Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, April 30, 2012

MASHABIKI WA SIMBA WAPATA UCHIZI FURAHA


Mshabiki wa timu ya simba akishangilia kwa staili ya aina yake jana wakati simba iliposhinda 3-0 dhidi ya waarabu,ndugu na jamaa wa mpenzi huyu mchukulie ilikuwa ni furaha iliyopita kiasi si uchizi.

Friday, April 27, 2012

NIKKI MINAJ NA NGOMA MPYA "STARSHIP"


Nicki Minaj is serving up plenty of eye candy for the fellas while showing off her insane waist-to-hip ratio in the colorful video for ‘Starships’. The video features Nicki Minaj coming out of the ocean all slow motion, ‘Baywatch’ style before getting the party jumping with a huge electro-pop party in Hawaii.
There isn’t a deep storyline to follow in the video; just half-naked, beefed up tattooed guys, Nicki booty-shaking in a bikini and a fist-pumping rave in blacklight.

BRIAN MC KNIGHT KUTUMBUIZA TUZO ZA UTUPU(AVN)

This summary is not available. Please click here to view the post.

MTU MMOJA AGONGWA NA KUPOTEZA MAISHA PAPO HAPO


Mwili wa Marehemu baada ya kugongwa

Mwili wa marehemu ukihifadhiwa kwenye plastiki ili kuzuia damu kusambaa
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la  Mbaraka Abdalah (pichani)  ambaye ni mlemavu wa miguu na mkazi wa kijiji cha Mbekenyera  Wilayani Ruangwa - Lindi amekumbwa na umauti baada ya kugongwa na gari aina ya  Landlover akiwa katika matembezi yake ya kila siku . Hadi napata habari hii Dereva aliyesababisha ajali hiyo amekimbia na kuelekea kusikojulikana.

Tuesday, April 24, 2012

JOKATE NA DIAMOND SASA MAPENZI NJE NJE

                      

     Kile kitendawili cha nimpende nani toka kwa mwanamuziki Diamond"platnum" kimepata jibu baada ya kuziilishwa na yeye mwenyewe kuwa yuko ndani ya mahusiano na mwanadada Jokate Mwongelo.
  Diamond ameziilisha upendo wake wa wazi kwa mpenzi wake wa sasa ambae ni Jokate ambapo awali alikataa lakini jamaa kafanya kweli kwa kuweka wazi uhusiano wake na mnyange huyo.
  " No wan can take your place kate..ilove u so much my baby" hivi ndivyo Diamond alivyoandika katika ukurasa wake kupitia simu yake Blackberry messenger.


              CORPERATE INTERNET CONNECTIVITY
Surf anywhere in Dar es Salaam

VURUGU ZA RIHANNA VISIWA VYA HAWAII

Rihanna_topless_photo_hawaii_vacation.jpg
Oh, to be young, beautiful, rich and famous. It sure looks like one heck of a good time.


At least that's what we gather from the photos Rihanna posted to her Facebook Monday night of the Hawaiian getaway she took earlier this year. The Barbadian pop star posted 169 pics of herself and friends enjoying a little fun in the sun, horseback riding, swimming with sharks, enjoying some Bud Light on a boat and lounging on a surf board. Oh, and taking her top off under a waterfall.
If there was ever any question that the "We Found Love" singer is just about the fittest pop star in the game, these pictures confirm it. From every angle, Rihanna looks amazing; she's rocking visible abs, toned arms and loose, curly locks, and stripped of her diva costumes and makeup, she's a natural stunner. In one pic, RiRi even bares some skin. Bathing under a waterfall, she doffs her bikini top and shoots the camera an ear-to-ear smile.

Though she's since returned to the grind, shooting a video for her new single "Where Have You Been," she made time to support producer buddy Calvin Harris this weekend at Coachella, where she also seemed to be having quite a good time.
Note to all those who are, like us, looking at these pictures from their desk inside: We must have done something wrong. Are you jealous of Rihanna's lavish tropical getaway? Let us know in the comments below.

BWENI LA WANAFUNZI HANDENI LATEKETEA KWA MOTO




WANAFUNZI takriban 50 wa Shule ya Sekondari Kidereko wilayani Handeni hawana sehemu ya kujihifadhi baada ya bweni lao kuteketea kwa moto pamoja na baadhi ya vifaa vyao vya shule.

Bweni hilo liliteketea kwa moto hivi karibuni majira ya asubuhi baada ya kutokea kwa hitilafu ya umeme kwenye bweni hilo muda ambao wanafunzi wote walikuwa wakiendelea na masomo darasani.

Akizungumza na Thehabari.com eneo la tukio Mwalimu wa Taaluma wa shule hiyo, Khamis Said amesema vitu vyote vya wanafunzi takribani 50 waliokuwa wakiishi katika bweni hilo viliteketea kwa moto, yakiwemo madaftari ya wanafunzi, nguo, magodoro na vitanda vya mbao viliteketea kwa moto.

“Hatukufanikiwa kuokoa kitu maana baada ya kusikika mlipuko na baadhi ya watu kuona moshi ukitoka ndani ya bweni hilo ambalo muda huo lilikuwa limefungwa tulikuta moto umesha tanda ndani na ukiwaka kwa kasi jambo hali ambayo ilikuwa ngumu kuokoa,” alisema Said.

Amesema kwa sasa wanafunzi hao wanasaidiwa na wanafunzi wenzao kimalazi huku wakiishi kwa shida kutokana na msongamano uliopo baada ya bweni lao kuteketea kwa moto. “Unajua baada ya ajali walibaki na nguo za shule walizokuwa wamevaa siku hiyo pamoja na madaftari ya vipindi vya siku hiyo tu, vifaa vingine vyote viliteketea kwenye ajali hiyo…shule imetoa baadhi ya fedha na kuwanunulia maitaji kadhaa japokuwa hayatoshelezi” alisema Mwalimu Said.

Hata hivyo alisema tayari uongozi wa idara ya elimu wilaya ya Handeni umetembelea eneo la tukio na wanafanya utaratibu wa kuwasaidia wanafunzi hao. Hii ni mara ya pili kutokea kwa majanga ya moto shuleni hapo kwani mwaka 2000 wanafunzi walichoma ofisi ya Mkuu wa Shule hiyo baada ya kuzuka kwa vurugu kati yao na uongozi wa shule.

MISS ARUSHA CITY KUVIMBISHA MEI 5

Washiriki wa kitongoji  Kanda ya kaskazini,Miss Arusha City Center 2012, wakiwa katika picha ya pamoja,tayari kuchuana vikali Mei  5 2012 ndani ya hoteli ya Kitalii,Naura Springs Hotel iliyopo kati kati ya jiji la Arusha.katika shindano hilo kiingilio kimepangwa kuwa ni kwa viti maalum ni sh.25,000/= na kwa viti vya kawaida ni sh 15,000/=
Washiriki wa Miss Arusha City Center 2012 wakiwa kwenye mafunzo ya vitendo yatolewayo na chuo cha Udereva na Ufundi,Modern Driving School,ambao pia ni moja ya wadhamini wa shindano hilo.
  
Mashindano ya Ulimbwende ngazi ya kitongoji  Kanda ya kaskazini,Miss Arusha City Center 2012,yanatarajiwa kufanyika Mei  5 2012 ndani ya hoteli ya Kitalii,Naura Springs Hotel iliyopo kati kati ya jiji la Arusha.


Akizungumza leo jijini Arusha,Mratibu wa shindano hilo Bi Upendo Simwita kutoka  kampuni ya Tour Visual Entertainment ambao ndio waandaji wa shindano hilo,amebainisha kuwa mpaka sasa maandalizi yao yanakwenda vizuri na kila kitu kimekwisha kamililka ikiwemo sambamba na kuwapata warembo ambao mpaka sasa wametimia 20.
 
Bi Upendo Simwita amesema kuwa wameishakamilisha mchakato wa kuwapata Warembo wenye mvuto na wenye vigezo stahiki,anaongeza kuwa warembo hao wenye ari kubwa ya ushindani,kama waandaji watahakikisha muwakilishi wa Miss Tanzania 2012 anatokea kwenye kitongoji hicho.

“Shindano hilo litakalokuwa la tofauti kubwa na miaka ya nyuma litawakutanisha walimbwende wapatao 20,ambao watachuana vikali jukwaani, na hatimaye kumpata Mshindi wa Miss Arusha City Center”,alisema Upendo.

KATY PERY NA MPENZI WAKE MPYA MALAVIDAVI KWEUPEE..!!


“Russell who?” is exactly what recently divorced Katy Perry was probably asking herself while she made out with her new boyfriend, Florence + the Machine guitarist Robert Ackroyd over the weekend at the Coachella Festival.

Eyewitnesses say the new couple couldn’t keep their hands off each other, and made no attempt to attempt to hide their lust for one another as they put on a show of PDA for the Coachella crowd.

The 27-year-old “Part of Me” singer rocked a pair of high-waisted shorts with a matching sheer blouse, while Ackroyd wore a white tee and jeans. When they weren’t kissing or making googly eyes at each other, Perry and Ackroyd either held hands or held each other in a close embrace.

MIMI NI MULT-MILIONEA BOBY WINE AMTAMBIA BEBE COOL

The beef between Ghetto Gladiator Bobi Wine and Gagamel President Big Size Bebe Cool has taken a new and more hyped direction after Bobi Wine released a new single titled By Far; a purely direct but promised attack on Bebe Cool.
The release of By Far followed Bobi Wine issuing two ultimatums demanding that Bebe Cool withdraws his Film Star lyrics or he (Bobi) unleashes his wrath. And yes as he promised, Bobi Wine has released the song.
In By Far, Bobi Wine assures Bebe Cool that;
“Big size you tell big lies; I live a dream, you just fantasize. Open your eyes better realize, don’t see me rise and just criticize. You talk about daddy’s money, bad Bobi Wine talks about Bobi’s money, you better wake up from your dream.”
This song is going to have one of the hottest debates in the music industry ever. First, it is a direct but promised attack on Bebe Cool after he released a song titled Film Star with verses dissing Bobi Wine.
Secondly it comes at a time when Bebe Cool has just appeared in a local newspaper in an article that I strongly believe carried a lot of unfairness.
And lastly, the song comes only two weeks to the much hyped battle of champions between these two known arch rivals.
About the song;
By Far was recorded at Fire Records under the watchful eyes of Producer Tonny Houles. It is sung in both Luganda and English in an afro-dancehall genre. In the song, Bobi Wine gives tribute to Goodlyfe at their Neverland home and Doctor Jose Chameleone and his Leone Island empire.
By Far and Film Star, which is the better song? Back to you our great audience.
About Battle of Champions:
This latest battle of words started by Bobi Wine comes with only two weeks to the highly anticipated battle of champions between Ghetto Gladiator Bobi Wine and Big Size Bebe Cool. This concert will take place on May 4th at Kyadondo Rugby Grounds.  
About Film Star:
Film Star also known as Ndiisa Buuti is the latest song from Bebe Cool. In this song, Bebe Cool explains why he lives his life the way he does. But most interesting he says that life is like a film and always at the end of any film, the gangster (Omubanda) has to die and the film star takes the day. To many, this is a direct attack on Bobi Wine. Remember that Bobi Wine has nicknamed himself Omubanda wa Kabaka.
Stay logged on to East Africa's leading Social Entertainment website for the latest from Uganda's music industry.

AJALI YA BASI MBEYA 40 WAHERUHIWA

Mmoja wa majeruhi wa  kati ya 40 walionusurika kifo baada ya basi waliokuwa wakisafiri aina ya Coaster, lenye nambari za usajili T 374 AVR, kupinduka lilipogongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.
 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Imezu wakikwa katika Hospitali ya Rufaa, wakisubiri kupatiwa matibabu, mara baada ya basi aina ya Coaster waliyokuwa wakisafirikia  enye nambari za usajili T 374 AVR, kupinduka lilipogongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.
  Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Imezu wakikwa katika Hospitali ya Rufaa, wakisubiri kupatiwa matibabu, mara baada ya basi aina ya Coaster waliyokuwa wakisafirikia  enye nambari za usajili T 374 AVR, kupinduka lilipogongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.
Basi aina ya Coaster waliokuwa wakisafiria abiria zaidi ya 40, lenye nambari za usajili T 374 AVR, likiwa limepinduka baada ya kugongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.
 Basi aina ya Coaster waliokuwa wakisafiria abiria zaidi ya 40, lenye nambari za usajili T 374 AVR, likiwa limepinduka baada ya kugongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG.
Basi la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG lililohusika katika ajali, baada ya kuligonga kwa nyuma basi aina ya Coaster enye nambari za usajili T 374 AVR ambapo zaidi ya abiria 40 kunusurika kifo. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.

JOKATE NA DIAMOND SASA MAPENZI NJE NJE

     Kile kitendawili cha nimpende nani toka kwa mwanamuziki Diamond"platnum" kimepata jibu baada ya kuziilishwa na yeye mwenyewe kuwa yuko ndani ya mahusiano na mwanadada Jokate Mwongelo.
  Diamond ameziilisha upendo wake wa wazi kwa mpenzi wake wa sasa ambae ni Jokate ambapo awali alikataa lakini jamaa kafanya kweli kwa kuweka wazi uhusiano wake na mnyange huyo.
  " No wan can take your place kate..ilove u so much my baby" hivi ndivyo Diamond alivyoandika katika ukurasa wake kupitia simu yake Blackberry messenger.


              CORPERATE INTERNET CONNECTIVITY
Surf anywhere in Dar es Salaam

Monday, April 23, 2012

MISS CHANG'OMBE 2012 KUMEKUCHA..!!

 Warembo wanmaotarajia kuwania umalkia wa mashindano ya Miss Chang'ombe, wakiwa katika mazoezi ya awali jana kwenye viwanja vya Hoteli ya Lamada, Dar es Salaam.


 Mwalimu wa warembo hao,Vumilia Willbrod akiwaelekeza jinsi ya kusimama walipokuwa wakipiga picha ya pamoja wakati wa mazoezi hayo.
 Mratibu wa mashindano hayo, Thom Chilala (kushoto), akitoa somo kwa baadhi ya warembo watakaoshiriki Miss Chang'ombe.

BRIANNA PERRY AIBUKA NA "DEAR HIP HOP"


“I’m overdue for the top spot.”
It’s hard out here for women in Hip Hop. And although the door has been kicked wide open for up and coming rap chicks since the emergence of Nicki Minaj, they are still finding it hard to get the respect that they are due.
Brianna Perry is a Miami-bred rapper on the come up and she is airing out her grievances with the rap industry on a track titled, ‘Dear Hip Hop’. In the letter to ‘Hip Hop’, which uses a sample of Carrie Underwood’s ‘Before He Cheats’ for the chorus, she raps about not being respected enough to make it to XXL’s Freshman Class cover (that cover sure did create a lot of controversy didn’t it?)  or MTV’s Hottest MCs list. Meanwhile, she uses an ignited copy of this year’s Freshmen Class Issue   as a backdrop to the video.   She also  lists a few reasons why she probably doesn’t have a bigger buzz.

SUPER MODEL CARLA CAMPBELL NA UTAMU WA RUNWAY

carla_campbell_pulse_model_female_girl_jamaica.jpgInternational Pulse supermodels Carla Campbell and Oraine Barrett are both confirmed to attend the 5th staging of Irie Fashion Rave in New York City this Sunday, April 25 at LQ, 511 Lexington in Manhattan, New York. Barrett will join numerous New York models on the runway while Campbell will served as celebrity guest host of the event.
Campbell has received worldwide exposure appearing in the 2006 Sports Illustrated Swimsuit Issue. Her clients include L'Oréal, Nike, Avon, Seventeen magazine, Footlocker, Miller Beer, Maxim, Target and Fubu while Barrett is best known for being the face of Ralph Lauren Polo and for his starring role in Rihanna’s "Man Down video." Barrett along with the other models will wear clothing by local fashion designers John Paul Peirre, Rep Ja, Jewel Shannon, VP's Riddim Driven, Houz Designs, Hope Wade, Original Stush and Romeich Wear (designer to the stars in Jamaica).
At the same event two years ago, Kingsley Cooper of Pulse Investments Ltd in Jamaica, who launched the careers of Vogue and Gucci models Nadine Willis, Jaunel McKenzie, Gaye McDonald, Jeneil Williams, as well as Carla Campbell was presented with a "Lifetime Achievement Award" for his contribution to the fashion industry.

SELENA GOMEZ NA JUSTINE BIEBER MATE HADHARANI

Despite their busy schedules, Justin Bieber and his girlfriend Selena Gomez found some time to spend together. The couple were spotted sitting courtside at the Lakers vs. Spurs game Tuesday night (Apr 17) at the Staples Center in Los Angeles.

Gomez — who is a Texas native — was cheering on the San Antonio Spurs and tweeted, “LET’S GO SPURS!!! LET’S GO!!” in the middle of the game.

Throughout the game, Justin was seen kissing all over Selena, and eventually, both Pop stars leaned in for a kiss at the urging of the cheering crowd.
The couple’s kiss was caught on the Staples Center’s world-famous “Kiss Cam,” and the crowd went nuts, according to eye witnesses.
Apparently caught off guard, Selena looked embarrassed and hid her face after she noticed she and Justin were being filmed on the big screen.

After coming up for air, the couple took a few photos with a young fan who was seated next to them, and gave her a big hug.

KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN NDUKINDUKI..!1

Kim Kardashian and Kanye West enjoyed a dinner out
Kim Kardashian
and Kanye West enjoyed a dinner out with Kim's family last night, hitting up the popular restaurant Spice Market in the Meatpacking District of Manhattan.

As TMZ first reported, Kanye's version of Meet the Parents went well ... with the Kardashian clan thinking the two
made a great couple


Kanye West & Kim Kardashian were snapped strolling through New York City this past weekend as the ‘new happy couple’. A successful man like Kanye probably wants a Beyonce to his Jay, a Victoria to his Dave or a Jada to his Will but could Kim really be it?
I’m definitely not buying this fauxmance but get your money Kim!
If you are wondering why an A-list rapper like Kanye and a reality-tv star who’s been in and out of at least 4 public relationships over the past 5-6 years and is fresh off of a 72 day marriage-gone-wrong would even hook up, Elizabeth Currid-Halkett, author of Starstruck: The Business of Celebrity, broke it down for the Washington Post:

PETER MILES KUTOA KIBAO NA DAVILLE NA COLE BUDDZ


Monday, 23rd April, 2012

Peter Miles to have song with Daville and Collie Buddz by 1544c Ssejjombwe. (+256 782233273)
He’s considered as one of the best dancehall artists in East Africa and he’s slated to have songs with Jamaican sensations Daville and Collie Buddz. We’ve been informed. Peter Miles who’s “Nice & Polite” song alongside Elephant Man is rocking both Radio and Tv stations as well as dance spots is in final stages of making both songs. We haven’t yet established the names of the songs but Peter Miles says he’s looking forward to the two projects. “With Elephant Man done, my next project is with Daville famous for “Always on my mind” and Collie Buddz famed for “Mamacita” track. I’ve already talked to both artists and what is required of me is to just travel to Jamaica to make both tracks.” Said Peter Miles.
He has already done songs with Jamaican artists including General Levy and Elephant Man and going by the airplay both songs received, the two tracks will surely be on an international level.
Peter Miles is famous for tracks like “Rackus” alongside Navio, “One time”, “Oja” with Juliana and “Tingisha” and is one of the few artists who own a recording studio called “Roadblock along Entebbe road.    

SISQO (MR DARGON) KUTUA UGANDA

sisqo tattoo picture

It’s a been a while since Uganda last hosted an International artist but two UK-based promoters Chinedu Ikoroha of Cee Cee Entertainment and Misairi Kabira of Skata Records are flying in American superstar Sisqo for a concert in August. The two promoters have been in Kampala for the past two weeks striking deals with service providers and sponsors ahead of the show due to take place on the 25th of August. Sisqo is better known for songs “Thong song” and “Unleash the dragon” and is the lead singer of American RnB group Dru Hill. Ticket prices and curtain raisers will be confirmed at a later stage but cricket oval could be the venue for the highly anticipated concert.

MASE MATATANI KWA MADENI

Mase
Is Diddy's former prodige Ma$e caught up on his income tax payments? Eh-Eh,  Eh-Eh.

According to documents filed in Florida by the IRS, Ma$e owes a total of 124,774.85 in back taxes ... stemming from the years 2000, 2001 and 2004.

Perhaps not coincidentally, Ma$e retired from the music business in 1999 after saying he got a "calling from God." After a turn with the ministry, Ma$e returned with an album in (you guessed it) 2004.

A call to Ma$e's rep was not returned.

MISS UTALII TANZANIA KUTANGAZA UTALII MAREKANI

 EVAMARY GAMBA - MISS UNITED NATION TANZANIA
 MARIAM HAMISS - IN STAGE IN TZ
 MARIAM HAMISS - MISS UNITED NATION ZANZIBAR
 MARIAM HAMISS ON STAGE
MISS UTALII TANZANIA 2011,WAKIWA KATIKA PWANI YA BAGAMOYO

Warembo wawili wa Miss Utalii Tanzania 2011, watawakilisha Tanzania katika Shindano la Dunia la Miss United Nation 2012, litakalo fanyika July 28 huko calfonia Marekani.Shindano hilo linashirikisha zaidi ya nchi 100 duniani kote.

Hii itakuwa ni fulsa nyingine ya pekee kwa nchi yetu kutangaza vivutio vya utalii wa Tanzania , huko nchini marekani na duniani kwa ujumla. Warembo hawa pamoja na kwenda kutangaza utalii na utamaduni wa Tanzania kwa ujumla, lakini watapeleka ujumbe mahususi kwa wamarekani na Dunia kwa ujumla juu ya mlima kilimanajaro,Seremgeti na Ngorongoro Crater kuwa viko tanzania na ni mali ya tanzania. Hii itasaidia kuondoa na kupambana na propaganda za nchi nyingine kuwa vivutio hivyo vipo kwao.

Tunafanya mpango wa kupata matilio mbalimbali kutika mamlaka ya Hifadhi za taifa (TANAPA), mamlaka ya bonde la ngorongoro (NCAA) na Bodi ya Taifa ya Utalii, za mlima kilimanjaro,serengeti na ngorongoro ikiwemo machapisho vijarida,vipeperushi, mokanda ya video,DVD na VCD zikiwa katika lugha mbalimbali, ambavyo warembo wetu watagawa kwa washiriki wa nchi zote ,na vyombo mbalimbali vya habari vya nchi hizo vitakavyo ambatana na washiriki wao,pia kupitia waandaaji hao wa dunia tutagawa katika vituo mbalimbali vya televisheni na magazeti nchini marekani.

Aidha mchakato wa kupata wadhamini wa kugharamia safari na ushiriki huo umeanza na unaendelea vizuri.

Mariamu Hamisi ni mshindi wa Miss Utalii Dodoma 2011 na mshindi wa taifa wa tuzo ya Miss Utalii tanzania 2011 - Gender,wakati Evamary Gamba ni mshindi wa Miss Utalii tanzania Kilimanjaro 2011 na mshindi wa Taifa wa tuzo ya Miss Utalii Tanzania 2011 - Mount Kilimanjaro. Matarajio ya kutwaa taji ni makubwa kutokana na ukweli kuwa washiriki wetu wanakidhi matakwa na kanuni za kushiriki na kushinda taji la Miss United Nation World.

kabla ya kuondoka warembo hawa watafanya ziara za mafunzo kati hifadhi za Kilimanjaro,Ngorongoro na Serengeti, kwani ndo ajenda na kipaumbele cha ushiriki wetu katika mashindano hayo mwaka huu. Aidha bodi ya maandakizi ya Miss utalii tanzania ,imepitisha kuwa washiriki wote wa Miss Utalii tanzania katika mashindano ya kimataifa na dunia watatumia ligha ya kiswahili ,stejini ili kukitangaza kiswahili, kama ambavyo mataifa na washiriki wa mataifa mengine wamekuwa










KESI YA LULU YASOGEZWA MBELE KUPISHA UCHUNGUZI

 Mshatkiwa Elizabeth Michael |(17), ' Lulu'  akielekea kupanda ngazi na kupandishwa Kizimbani Kesi hiyo  ilikuja kwa ajili ya kutajwa  Upelelezi haujakamilika hiyo ni kwa mujibu wa Wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda alisema mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Rita Tarimo  hivyo kesi hiyo  itatajwa tena Mei 7 mwaka huu.
Mtuhumiwa amerudishwa rumande.
Akisindikizwa .
 Mshtakiwa akipanda ngazi kuelekea Kizimbani ambalo kesi yake ilitajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam huku akiwa katika ulinzi kutoka kwa askari  Magereza.
 
Tofauti na ilivyokuwa  alivyo pandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza 'Lulu' leo alikuwa katika ulizni wa hali ya juu huku askari magereza wakiwa wamevalia mikanda  yenye mabomu ya machozi ikiwa ni katika kukabilia na rapsha ya aina yeyote ambayo ingeweza kutokea .Kitu kingine ni kwamba msanii huyo alifika akiwa amevalia gauni refu na mtandio wake mwekundu walitu walijaa lakini siyo kwa wingi ambao wengi walitarajia kutokana na umaarufu alio nao Lulu hata kabla ya kufikwa na tuhuma  hizo za kesi ya mauaji ya aliyekuwa Msanii nyota wa Filamu nchini Steven Charles Kanumba. kilichotokea nyumbani kwake Sinza Vaticanjijini Dar es Salaam april 7  mwaka huu.