Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, June 27, 2011

MISS KAGERA 2011 NI FUNIKA BOVU..!1

Ile tu michuano inaanza na mamiss wakipita jukwaani kwa ufunguzi tayari hali ilikuwa ngumu kwa majaji kutokana na uwiano na vigezo kuonekana kushabihiiana kama si kulandana kwa ukaribu saana.
Miss Kagera 2011 Miss Janeth Abdul akivujwa taji mara tu baada ya kutangazwa mshindi.Na mshindi wa pili ni Denise Apondi na mshindi wa tatu ni Miss Beatrice Marwa ambae ni mshiriki aliye iwakilisha Bukoba mjini.
Mshindi wa kwanza na wapili ni wawakilishi wa wilaya ya Muleba.
Mzuka ulimpanda mtu mzima 20% wakati wa show ya kuwasindikiza warembo alimanusura jukwaa lididimie kutokana na wadau kumpokea vizuri msanii huyu nguri mwenye staili ya kuimba kwa majonzi ile hali anafurahisha.
Mgeni wa heshima RPC mkoa wa kagera Ndg Enery Selewi (katikati|)akifatilia mchakato mzima wa kumsaka mlimbwende wa mkoa.
Niwashiriki wa Miss Kagera wakipita jukwaani kwa mavazi mbalimbali kama ya ufukweni na vazi la ubunifu.Mshindano haya ya vodacom Miss Kagera yalifanyika jana kwenye ukumbi wa linas Night club.Na yameandaliwa na Angers Entertaiment chini ya mkurugenzi wake Mr Josephat Rwebangira.
Msimamizi wa shamba la kahawa akijaribu kuwaelekeza mamiss wetu juu ya kilimo cha kahawa na faida zake,Shamba hili lipo chini ya Kiroyera tours ambao niwadhamini wakubwa wa Miss Kagera 2011.
Mamiss wakiwa kwenye Pango la kyamnene sambamba na wadau wengine kutoka kushoto ni Dj Sley na wa pili kutoka kulia ni Emanuel Ernest Mbaule(doctor)wote wa 88.5 kasibante FM Radio ambao pia niwadhamini wa miss kagera 2011.
Wadau katika picha ni mratibu wa shughuli nzima ya Miss Kagera na Mkurugenzi wa Angels Entertaiment kutoka kushoto ni Mr Joseph Rwebangira na wa pili ni Mr Abdulmarick Tungaraza(Dj Max).

Angels Entertaiment kama tunavyo elewa ni mabingwa wa kuandaa matamasha mbalimbali kama ilivyo kuwa mwaka 2009 Miss Dar City Center na kuwapata warembo watatu bora walio ibuka Wwashindi miss Tanzania,nA mwaka jana 2010 ndio waandaaji wa Miss Mwanza na 2011 wamevuka sasa wapo mkoani Kagera.
Anaonekana Mr Hadam (Dj Wabago) kwenye mapolomoko ya Msitu wa Kyamnene Maruku.
Ni Mr Joseph(Jose)wa Angels Entertaiment na Dj Slay wa 88.5 Kasibante Fm Radio.Mtu mzima magese ntarudi jumatano bado niko Bukoba mkiona kimya nilikuwa bize kidogo pande hizi.

No comments: