Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, June 30, 2011

RIHANNA AJISHIKA NYETI JUKWAANI

 
Rihanna was performing in L.A. last night and decided to take some time to squeeze on her booty during her performance.  It looks like some lucky photographer got to capture the moment for the world to see.  However, if Rihanna is looking for someone to grab that fatty for her we have some willing applicants on this end





Amber Rose aibuka na Tv reality Show

Mwanamitindo maarufu duniani ambaye pia umaarufu wake umeongezeka baada ya kuwa katika mahusiano na mastaa wa mziki wakubwa kama Kanye West na Sasa yupo na Wizy Khalifa, Amber rose ameibuka na Tv show ambayo inakuwa inahusiana na maisha yake ya kila siku.. camera za wana habari zilimnasa Amber rose akiwa katika fukwe za Santa Monica akirekodi baadhi ya vipande vya show hiyo
Amber Rose ambaye anampando wa kufungua duka kwa ajili ya kuza miwani yake mwenyewe anasema
"katika kipindi hiki mtaona mlolongo mzima wa jinsi nilivyokuwa nahangaika katika kutafuta eneo kwa ajili ya duka langu, sio kazi ndogo kufungua duka na watu kuja kufanya manunuzi kwako, hiki kipindi cha Tv kitakuwa ni kitabu cha wazi cha maisha yangu ndo maana nakiita "nyuma ya kivuli changu" kuna mambo mengi ambayo watu hawayajui kutoka kwangu sasa ni wakti wao kuona na kunijua vizuri"



HAPO VIPI WADAU

Fikiria huyu ndio dadaako anafanya madudu haya pale posta katikati ya jiji utafanyaje?




ADAI MICHAEL JACKSON ALIMPA MADAWA YA KULEVYA




Do you remember little Aaron Carter? He had a short-lived music career, with the highlight being a remake of ‘Candy,’ while his big brother Nick Carter was touring the world as one of the members of the Backstreet Boys. Ok! Magazine caught up with Aaron on the two-year anniversary of the passing of Michael Jackson and he claimed that Michael gave him wine and cocaine when he was just 15 years old.
“I never talked about it… This is the first time. I do… I miss Michael… I have spent such incredible times with him. I did things with him that nobody else did… But I was also troubled about what he did to me,” Aaron says.
When asked whether Michael gave him alcohol, Aaron tells Daphne [from OK! magazine], “Yes, he gave me wine. I mean, I could have refused, but I was 15.” As for drugs? “He gave me cocaine. I felt weird about that

Monday, June 27, 2011

breaking news..MUAMMAR GADDAFI KUKAMATWA KAMA KUKU..!!

Kanali Muammar Gaddafi
Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gaddafi.
Mahakama imemtuhumu kwa uhalifu dhidi ya binadamu na kuamuru mashambulio kwa raia baada ya machafuko dhidi yake kuanza kati kati ya mwezi Februari.
Mahakama hiyo iliyopo the Hague pia imetoa hati ya kukamatwa kwa washirika wake wakuu Kanali Gaddafi- mtoto wake wa kiume Saif al-Islam na mkuu wa kijasusi Abdullah al-Sanussi.
Maelfu ya watu wanaaminiwa kufariki dunia kwenye ghasia hizo.
Hati hizo ziliombwa na mkuu wa mahakama hiyo ya ICC Luis Moreno-Ocampo mwezi Mei, aliyesema watu hao watatu walihusika na "mashambulio yaliyopangwa na yaliyosambaa" kwa raia.
Bw Moreno-Ocampo alisema mahakama hiyo ina ushahidi kuwa Kanali Gaddafi "aliamuru binafsi mashambulio kwa raia wa Libya wasio na silaha na alihusika kwa kukamatwa na kunyanyaswa kwa wapinzani wake wa kisiasa.
Serikali ya Libya hivi karibuni ilisema haitambui mahakama hiyo na tishio la hati hiyo haiwashughulishi.





 MISS PWANI APATIKANA
Vodacom Miss Pwani Winifrida Gracian katikati akiwa na mshindi wa pili Thuraiya Dabas(kushoto) na mshindi watatu Mariaclara Mathayo kwenye shindano hilo lililofanyika jana katika ukumbi wa TASUBA,Pwani Wilaya ya Bagamoyo.



 DENDA NJENJE..!1

Martin akila denda ukumbini




VIJIMAMBO NJIANI
Kwa ujumla hali ya barabara ya Bujonde haifai kabisa ni tabu tupu hapa tumekwama.



MISS MWANZA 2011
Vodacom Miss Mwanza 2011 Irene Kalugaba akiwa a picha pamoja na =mshindi wa pili Vodacom Miss Mwanza Frola Razaro (kulia)a Monica James mshindi wa pili wa shindano la Vodacom Miss Mwanza lililofanyika kwenye hoteli mpya na ya kisasa kabisa ya Gold Crest karibu kabisa na hoteli kongwe ya New Mwanza Hoteli jijini Mwanza ambapo tayari shindano limekwisha na washindi ndioyo hao.
Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Kanda ya Ziwa Bw Stephen Kingu akiwa katika picha ya pamoja na wafayakazi wenzake, kulia ni Janet Kambeson msaidizi wa Mkurugenzi wa Vodacom Kanda ya Ziwa, Miriam Makalla Mwakilishi wa Mauzo Vodacom Kanda ya Ziwa , Bernald Kombe Activation Coordinator Lake Zone .
Hii ndiyo tano bora ya Vodacom Miss Mwanza kutoka kulia ni Ester Laurent, Monica James, Diana James, Irene Kalrgaba na Frola Razalo wakipozi kwa picha.
Majaji wa shindano hilo wakijadili jambo kabla ya kumtangza mshindi kutoka kushoto ni Cess Odemba Ben Mwangi,Cynthia Buhama
Kutoka kulia ni Rubeny , Msanii Mwasiti , Zamaradi Mketema wakibembeleza mtoto.
Lina wa THT na Sajna msanii kutoka mkoani mwanza.
Msanii Barnaba akipagawisha mashabiki wake wakati wa shindano la Vodacom Miss Mwanza lililofanyika katika hoteli ya Gold Crest Hotel.
.Vazi la Ufukweni kama unavyoona.
Hapa wakiendelea kupita na vazi la ufukweni.
Vazi la Ufukweni bado linaendelea.
Wasanii wa mwanza wakifanya vitu vyao jukwaani wakati wa shindano .
Mdau Flora kulia wa Mwanza akiwa na rafiki yake
Vazi la ubunifu
Hili limebuniwa kwa majani mapana yaliyokolea rangi ya kijani.
Hili limebuniwa kwa kitenge na shanga.

MISS KAGERA 2011 NI FUNIKA BOVU..!1

Ile tu michuano inaanza na mamiss wakipita jukwaani kwa ufunguzi tayari hali ilikuwa ngumu kwa majaji kutokana na uwiano na vigezo kuonekana kushabihiiana kama si kulandana kwa ukaribu saana.
Miss Kagera 2011 Miss Janeth Abdul akivujwa taji mara tu baada ya kutangazwa mshindi.Na mshindi wa pili ni Denise Apondi na mshindi wa tatu ni Miss Beatrice Marwa ambae ni mshiriki aliye iwakilisha Bukoba mjini.
Mshindi wa kwanza na wapili ni wawakilishi wa wilaya ya Muleba.
Mzuka ulimpanda mtu mzima 20% wakati wa show ya kuwasindikiza warembo alimanusura jukwaa lididimie kutokana na wadau kumpokea vizuri msanii huyu nguri mwenye staili ya kuimba kwa majonzi ile hali anafurahisha.
Mgeni wa heshima RPC mkoa wa kagera Ndg Enery Selewi (katikati|)akifatilia mchakato mzima wa kumsaka mlimbwende wa mkoa.
Niwashiriki wa Miss Kagera wakipita jukwaani kwa mavazi mbalimbali kama ya ufukweni na vazi la ubunifu.Mshindano haya ya vodacom Miss Kagera yalifanyika jana kwenye ukumbi wa linas Night club.Na yameandaliwa na Angers Entertaiment chini ya mkurugenzi wake Mr Josephat Rwebangira.
Msimamizi wa shamba la kahawa akijaribu kuwaelekeza mamiss wetu juu ya kilimo cha kahawa na faida zake,Shamba hili lipo chini ya Kiroyera tours ambao niwadhamini wakubwa wa Miss Kagera 2011.
Mamiss wakiwa kwenye Pango la kyamnene sambamba na wadau wengine kutoka kushoto ni Dj Sley na wa pili kutoka kulia ni Emanuel Ernest Mbaule(doctor)wote wa 88.5 kasibante FM Radio ambao pia niwadhamini wa miss kagera 2011.
Wadau katika picha ni mratibu wa shughuli nzima ya Miss Kagera na Mkurugenzi wa Angels Entertaiment kutoka kushoto ni Mr Joseph Rwebangira na wa pili ni Mr Abdulmarick Tungaraza(Dj Max).

Angels Entertaiment kama tunavyo elewa ni mabingwa wa kuandaa matamasha mbalimbali kama ilivyo kuwa mwaka 2009 Miss Dar City Center na kuwapata warembo watatu bora walio ibuka Wwashindi miss Tanzania,nA mwaka jana 2010 ndio waandaaji wa Miss Mwanza na 2011 wamevuka sasa wapo mkoani Kagera.
Anaonekana Mr Hadam (Dj Wabago) kwenye mapolomoko ya Msitu wa Kyamnene Maruku.
Ni Mr Joseph(Jose)wa Angels Entertaiment na Dj Slay wa 88.5 Kasibante Fm Radio.Mtu mzima magese ntarudi jumatano bado niko Bukoba mkiona kimya nilikuwa bize kidogo pande hizi.