Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, April 27, 2011

KANUMBA NA RAMSEY NOAH....WAJA NA MOVIE!

ACTORS RAMSEY NOAH (NIGERIA) NA STEVEN KANUMBA (TZ)

Mwigizaji filamu toka TZ,Steven Kanumba amefanya kazi kwa pamoja na mwigizaji maarufu toka nchini Nigeria Ramsey Noah iitwayo Devil's Kingdom
Pia humo ndani kuna kipaji kipya kabisa,Kajala na mwanamuziki toka FM Academia Patcho Mwamba na Devil's Kingdom itakua kitaani soon mwezi ujao!

MBWANA MATUMLA ANOGESHA NGUMI ILALA

Bondia Mbwana Matumla (kulia) akioneshana umwamba wa kutupa makonde na Omari Bayi wakati wa tamasha la kuamasisha mchezo wa ngumi uliofanyika, Dar es Salaam jana mabondia wote wanajiandaa na mapambano yao yatakayofanyika mei mosi katika ukumbi wa PTA sabasaba Dar es salaam 

VITA VYA LIBYA VYAZADI KUUGAWA ULIMWENGU

Vita vya Libya vinachukuwa sura ya vita vya kidiplomasia kwenye jamii ya kimataifa, huku Urusi na Umoja wa Afrika zikisimama upande mmoja na Umoja wa Mataifa na nchi za magharibi zikisimama upande mwengine.

  Ushindi wa waasi wa Libya mjini Misrata dhidi ya vikosi vya kiongozi wa nchi hiyo, Muammar  Gaddafi, unaelezwa kuwa ni wa hatua moja mbele, moja nyuma, kutokana na vikosi vya Gaddafi kuendelea kuushambulia mji huo na kuongezeka kwa idadi ya wahanga.
  Taarifa za asubuhi ya Jumatano zimethibitisha kuwa maroketi kadhaa yamerushwa kutoka upande wa vikosi vya Gaddafi kuelekea bandari ya   Misrata na kuilazimisha meli ya Shirika la  Kimataifa la Wahamiaji ishindwe kutia nanga kuwaokoa wakimbizi.
  Meli hii ilikusudiwa kuchukua wakimbizi 550 wa Kiafrika, kati ya 2,000 waliokwama katikati ya vita. Kwa mujibu wa madaktari, wakimbizi watatu wa Kiafrika wameuawa na 20 kujeruhiwa kutokana na mashambulizi haya.
  Katika mji wa Kabao, ripoti zinasema kuwa mapigano makali ya Jumanne jioni yalimalizika kwa ushindi wa waasi, ambapo wanajeshi 45 wa serikali waliuawa na wengine 17 kukamatwa mateka. Waasi wamepoteza wapiganaji wawili na watatu kujeruhiwa.


MASHABIKI WA SEAN KINGSTON WAMTOA NISHAI

Artist toka Jamaica,Sean Kingston alikua nchini Zimbabwe kupiga showz kibao wakati wa sikukuu za Pasaka
Lakini baada ya kumaliza showz zake ilidaiwa kuwa alitupia kwenye mitandao ya Tweeter na Facebook account zake kuwa alitupa hela kwa fans wake wakati anapiga showz zake hizo 2 nchini Zimbabwe na kusababisha fans wake kusema sio kweli kuwa aliwatupia hela,na kwa sasa wanamuona Sean Kingston kama si mfano mzuri!


United yaichapa Schalke 2-0

Manchester United imepiga hatua kubwa kuelekea katika fainali ya Klabu Bingwa Ulaya, baada ya kuifunga Schalke katika nusu fainali ya kwanza nchini Ujerumani.
Giggs
  Giggs amekuwa mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kufunga goli katika michuano hii
United wangeweza kufunga mabao mengi kabla ya mapumziko, kama sio uhodari wa kipa wa Schalke, Manuel Neuer.
  Hata hivyo United walipata bao la kwanza katika kipindi cha pili, baada ya Wayne Rooney kupenyeza pasi wa Ryan Giggs. Rooney baadaye alipachika bao la pili baada ya kupata pasi kutoka kwa Javier Hernandez.
  United itaikaribisha Schalke kwenye uwanja wa Old Trafford, Jumatano tarehe 4 mwezi Mei, kwa ajili ya mchezo wa pili wa nusu fainali.
  Iwapo watadhibiti ushindi wao, United itawakilisha soka ya England katika Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya itakayochezwa kwenye uwanja wa Wembley.


   

Living Presidential? Diddy Gets Police Escort After NY Concert! Bloomberg Gets P’d Off As Result!


      As if the NYPD couldn’t f*** up any more they waste resources on providing a police escort to Diddy after an NYC concert last week.
      Apparently his original plan was to fly to the concert’s after party in a helicopter but that idea was shot down by authorities. In an attempt to keep up with his grand entrance in true “Diddy” style he arranged for the police escort. 
     The after party was in New   Jersey but the police only escorted him to the tunnel.
We’re not sure if was just for fanfare of if  Diddy actually feared for his safety. However, if you think about it, its a dope ass concept but is a huge waste of resources.  Major news outlets report that Mayor Bloomberg is pissed and the NYPD Commissioner’s head is probably going to be served to Bloomie on a stick.


No comments: