali utamaduni wa mtanzania na kuibua viapaji vya wanamitindo wachanaga ikishirikiana na Unique Entertaunment.
  Wanamitindo  wote waanaotaka kufika level za kitaifa na kimataifa si siku ya kukosa pengine ndio ikaw mwanzo wa kufunguka kwa maisha yako.  ni 20 novemba 2010

   Pia utatupata kwa taarifa fupifupi kupitia facebook,log in "giraffe unique model"


                   VIGEZO:
         1.miondoko ya kimaonyesho ya mitindo ya nguo yenye kulengakuonyesha ubora wa nguo


         2.Photogenic:(monekano wa picha)


         3.kujiamini

         4.Uelewa wa mambo mbalimbali ya mitindo na jamii


         5.Uchangamfu,ngozi asilia na mvuto wa kimitindo
     
         6.Tabia njema katika jamii


         7. umri:  18 - 28


         8.Jinsia : kike

Monday, November 15, 2010

Sunday, November 14, 2010

Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Saturday, November 13, 2010
Mwenyekiti wa kamati ya ufundi Taifa Godfrey Jax Mhagama akitoa maelezo kwa washiriki wa mbio za baiskeli za Vodacom Mwanza Cycle Challenge kabla ya mbio hizo kuanza rasmi zilizofanyika jijini Mwanza.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Abbas Kandoro, akiinua bendera kama ishara ya uzinduzi rasmi kwa mbio za Vodacom Mwanza Cycle Challenge kwa wanaume na wanawake.
Washiriki wa mbio za baiskeli za Vodacom Mwanza Cycle Challenge Kilometa 196 kwa wanaume wakichuana vikali katika mbio hizo zilizofanyika jijini Mwanza.
Washiriki wa mbio za baiskeli za Vodacom Mwanza Cycle Challenge Kilometa 196 kwa wanaume wakichuana vikali katika mbio hizo zilizofanyika jijini Mwanza.
Mshindi wa mashindano ya Vodacom Mwanza Cycle Challenge kwa upande wa wanaume Hamiss Clement(shinyanga) akimalizia mbio hizo na kuibuka mshindi wa kwanza kwa kutumia Masaa 5:19:43,kwa kilometa 196.
Mshindi wa mashindano ya Vodacom Mwanza Cycle Challenge kwa upande wa wanawake Sophia Hadson(Arusha)akimalizia mbio hizo na kuibuka mshindi wa kwanza kwa kutumia Saa 2:32:14 kwa kilometa 80.

SHINYANGA YANG'ARA KTK VODACOM MWANZA CYCLE CHALENGE.

MBIO ZA TANO ZA BAISKELI ZINAZODHAMINIWA NA KAMPUNI YA MAWASILIANO YA SIMU ZA MKONONI VODACOM TZ ZIMEMALIZIKA JANA JIJINI MWANZA.
HAPA NI MSUGUANO MKALI KATI YA WASHIRIKI NAFASI ZA JUU WANAWAKE (YA 1,2,3) PICHANI NI KATIKA ENEO LA IGOMA MZ, AMBAPO WANAWAKE WALISHIRIKI MBIO ZA KILIMETA 80.

LAITI KAMA MSHIRIKI HUYU TOKA SHINYANGA AITWAYE NDYESHIMBI KURYA, ANGEKUWA NA BAISKELI YA KISASA KAMA WENZAKE NA AKAJIFUNZA JINSI YA KUITUMIA, NAAMINI KUWA NDIYE ANGETAWAZWA MSHINDI, KWANI NI KATIKA KILIMA CHA BUGANDO KWENDA KUIMALIZA UNGWE NDIPO ALIPO PITWA NA WENZAKE (MSHINDI WA 1 NA WA 2), NA KUWA MSHINDI WA TATU.

KUTOKA KUSHOTO MSHINDI WA KWANZA SOPHIA EDSON (ARUSHA)ALIYEJINYAKULIA TSH MILIONI 1.1, MSHINDI WA PILI MATHA ANTHONY (MWANZA) ALIYEJINYAKULIA TSH 800,000 NA WA TATU NDYESHIMBI KURYA (SHINYANGA) ALIYEJINYAKULIA TSH 600,000.

MSHIRIKI HUYU TOKA SHINYANGA ALIPATA AJALI KWA BAISKELI YAKE KUCHOMOKA TAIRI LA MELE AKIWA KATIKA MWENDO KASI LAKINI MUNGU SI ATHUMANI HAKUUMIA SANA ZAIDI YA MAJERAHA MADOGO MADOGO.

WASHIRIKI WAKITOKA KWENYE MBIO SUALA LA KUTEMBEA INAKUWA INSHU PLOBLEM.

AKITUMIA BAISKELI YA KAWAIDA MSHINDI WA KWANZA HAMISI CLEMENT KUTOKA SHINYANGA AKIMALIZIA UNGWE KILOMETA 196 WANAUME.

HAMISI CLEMENT MSHINDI WA KWANZA ALIYEJINYAKULIA ZAWADI YA TSH. MILIONI 1.5 TOKA VODACOM.

Saturday, November 13, 2010

MCHUJO WA GIRAFFE UNIQUE MODEL NI SAA SITA MCHANA


 Ule mchujo wa kuwasaka washiriki kumi wenye bahati ya pekee kushiriki shindano lenye mvuto wa aina yake liitwalo Giraffe unique model 2010 utafanyika saa sita mchana ndani ya hoteli ya Giraffe ocean view hotel katika ukumbi wa Jety 1.tarehe 20 novemba
  Nyote mnakaribishwa mamodo wa Tanzania kuonyesha vipaji vyenu na kupata nafasi pekee yakuwa super fashion model wa Tanzania mwaka 2010.
 ni TAREHE 20 novemba 2010

tujikumbushe wadau.......Baadhi ya walimbwende kutoka Tanzania 2010

WAREMBO WA TZ

Friday, November 12, 2010

WASICHANA WAZIDI KUJITOKEZA KATIKA GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010

Unique Model Event Comming Soon!! 
Wimbi kubwa la wasichana wenye mvuto wamejitokeza na wanaendelea kujitokeza katika kuonyesha nia ya kushiriki shindano la Giraffe unique model ambaqpo mchujo utafanyika novemba 20 katika hotel ya Giraffe ocean view hotel iliyopo jijini Dar es salaam.
  Mkurugenzi wa Unique Entertainment AMEWAOMBA WASICHANA WOTE KUJIANDAA kwaajili ya mchujo huo ambnapo matokeo ya washiriki hao itakuwa ni kwa faida ya nchi nzima na kulitangaza Taifa letu na utamaduni wa mtyanzania kupitia fani ya mitindo.

Global Fashion Awards

ALBER ELBAZ took home WGSN's Most Influential Designer prize at the Global Fashion Awards last night, held at the Waldorf Astoria in New York. Although he couldn't attend the ceremony in person he did offer his take on the Lanvin customer.
"Tomorrow's It-girl could be tomorrow's Out-girl," he says, describing why Lanvin isn't about trends but about making women feel magical.
Elbaz beat off stiff competition from Christopher BaileyPhoebe Philo and Isabel MarantHarvey Nichols beat Topshop for Beat Global Retailer, while Acne won Most Influential Design Team. People Tree scooped the Most Influential Fashion Label accolade.
Organised by WGSN and launched this year for the first time, the Global Fashion Awards is a celebration of fashion's most inspirational businesses and individuals from across the world. The event was attended by a host of international industry figures including Harold Tillman, Caroline Rush, Peter Levy and Nicholas Kirkwood.

KANUMBA ALMANUSRA KUAWA