Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, June 14, 2011

MISS KAGERA 2011 YAJA JUU NI 24 JUNE

Warembo wnaowania taji la Miss Kagera 2011 wakiwa baadhi katika picha kama wanavyoonekana hapo juu ambapo june 24 watapanda jukwaani katika ukumbi wa Linuz club usiku huo.
Mnanionaje wadau... kARIBUNI 24 JUNE KATIKA UKUMBI WA LINUZ CLUB...Burudani toka kwa 20% itakuwepo na wasanii wengi pamoja na bendi mbalimbali.





MISS MULEBA ILIKUWA HIVI
Msundi wa kwanza ni Daisy Apondi wapili ni Merina George na watatu mi Edisa Sixmund.
Washindi wa Miss Muleba ambao wameingia moja kwa moja mashindano ya Miss Kagera 2011 wakiwa na furaha baada ya kutangazwa washindi.
Mermbo alietia fola kwa kubuni vazi la ubnifu lenye asili ya mkoa wa kagera ambapo ametumia majani ya mgomba kubuni vazi hilo.




NGONO ZEMBE ZA BHOKE ZILICHANGIA KUMWANGA BBA
Dada yetu bhoke akiwa amelewesha kimahaba hapa hakumbi chips za zege bongo.hureeee..!!
Hapa bhoke akipewa sindano za moto kitandani na kutupiwa mbichimbichi na kijeba huko ndani ya jumba la BBA

No comments: