Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, April 19, 2012

AIRTEL YATOA COMPUTER NA VITABU YENYE THAMANI YA 25ML UDOM

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akikabidhi baadhi ya
vitabu  vya chuo kikuu vilizotolewa na Airtel kwa chuo kukuu cha Dodoma
(UDOM) kwa Makamu Mkuu wa chuo hicho Profesa Idrisa Kikula (kulia) jana
wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika chuoni hapo.  anaeshuhudia
ni Mkuu wa wilaya ya Bhahi Bi Betty Mkwasa (kati). Airtel imetoa vitabu 104
na computer 20 vyote vyenye  thamani ya milioni 25/- TZS ikiwa ni
muendelezo wa Airtel katika kuchangia sekta ya Elimu nchini.
Mkuu wa wilaya ya Bhahi Mheshimiwa Betty Mkwasa akiongea na waandishi wa
habari na baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho jana wakati wa hafla fupi ya
makabidhiano ya vitabu 104 na kompyuta 20 vyote vyenye  thamani ya milioni
25/- TZS  toka Airtel ikiwa ni muendelezo wa Airtel kuchangia sekta ya
Elimu nchini. Anaefuata ni Makamu mkuu wa chuo hicho profesa idrisa Kikula
na Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando.

No comments: