Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Saturday, April 30, 2011

MISS TANZANIA YAZINDULIWA RASMI JIJINI DSM

Nembo mpya ya miss Tanzania
                                       Mkurugenzi wa miss Tanzania Hashimu Lundenga kushoto akiteta jambo na wadau
                                Jaqueline chuwa mwaandaji wa Miss kilimanjaro(kulia) akiwa ameweka pozi a grasi.

                                     Miss TANZANIA anayeshikiria taji  MPANGALA
       Mkurugenzi wa MISS TANZANIA LUNDENGA akizungumza wakati wa uzinduzi wa miss TANZANIA nyuma yake akiwa na baadhi ya warembo waliowahi kutwaa taji la miss TANZANIA

  Baadhi ya warembo waliowahi kutwaa taji la miss TANZANIA wakiwa katika picha ya pamoja  wakati wa uzinduzi wa shindano la Miss TANZANIA ambapo kampuni ya simu za mkononi VODACOM imeingia mkataba wa miaka miwili na kamati ya miss TANZANIA ili kuendeleza fani hiyo ya urembo



  
MADEREVA UBUNGO WAZUA KIZAZAA
   Madereva asuhi ya leo waligoma ikiwa ni kuazimisha siku ya wafanyakazi kwa staili ya kudai haki zao ambapo safari zote zilisitishwa mpaka mida ya saa saba ndiyo baadhi ya magari yakaanza kutoka.





   GADDAFI ANATAKA MAZUNGUMZO
Kiongozi wa Libya, Kanali Gaddafi, ametoa wito kwa Nato kwamba kufanywe mazungumzo ili kusimamisha mashambulio ya ndege za umoja huo dhidi ya nchi yake.
Katika hotuba iliyotangazwa kwenye televisheni, Kanali Gaddafi alisema yeye yuko tayari kusimamisha mapigano ikiwa itakubaliwa na pande zote.
Mlibya anatazama hotuba ya Kanali Gaddafi
Katika hotuba yake Jumamosi asubuhi, kiongozi wa Libya alisema yuko tayari kutoa amri kuwa mapigano yasitishwe na kuanza mazungumzo, endapo NATO itaacha mashambulio ya mabomu.
Lakini alikataa lile dai kubwa la wapiganaji na jumuiya ya kimataifa, kwamba yeye aondoke.
Alisema hatong'atuka wala kuihama Libya.
Wengi serikalini wanaona kuwa wameshakaribisha mazungumzo kwa kukubali mpago wa Umoja wa Afrika wa kurejesha amani; lakini wanahisi upinzani ndio hautaki kumaliza mapigano, kwa sababu unakataa kuzungumza na serikali ya Kanali Gaddafi.
Alipokuwa Kanali Gaddafi anazungumza, NATO ilidondosha makombora matatu mjini Tripoli, kwenye yale yaliyoonekana kama majengo ya serikali.
Hotuba ya Kanali Gaddafi, ilikuwa mchanganyiko wa kukaza na kulegeza kamba.
Alisema kila mwananchi wa Libya sasa anakabili mambo mawili : uhuru ama kifo.
Hakuna kusalliam amri, hakuna hofu wala kuondoka. 


DVD YA SUPER D BOXING COACH KUPATIKANA KIURAISI 

Rajabu Mhamila Super D (kushoto) akisisitiza jambo wakati anaelekeza vitu vya msingi vilivyomo katika Video ya mafunzo ya mchezo wa ngumi kulia ni Said Chaku, Amri Massare na Antoni Ruta

Edson Joel na Zaituni Kibwana wakiangalia kava ya Super D Boxing Coach leo
Kocha wa mchezo wa ngumi Rajabu Mhamila 'Super D (kushoto) akitoa maelekezo yaliyomo katika DVD yake ya mafunzo ya mchezo wa ngumi kwa wadau wa mchezo huo kutoka kulia ni Saidi Chaku, Amri Masare, Zainabu Kiliware, Edson Joer na Antoni Ruta Dar es salaam leo ambapo VIDEO CD hazo zitapatikana kwenye mapambano yote ya ngumi nchini.
 
 
 

Diamond Reveals Why She Left Lil Scrappy for Soulja Boy!


    This is a lesson to be learned for all of you dudes out there that show jealousy toward your girlfriends.  Diamond recently implied in an interview that the reason that she left rapper Lil Scrappy for Soulja Boy was because Scrappy always tried to compete with her.
   The implication came about when she revealed that the reason she was attracted to Soulja was because he always taught her.  Shortly after saying this she made a quick comment about certain dudes not wanting to teach you anything and only want to compete.  Below is her exact quote from the interview:
  “He’s always been real sweet . . . He’s very very smart, very intelligent.  I learn a lot from him and that’s what I look for when I date a guy.  I like to learn.  Teach me.  Sometimes guys may not want to teach you, they want to compete.

Friday, April 29, 2011

WAREMBO WENYE NIDHAMU CHAFU WAFUKUZWE-MAWAKALA

msimamizi toka Basata omary mayanga akiwa na hashim lundenga katia semina hyo inayoendelea katika hoteli ya paradise city hetel iliyopo posta mpya.
    MAWAKALA ambao huandaa mashindano ya urembo ,Miss Tanzania leo wametoa dukuduku lao kwa Kamati ya Miss Tanzania na kuomba waandae kanuni zitakazowabana warembo watakaotwaa taji la Taifa yaani Miss Tanzania pindi watakapofanya vitendo vya utovu wa nidhamu.


   Mawakala hao ambao wamesema hayo leo katika semina ya siku moja iliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo.


   “Mkurugenzi Lundenga tumekuwa tukipata wakati mgumu wa kupata warembo wenye vigezo kwani wengi wazazi wao hukataa kuwata ruhusa ya kushiriki kutokana na vitendo wanavyovifanya warembo waliokwisha pata mataji na hasa Miss Tanzania” alisema wakala mmojawapo.


   Akijibu hoja hiyo kwa kifupi Mkurugenzi pia Mratibu wa Miss Tanzania Hashim Lundenga akajibu kwa kusema kwamba wao hawastahili kupewa lawama hizo na jamii kwa kila mshiriki anayekuja na kuingia kambini huwa ana malezi yake huko alikotoka yaani kwa wazazi wake au walezi, lakini katika kuchukua tahadhari watakaa na kuweka mkakati wa kukabiliana na na tatizo hilo huku akiwataka wakala wote washirikiane na Kamati ya Miss Tanzania ili kuweka nidhamu ya mashindano hayo



PICHA ZAIDI KUHUSU HARUSI YA KIFALME
    Wakivalishana pete.
In this image taken from video, Britain's Prince ...Prince William, Kate Middleton, Kate, Duchess ...
 Wakiwa katikas usafiri.
Britain's Prince William kisses his wife Kate, ...
Denda kwa chati..mmmhwaaa.. 
Britains Prince William and his wife Catherine, ...
Mchizi alishidwa kuvumilia ilidi anywe lita kadhaa za mate toka kwa mkewe.
Kate Middleton, Michael Middleton, Pippa Middleton
Heshima ilikuwepo.
Britains Prince William and his wife Catherine, ...
Then kijiusafiri cha nidhamu kilikuepo pia.

MATOKEO KIDATO CHA SITA WAVULANA WAONGOZA!!


Wavulana wamejitutumua na kufanikiwa kushika nafasi kumi bora katika matokeo ya mtihani wa kidato cha
sita uliofanyika Februari mwaka huu.

Akitangaz amatokeo ya kidato hicho leo, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa, Dk. Joyce Ndalichako alisema, watahaniwa wamejitahidi kufanya vizuri zaidi katika masomo ya hesabati, kemia, jiografia, fizikia, uchumi na biashara kuliko mitihani iliyopita ambapo wengi walikuwa wakaianguka.

                  Dk. Ndalichako alisema katika mtihani huo, wavulana 25,872 sawa na asilimia 91.690  na wasichana 15,088
sawa na asilimia 92.63 wamefaulu na kutaja wanafunzi kumi bora walioongoza katika matokeo hayo na majina ya shule zao kwenye mabano kuwa ni Muhagachi Chacha (Kibaha), Samwel Katwale (Mzumbe), Amiri Abdalah (Feza Boys), Aron Gerson, Shaban Omary wote wa Tabora Boys, Kudra Baruti (Feza Boys), George Assenga (Majengo), Comman Nduru (Feza Boys), Francis Josephat (Tabora Boys) na George Felix (Mzumbe).

                Dk. Ndalichako pia aliwataja wasichana walioongoza kuwa ni Doreen Kabuche (Benjamin Mkapa), Rahabu
Mwang'amba (Kilakala), Mary Moshi (Kifungilo Girls) Nuru Kipato (Marian Girls) Zainabu Hassan (Al-Muntazir Islamic),Catherine Temu (Ashira), Anthonia Lugomo (Usongwe), Cecilia Mville (Kifungilo Girls), Mariam Matolwa (Kilakala) na Suzan Makoi (Tarakea).

               Katika hatua nyingine, Dk. Ndalichako alisema shule za sekondari za seminari zimendelea kufanya vizuri
ambapo kwa mara nyingine shule Marian Girls ya mkoa wa pwani imeendelea kutesa kwa kuibuka ya kwanza katika kundi la shule zenye watahiniwa zaidi ya 30.

             Alizitaja shule nyengine zilizo kwenye 10 bora katika kundi hilo kuwa ni Feza Boys, Kifungilo, Kibaha, St.
Mary's Mazinde, Ilboru Tabora St. Mary Goreti, Mzumbe na Mafinga na kwa upande wa shule zilizofanya vizuri katika kundi la zile zilizokuwa na watahiniwa chini ya wanafunzi 30 ni Uru Seminary, St. James Seminary, Maua Seminary, Same seminary Dungunyi Seminary D.C.T Jubilee St. Joseph-Kilocho Seminary, Mlama na Masama Girls.

            Dk. Joyce akifafanua kuhusu watahaniwa wa mtihani huo mwaka huu alisema jumla ya watahiniwa 44,720
sawa na asilimia 99.47 kati ya waolisajiliwa walifanya mtihani huo ambapo wasichana walikuwa 16,327 sawa na asilimia 99.63 na wavulana 28,393 sawa na asilimia 99.38, huku kuhusu ubora wa ufaulu akisema jumla ya watahiniwa 34,949 sawa na asilimia 78.53 wamefaulu katika madaraja ya kwanza, pili na tatu wakiwemo wasichana 12,868 sawa na asilimia 79 na wavulana 22,081 sawa na asilimia 78.25.

          Alisema watahaniwa 49,653 sawa na asilimia 87.24 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita
mwaka 2011 wamefaulu. Wsichana waliofaulu ni 18,351 sawa na asilimia 88.74 wakati wavulana waliofaulu ni 31,302 sawa na asilimia 86.38. Mwaka jana watahiniwa waliofaulu walikuwa 55,772 sawa asilimia 88.85.



MADEE AMKANA DEM WAKE

  Hamad Ally aka Madee toka Tip Top Connection,amefunguka na na kukana kumtaja mchumba wake mpya anayedawa anaitwa Salma

Madee alimpoteza mchumba wake,Pendo aliyefariki dunia katika ajali ya gari na kufunguka zaidi kuwa si kweli aliyetoka kwenye magazeti pendwa ya leo Ijumaa ni mchumba wake bali anadai ni dada yake na wala haitwi Salma,na alishangaa kuona habari hiyo imetoka kwenye vyombo vya habari!



Kujivua gamba kwa CCM hakuondoi uchakavu wake- Mbowe

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe
       WATANZANIA wameshauriwa kutobabaishwa na mabadiliko yanayofanywa na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa  utaratibu wa viongozi wake
kujivua ‘gamba’ hauondoi uchakavu wa chama hicho.      Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe alipokuwa akitoa salaam za pole kwa wakazi wa Mkoa wa Shinyanga kutokana na kifo cha Mwenyekiti wa Mkoa wa Chama hicho, Marehemu Philipo Shelembi kilichotokea mwishoni mwa wiki iliyopita.     Bw. Mbowe alisema kitendo kinachofanywa hivi sasa na CCM kwa kuwavua magamba viongozi wake wanaotuhumiwa kwa vitendo vya ufisadi hakiwezi kuwasaidia lolote Watanzania kwa vile wanaovuliwa ‘gamba’ hawafikishi katika vyombo vya dola kuadhibiwa.


Beyonce hit with $100 million lawsuit

beyonce_law_suit_100_million.jpgDid Beyonce cause dozens of people to lose their jobs before Christmas, and a video game developer to lose more than $100 million? That's what a summons filed Tuesday in Manhattan Supreme Court alleges.
The document, filed by video game company Gate Five, claims that they'd teamed up with the singer for a dance game called "Starpower: Beyonce."Beyonce asked for more money last December. The suit calls it "a bad faith breach of contract so callous that, on what appeared to be a whim, she destroyed Gate Five's business and drove 70 people into unemployment, the week before Christmas." The game was due out this November, but the project went bust when
The summons alsoclaims that her demands were "so unscrupulous that her then manager (who is also her father) renounced them." Not sure how that will help anyone's cause, as Beyonce has since severed all managerial ties with her father Matthew Knowles. And, according to one source familiar with the split, Matthew and Beyonce are "borderline estranged" even on a personal level.


Obama aomboleza maafa ya Alabama

Alabama
        Mamia ya watu wamefariki baada ya vimbunga vikali kupiga kusini mwa Marekani
Rais Barack Obama amesema serikali yake itafanya kila juhudi kusaidia wakaazi wa jimbo la Alabama kufuatia athari za dhoruba kali na kimbunga.
       Zaidi ya watu 280 wameuawa na uharibifu mkubwa umefanyika katika jimbo hilo la kusini mwa Marekani.
Serikali imetangaza hali ya hatari katika eneo hilo ambako watu wamelazimika kuondoka kwenye makaazi yao.
       Maafa na uharibifu pia yametokea katika majimbo ya Tennessee, Mississippi, Georgia na Virginia.
       Rais Obama amesema ataelekea Alabama kuugana na familia za walioathirika na makundi yanayotoa misaada ya dharura kwa wakaazi wa eneo hilo.
       Shirika la kitaifa la kutabiri hali ya hewa nchini Marekani, limesema eneo hilo la kusini mwa marekani limepigwa na msururu wa vimbunga 300 tangu ijumaa wiki iliopita. Vimbunga venye nguvu zaidi vilipiga jumatano wiki hii.
       Kufikia jana zaidi ya watu milioni moja walikuwa hawana huduma za umeme.
Wanajeshi 2,000 wametumwa kusaidia katika harakati za uokozi.


MTANGAZAJI WA EATV AULA BIG BROTHER..!!
Mtangazaji Maarufu wa Kipindi cha 5Connet cha EATV,Bhoke Egina ndiye mwakilishi wa Tanzania katika Big Brother Africa inayotarajiwa kuanza Jumapili ya tarehe 1 May 2011,Na mwaka huu litaitwa Big Brother - Amplified (Season 6),na 14 Housemates watakaa mjengoni kwa siku 91 na mshindi kuibuka na zawadi ya dola 200 000 za kimarekani.
 

Harusi ya Kifalme - Live

Mwana mfalme wa Uingereza, Prince William na Kate Middleton wamefunga ndoa katika kanisa la Westminster Abbey jijini London.
Takriban wageni 1,900 walishuhudia tukio hilo ndani ya kanisa, na mamilioni wakifuatilia majumbani mwao kwanjia ya televisheni.

Prince William kisses his wife Kate, Duchess of Cambridge on the balcony of Buckingham Palace. (AP Photo/Matt Dunham)

A small section of Prince William and his wife ...

 keki
Britains Queen Elizabeth travels to Buckingham ...
Queen Elizabeth 2
Beckhams lead celebrity presence at royal wedding
Victoria Beckham na mumewe David 
Mwana mfalme William akifungishwa ndoa na Aksofu Rowan William katika kanisa la Westminster Abbey jijini London.
Maharusi hao walishangiliwa na maelfu ya watu waliojipanga barabarani kuelekea kasri ya Buckingham Palace ambako Malkia amewaandalia karamu wageni 650.
Wana ndoa hao wapya walitumia gari liliovutwa na farasi la muundo wa mwaka 1902 ambalo lilitumiwa na wazazi wake Prince William wakati wa ndoa yao mwaka 1981.
Maharusi hao baadaye walijitokeza kwenye roshani ya kasri ya Buckingham na kuwasalimu maelfu ya watu waliokwenda kuwasherehekea.
Baada ya kulishana viapo vya ndoa Askofu mkuu wa Canterbury, Rowan Williams, aliwanadi rasmi kuwa "mume na mke".
Kuanzia sasa maharusi hawa watajulikana rasmi kama Duke na Duchess wa Cambridge.


Sophia Brown Launches New Merchandise Line

sophia_brown_merchandise_reggae_singer_jamaica.jpgAs if the sweet heart songstress of reggae Sophia Brown was not already busy preparing for the release of her sophomore album "Catch Me if You Can" which is due out in a couple of months, a new business venture is now on the horizon as Brown begins promotion of her new and exclusive line on brand name merchandise.
       The line "Sophia Brown" will offer a wide range of memorabilia products which include T Shirts, Jewelry, Clocks, Calendars, Blankets, Key Chains, License Plate Frames, Greeting Cards, Yoga Mats, Cell Phone Cases, Tracksuits, Pajamas, Cups Mugs and Thermos Coolers.
      According to Brown the idea for the line presented itself in 2010. "I first thought about starting a merchandise line around a year ago when I started getting more recognition internationally. It was a move that would allow my fans to enjoy more of who I am as an artist.
      Since then the whole idea started to manifest and I am proud to finally unveil what we have been working on".



MIMBA YA MARIA CARY YAENDELEA KUMPA SHIDA!!
Maria cary akiwa na mumewe Nick kanoon wakisaidiana kulea mimba hiyo ya mapacha.




BIG BROTHER YAANZA KUUNGURUMA MAY MOSI

Another exciting new development this season is that Sunday's Launch Show will be going multi-media!
There will be live streaming of the two-hour opening on the official website at no cost, marking the first time in the history of the African series that this has happened!
And for audiences who log on early, there’s a special 15 minute pre-show exclusive to online audiences that begins at 18:45 CAT on Sunday 1 May
Bhoke
Age 26
Hometown Dar es Salaam, TANZANIA
Occupation TV Broadcaster
Confidence
Age 37
Hometown Accra, GHANA
Occupation CEO of MultiMedia Company / Aphrodisiac Nightclub
Hanni
Age 22
Hometown Addis Ababa, ETHIOPIA.
Occupation Singer and Student
Herminio
Age 32
Hometown Maputo, MOZAMBIQUE
Occupation Rapper and Radio Host
Jossy
Age 28
Hometown Windhoek, NAMIBIA.
Occupation Recording Artist / Marketing,Sales and Ad Manager
Lomwe
Age 27
Hometown Blantyre, MALAWI
Occupation Radio and Club DJ
Luclay
Age 28
Hometown Cape Town, SOUTH AFRICA
Occupation Actor / Acting Coach
Millicent
Age 28
Hometown Nairobi, KENYA.
Occupation Actress
Mumba
Age 24
Hometown Lusaka, ZAMBIA
Occupation Radio DJ
Sharon
Age 25
Hometown Kampala, UGANDA
Occupation Artist / Musician
Vimbai
Age 24
Hometown Harare, ZIMBABWE
Occupation Model
Vina
Age 26
Hometown Lagos, NIGERIA
Occupation Radio Presenter
Weza
Age 26
Hometown Luanda ANGOLA
Occupation TV Presenter, Model
Zeus
Age 24
Hometown Gaborone, BOTSWANA
Occupation Entrepreneur, Artist, Marketer

Thursday, April 28, 2011

MAJANGILI WA KISOMALI WAKAMATWA MOROGRORO



Kundi la Wasomali likiwa chini ya ulinzi kwenye kituo kikuu cha polisi mkoani Morogoro.
WATU wapatao 82 raia wa Somalia wamekamatwa jana mchana kwenye msitu wa moja ya vijiji vya Wilaya ya Gairo mkoani hapa wakiwa safarini kuelekea jijini Dar es salaam kutafuta maisha.

Akizungumza na mtandao huu kwenye kituo kikuu cha polisi mkoani hapa, askari mmoja wa kikosi cha kutuliza ghasia wilayani Gairo maarufu kwa jina la 'voda fasta'alisema Wasomali hao walikamatwa baada ya polisi kupokea taarifa kutoka kwa raia wema.

"Tumepokea taarifa kutoka kwa raia wema wakitujuza kuwa kuna kundi la wasomali wanakata mbuga katika misitu ya Vijiji vya Gairo hivyo baada ya kuwafuatilia tumewakamata na kuwaleta hapa mkoani," alisema afande huyo aliyekataa kutaja jina lake kwa kuwa sio msemaji mkuu wa jeshi la polisi.



MAWAKALA MISS TAZANIA KUPIGWA MSASA 




Semina ya Mawakala wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania 2011 itafanyika tarehe 29 na 30 April 2011 katika hotel ya Paradise City iliyopo Posta jijini D’salaam.
Semina hii itahusisha Mawakala wote wa Mikoa, na Kanda wanaoandaa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania.
Katika semina hiyo ambayo pia itakuwa ni Mkutano wa mwaka wa Waandaaji wa Miss Tanzania katika ngazi za Mikoa na Kanda, mambo kadhaa yatazungumzwa ikiwemo, kukumbushana Kanuni, Sheria na Taratibu za Mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, maadili na miiko ya uongozi, na uendeshaji wa mashindano.
Pia Changamoto mbalimbali zinazokabili mashindano ya urembo zitajadiliwa.
Mada mbalimbali zitatolewa na Wataalamu kutoka katika Fani ya urembo na Taasisi mbalimbali. Orodha ya Mawakala imeambatanishwa.



Barcelona 2 Real Madrid 0

Nyota wa Barcelona Lionel Messi alifunga mabao mawili ya haraka haraka katika dakika za mwisho, na kuipa nafasi kubwa Barca kucheza fainali ya Klabu Bingwa Ulaya.
Messi
Messi
Kulikuwa na mvutano mkali kati ya timu hizo mbili, katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali, hadi pale Pepe wa Real alipopewa kadi nyekundu katika dakika ya 61.
Baada ya kadi hiyo, Barca walianza kutawala, na kupata magoli hayo mawili.


PILI HASHIM NDIO MISS TANGA CITY CENTRAL 2011


Hatimae mnyange wa kitongoji cha Miss Tanga City Central amepatikana huku shindano hilo likiacha historia kubwa. Mwanadada Pili Hashim ndie aliyabahatika kuvaa taji hilo ambalo hapo kabla lilikuwa likishikiliwa na Anna Kiwambo mrembo wa kitongoji hicho kwa mwaka jana. Nafasi ya pili ilichukuliwa na Mishi Juma huku nafasi ya tatu ikienda kwa Salha Ibrahim. Kitongoji ca Miss Tanga City Central kiliandaliwa na kampuni ya Green Apple Entertainment kwa udhamini mkubwa wa Madam Hair Dressing Saloon, Mwanakodo, Sarah Issa, Arbab MB pamoja na Anko Mo Blogspot. Warembo wanne wamebahatika kuingia kunako kambi ya Miss Tanga 2011 ambapo kwa mwaka huu inaandaliwa na kampuni ya New Face Entertainment na itafanyika tarehe 11/06/2011 pale Mkonge Hotel. Kabla ya hapo Miss Tanga ilikuwa ikiandaliwa na kampuni ya Five Brothers Entertainment.

Pili Hashim na Mishi Juma ndio walibahatika kuingia fainali. Na hapa ilikuwa presha inapanda, presha inashuka mpaka alipotangazwa mshindi.

Top Five ya Miss Tanga City Central 2011....Pili Hashim (4), Rukia Shemdoe (1), Salha Ibrahim (3), Judith Kitogo (2) na Mishi Juma mwenye namba (5).....

Anaitwa Anna Kiwambo, ndie aliyekuwa anarudisha taji baada ya muda wake kumalizika. Anna Kiwambo pia ndie Miss Tanga 2010.

Kundi la Town Boys wakitoa burudani

Majaji wakiwa makini wakifuatilia warembo.

Warembo wa Miss Central wakipita na vazi la ufukweni.

Wakifungua show......


Mwana mfalme na Kate kufunga ndoa

Mwana mfalme William na mpenzi wake Kate Middleton

Ndoa ya kifalme inayofanyika leo nchini Uingrezea inafuatiliwa kwa makini nchini Ujerumani vile vile. Jumuiya moja ya hapa nchini inayoifuatilia ndoa hiyo kwa moyo wote inataka ufalme urudishwe

Mwenyekiti  wa  chama jumuiya hiyo  inataka kurudishwa a kwa mfumo wa kifalme  nchini Ujerumani Knut Wissenbacha  amesema, ''Sisi   katika  chama  chetu  kinachoitwa  Jadi  na Maisha  tumejipa jkumu   la  kuunga   mkono  wazo  juu ya kurudishwa  tena mfumo wa  kifalme  nchini  Ujerumani  na  kuudumisha"
Mwenyekiti  huyo, Bwana  Wissenbach haishi  katika kasri  bali nyumba ya kawaida  katika mji  wa  Niederheimbach ulioko jimbo la kaskazini  mwa Ujerumani.  Mpenda ufalme huyo ambaye  sasa ana umri wa miaka 40 ni mtumishi wa serikali.  Anapitisha  wakati wake wa faragha kwa kukusanya picha za wafalme wa kijerumani, nishani na sare za  wafalme.  
Katika ofisi  yake ameweka  tandiko  la  farasi  badala  ya  kiti.
Maharusi: Mjukuu wa Malkia Elizabeth wa pili na mpenzi wake Kate MiddletonBildunterschrift: Maharusi: Mjukuu wa Malkia Elizabeth wa pili na mpenzi wake Kate Middleton


Rihanna Shows Off Her Legs & Gets Celebrities

Look at that girl with them daisy dukes on! Rihanna was spotted leaving Phillippe Chow in West Hollywood yesterday in her short shorts and Christian Louboutin Mary Jane pumps.  Later that day, she was seen getting a full body scan at LAX airport  before heading off to New York City.




This Is Why Shaq And Hoopz Need Their Own Reality Show

Former Flavor of Love winner Hoopz and her current boyfriend Shaquille O’Neal left Boston reporters in amazement as they worked out together during an upcoming segment on WCVB in Boston. A few months ago, The Boston Globe reported that Hoopz is filming a reality show based on her suburban life and her desire to become a women’s health and self-defense guru. Shaq, who currently lives in the same house, will be a part of the show.