Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, April 22, 2011

KWA STAILI WABONGO WATALILIA SANA KWENDA BIG BROTHER AFRICA..!!

Mtu mzima akizila zile bata za ndani ya jumba enzi zake mjengoni humo.
 
Hawa nao wakipata natural juice jikoni,vijana wa kibongo wakiona hivi watarogana kwenda huko.


BREAKING NEEWZ..!!.MTOTO WA SHIRIKO AFARIKI DUNIA

Shirko Loses Daughter

        
      Its a sad morning for the Mombasa music fraternity after one of their own lost his daughter today.
     Shirko of the famous sav clan music group who has a couple of hit singles under his belt like ni wewe which he did with 2berry from tanzania. He lost his daughter Salame earlier this morning after a short illness.
Hipipo.com sends a messege of condolences to the family during this trying time and may Allah rest her soul in peace.



KOMBE LA MFALME LAPASUKA
Copadelrey           Spain's most treasured football trophy, the King's Cup, slipped from the hands of a Real Madrid player Thursday, fell under the team bus and was reportedly crushed into pieces.
Defender Sergio Ramos held the 15 kg trophy above his head in an open-top bus as the triumphant team were about to enter Madrid's central Cibeles Square, packed with fans partying throughout the night.
But he lost his grip and the Cup, which Real Madrid got their hands on just hours earlier for the first time since 1993 after a 1-0 victory over Barcelona, fell in front of the bus.
         The team bus then ran over the silver trophy before stopping.
Police rushed to retrieve the Cup and gave it to the bus driver but it was not displayed to the public again. Emergency services workers picked up at least 10 pieces of the trophy, news radio Cadena Ser reported. "It fell, it fell, it's fine, it's fine," Ramos told reporters when asked about the slip.


MAJAMBAZI YAENDELEZA UNDAVA YATEKA MAGARI 20 POLINI
     WATU wanaodhaniwa kuwa na majambazi juzi walifunga barabara eneo la msitu wa Sao Hill wilayani Mufindi na kuteka magari zaidi ya 20 huku wakijeruhi abiria na madereva wa magari hayo.
     Katika tukio hilo, majambazi hao wakiwa na silaha mbali mbali za moto na zile za jadi kama mapanga na virugu waliteka magari mbali mbali katika barabara kuu ya Iringa –Mbeya na kufanikiwa kupora mali za abiria hao.
      Mmoja kati ya watu waliotekwa alimweleza mwandishi wa habari hizi kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa saba usiku na kuwa baadhi ya magari yaliyotekwa ni yale ya yenye namba za IT ambayo yalikuwa yakisafirishwa kwenda nchi za kusini mwa Tanzania yakitokea bandarini.
     Juma Sanga ambaye alikuwa katika gari la IT akisafiri kama abiria baada ya kukosa usafiri wa basi alisema walipofika katika eneo hilo ghafla walikuta magogo yametegwa barabarani na wakati wakijaribu kuyakwepa ndipo          walipojitokeza majambazi hao zaidi ya 20 ambao walianza kurusha risasi hewani na kutumia mapanga na virungu kuwaadhibu huku wakiwapora mali mbali mbali.
    “Majambazi hayo yalikuwa yamevalia mavazi ya kininja na kuwa yalikuwa zaidi ya 20 na wakati wengine wakipekua gari moja baada ya nyingine na kukusanya mali za wasafiri wengine walikuwa wakiendelea kuwaadhibu abiria kwa kipigo….wapo baadhi waliojeruhiwa sana walikimbizwa hospitali ya wilaya ya Mufindi baada ya polisi kufika kwa wakati kuwaokoa.”
    Alisema kuwa tukio hilo lilidumu kwa zaidi ya dakika 20 na baadhi ya abiria walifanikiwa kupiga simu polisi Mafinga ambao walifika kwa wakati eneo la tukio na majambazi hao kukimbilia porini.
    Habari zinaeleza kuwa katika tukio hilo hakuna mtu aliyepoteza maisha zaidi ya kujeruhiwa na kuporwa mali mbali mbali zikiwemo fedha, Laptop na mizigo mingine ambayo majambazi hao walipakia katika gari na kukimbia nayo.



  WATU 88 WAUAWA SYRIA

Idadi ya watu waliouawa katika maandamano ya kudai mageuzi ya demokrasia nchini Syria imeongezeka hadi kufikia 88.

Shirika la Haki za Binadamu la Amnesty International limetoa takwimu hizo kuuambatana na ripoti za wanaharakati wa nchi hiyo. 
Hiyo jana, vikosi vya usalama vya Syria vilifyatulia risasi na mabomu ya kutoa machozi katika mikutano ya upinzani iliyokuwa ikifanyika nchi nzima.
Waandamanaji nchini Syria  Waandamanaji nchini Syria
Kuendelea huko kwa maandamano ni dalili kwamba jaribio la Rais wa nchi hiyo Bashar al Assad kuzima upinzani huo uliodumu kwa mwezi mmoja na kusababisha machafuko pamoja na ahadi alizotoa za kufanya marekebisho, limeshindwa.
Rais al Assad na vyombo vya habari vya taifa, vimeendelea kulaumu njama zinazofanywa kusababisha machafuko katika maandamano hayo ya upinzani.
Waandamanaji Yemen  Waandamanaji Yemen
   Wakati huohuo, nchini Yemen nako, maelfu ya watu walikusanyika katika mitaa ya mji mkuu Sanaa na mji wa Taiz hapo jana katika maandamano ya kumpinga rais wa nchi hiyo Ali Abdullah Saleh.


NAULI ZAPANDA STENDI YA UBUNGO
    NAULI za mabasi yanayokwenda mikoani kuanzia Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), imepanda mara dufu na kusababisha abiria kutapeliwa kwa kuuziwa tiketi hewa na wengine kushindwa kusafiri jana.

Vurugu zilianza kujitokeza saa 12:00  asubuhi, baada ya abiria wanaodhaniwa kusafiri kwa ajili ya Siku Kuu ya Pasaka kufika kituoni hapo na kubaini kupanda kwa nauli ghafla na kuwapo kwa mabasi machache kuliko kawaida.

   Kutokana na hali hiyo daladala zinazofanya safari katikati ya Jiji la Dar es Salaam, vikiwamo `vipanya’ vilijitosa kituoni hapo na kusafirisha abiria kwenda katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro kwa bei ya kuruka.

   Uchunguzi ulibaini kuwa nauli kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha jana ilipanda kutoka Sh22,000 hadi Sh35,000 wakati kutoka Dar es Salaam kwenda Kilimanjaro ilipanda kutoka 18,000 mpaka Sh30,000.

   Hali hiyo ilisababisha abiria wengi waliotaka kusafari kuelekea mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuahirisha safari.

   Daladala zinazofanya safari kati ya Gongo la Mboto-Mwenge, Mwenge-Posta na Makumbusho-Bagamoyo zilionekana zikipakia abiria waliokuwa wakienda  mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.

   Abiria waliozungumza kituoni hapo, walieleza kwamba kutwa nzima ya jana, kulikuwa na tatizo la upungufu wa magari na kupanda ghafla kwa nauli ya mabasi yanayokwenda katika mikoa hiyo.

 


MISS TABATA  MATAMBO YANAENDELEA..!!
Warermbo wakiwa katika pozi wakisubiri siku ya mchuano
       Warembo wanaoshiriki shindano la Miss Tabata 2011 wakiwa katika picha za pamoja katika pozi tofauti wakati wa mazoezi yao katika Ukumbi wa Dar West Park Tabata jijini Dar es Salaam. Warembo hawa wanachuana kuwania taji linaloshikiliwa na Miss Tabata 2010 Consolatha Lukosi.


Toni Braxton Is Separated But In No Rush To Divorce


Well this makes for an interesting discussion…
      In her recent interview with Sister2Sister magazine, Braxton Family Values star Toni Braxton reveals details about her separation from husband Keri Lewis. Toni and Keri, who was once a member of R&B group Mint Condition, split in 2009, and this year marks the 10-year anniversary since they wed. She tells the magazine that the main reason she can’t see herself divorcing Keri is because she believes she’ll upset her children.
“We co-parent together. Sometimes he stays over with the kids; he’s very involved with his kids… April would have been 10 years (since we wed). We’re, like, the best of friends.
“We told the kids, ‘Sometimes mummy and daddy need a little break.’ That’s probably why I haven’t done a straight divorce yet.”


Lil B is Receiving Death Threats After Naming His Album “I’m Gay”


         It looks like Lil B the Based God is getting a lot of attention over the title of his new album, which he decided to title I’m Gay.  However, he may have gained some attention that he was quite expecting.
     After revealing the title of his upcoming project the California rapper has been receiving a series of death threats.  The threats mostly came via Twitter.  Peep what he had to say about the recent threats:
     People been hitting me up like, ‘I’m gonna bash your head in,’ ‘you f—-t,’ ‘I’m gonna kill you. I’m not gonna stop and I’m not scared of anybody on earth. That’s why I [titled the album I'm Gay] and nobody gonna stop me.



Picha ya mwanamke akigalagala baada ya kupata kichapo cha maana toka kwa mwanaume
      ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa
anakusamehe halafu anasahau!!!
      UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye
anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni
kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!
     UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia
chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila
manung'uniko.
    UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma
kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala
halalamiki!
     CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, unataka huduma. Unamrukia, hamna
maandalizi unamuumiza. Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena
inaweza tokea hii; hana kinyongo!
     UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale
imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo
ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana
kashasahau na kukusamehe!
    UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto
anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina
atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi
kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!  





MISS DAR CITY CENTER WAJIMWAGA

Mratibu wa shindano hilo Fatma Abdalah ‘Fetty’(mbele), akiwa kwenye pozi la pamoja na washiriki hao.
   SHINDANO la kumasaka mrembo wa kitongoji cha Miss Dar City Centre 2011, linazidi kupamba moto kutokana na purukushani za mazoezi yanayoendelea katika kambi yao iliyopo Lamada Hotel Ilala jijini Dar es Salaam.

   Akizungumza na mtandao huu jana, mratibu wa shindano hilo, Fatma Abdalah ‘Fetty’, alisema kwamba kila kukicha anazidi kuridhizishwa na uwezo wa mazoezi ya warembo wake, na kwamba matumaini ya kutoa Miss Tanzania kwa kitongoji chake ni makubwa.




KUMBE AVRIL MSAGAJI..!!
      Pictures of Kenya's singer Avril surfaced on the internet last night.
The pictures show her in compromising positions with a female partner. 
    Avril, real name Judith Nyambura Mwangi, is signed to the Ogopa DJ stable
.
Avril2
avril











Avril3





 

 

 

 

 

 

 

Marekani kufanya mashambulizi Libya


Robert Gates
     Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Robert Gates amesema ndege za kivita zisizokuwa na rubani zinatekeleza mashambulizi ya anga nchini Libya.
     Gates amesema utumizi wa ndege hizo uliidhinishwa na rais Obama na kwamba zitaongeza uwezo wa wanajeshi wa muungano wa NATO katika harakati zao za kijeshi nchini humo.
Waasi nchini Libya, wamekuwa wakipambana na wanajeshi wa Kanali Gadaffi tangu mwezi Februri mwaka huu, lakini wameanza kupiga hatua ndogo.
     Katika kikao na waandishi wa habari mjini Washington, Gates amesema kwamba rais Obama aliidhinisha utumizi wa ndege hizo maalum zisizo na rubani kama mchango wao na pia kudhihirisha uwezo wao wa kijeshi.
Ndege za kivita za Marekani
Ndege za kivita za Marekani
     Amesema ndege mbili zitakua chini ya usimamizi wa NATO kwa saa 24 kila siku.
     Bwana Gates, amekanusha madai kuwa kutumwa kwa ndege hizo ni ishara ya Marekani ya kujiunga na Muungano wa NATO katika harakati zake za kijeshi nchini Libya, kwa njia ya siri.
     Ndege hizo maalum za kurusha makombora zinatumika kuwalenga wapiganaji wa waasi katika mipaka ya Pakistan na Afghanistan.
     Idara ya ulinzi ya Marekani imesema ndege hizo zitakuwa na uwezo wa kuwatambua wanajeshi wa Gadaffi ikiwa watajificha ndani ya magari ya kibinafsi au wakiingia kwenye maeneo ya makaazi ya watu.
     Ndege hizo zina uwezo wa kupaa muinuko wa chini kuliko ndege zingine za kivita na hivyo kuifanya bora katika juhudi za kijasusi na kufanya mashambulio, kwa kuwa ni vigumu kwa ndege hizo kuonekana kwenye mtambo wa rada.
     Wataalamu wanasema hii ni ishara tosha kuwa Marekani inajihusisha zaidi katika mzozo huo nchini Libya.



DIWANI WA CCM AKAMATWA KWA WIZI

          JESHI la Polisi mkoani Rukwa limemkamata na kumfikisha mahakamani aliyekuwa diwani wa viti maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Sumbawanga, Bora
Mohamed (40) kwa tuhuma za kupatikana na  Kompyuta ya wizi.

          Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Isunto Mantage diwani huyo mkazi wa Kitongoji cha Majengo Manispaa ya Sumbawanga alikamatwa juzi saa 9:30 mchana akiwa katika kituo cha daladala ya Chanji akiwa na seti moja ya
kompyuta yenye thamani ya sh. 400,000 akiwa katika harakati za kuiuza.

          Akifafanua zaidi juu ya tukio hilo, Kamanda Mantage alisema kuwa mtuhumiwa alikuwa akienda kuiuza katika Kitongoji cha Kizwite kilichopo ndani ya manispaa hiyo.

          Baada ya kukamatwa na kuhojiwa, diwani huyo alisema kuwa
mali hiyo ni ya kwake lakini baada ya kufikishwa katika Kituo cha Polisi, kompyuta hiyo ilitambuliwa kuwa iliibwa kwa Mwalimu Mjwadu Babala wa Shule ya sekondari Mafulala baada ya nyumba yake iliyopo eneo la Bangwe kuvunjwa na watu wasiofahamika na kuiba vitu mbalimbali January 26, mwaka huu.

         Hata hivyo, Kamanda Mantage alisema kuwa katika tukio hilo mwalimu huyo alilipoti kuibiwa kwa vitu mbalimbali ikiwemo pikipiki pamoja na kompyuta baada ya kuipekua walibaini kuwepo kwa nyaraka mbalimbali zilizomhusu mwalimu huyo.




RAIA KICHAPO LIVE
        binadamu mwisho wetu ni pale tunapokumbwa na mauti na kuelekea kusiko julikana.. je unamuomba mungu kifo chako kiwe salama? ufe bila mateso?tazama binadamu tulivyo wanyama, mwizi kakuibia simu au elfu tano katika pochi yako unamtoa uhai wake kama vile wewe ndiye uliyemuumba..hivi kweli na wewe unatamani kufa kifo hiki? vyombo vya dola vimewekwa kwa ajili gani? unajua sababu iliyompelekea kuiba? tusikurupuke na kushiriki mauwaji ya wenzetu kwa Mungu tunatoa maelezo gani ya kujitosheleza kwa haya tunayoyatenda?


IMPRESS YOUR GIRL: Without Breaking the BANK!


     Are you sick of punishing your wallet just to have a good time with your girl?  Tired of trying to impress her with all the *air quotes* finer things in life.  Well STOP!  There are ways to wine and dine on a budget while and have a great time with your boo.  Read an after the jump!

Mother of Gay Bride Collapses


Mother collapsed after members of public showed her news article
The mother of a woman who had a same-sex marriage in Iowa, USA, has collapsed and is now hospitalized after members of the public showed her the article on one of Kenya's dailies.
The Daily Nation reported that Terry Wakonyo, 24, married Courtney Nicole, 25, in a civil union in Iowa, where it is legal.
TerryNicole
           Ms. Ng'endo, Terry's mother works at the Kenyatta University as a casual employee, working for the Vice Chancellor Olive Mugendi. Terry on the other hand, won herself a scholarship to a Kansas University a few years ago.
         Reports tell us that members of the public who work with Ng'endo callously showed her the article, with disregard to her feelings or state of mind, or to whether she knew that her daughter was openly gay. She then collapsed in the office and was rushed to the campus health unit. Her son, who also works at the university as an administrator, is with her now at the health unit.
         Members of the public have been seen taunting Terry's mother and neighbors, with jibes being thrown about them accompanying her to the USA to 'pay bride price' to Courtney's family.
This incident brings back memories of how journalists rushed to bombard the feeble and elderly parents of Kenyans Daniel Chege Gichia and Charles Ngengi, who wed a few years ago in the UK.
Daniel_and_Charles

No comments: