Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, April 11, 2011

Serikali ya Gaddafi yakubali mpango wa amani

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anasema serikali ya Libya imekubali mpango wa amani wa muungano wa Afrika ili kumaliza mapigano ya miezi miwili.
Bwana Zuma na viongozi wengine watatu wa Afrika walikutana na kiongozi wa Libya, Muammar Gaddafi, mjini Tripoli siku ya Jumapili.Sasa wanaelekea katika eneo la Benghazi linalodhibitiwa na waasi mashariki mwa nchi.
Katika eneo la Ajdabiya,vikosi vinavyomuunga mkono Gaddafi vimewazidi nguvu waasi katika mapigano.
Shirika la Nato linasema ndege zake zimeshambulia vifaru 25 vya serikali katika siku ya Jumapili pekee.
Mpango wa muungano wa Afrika unatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano mara moja, kufunguliwa njia kwa ajili ya kusafirisha misaada na mazungumzo kufanyika kati ya serikali na waasi.

"muhimu kusitisha mapigano," alisema rais Zuma,baada ya mazungumzo yaliyochukua saa kadhaa.

Gaddafi na ujumbe wa AUMfumo ambao mchakato huo utachukua mtaelezwa baadaye katika taarifa zetu,alisema Bwana Zuma.
Mwakilishi wa upinzani aliye Uingereza, Guma al-Gamaty,akizungumza na BBC amesema kuwa wataangalia kwa makini mpango huo wa muungano wa Afrika,lakini mpango wowote ulio na nia ya kumuacha Gaddafi au wanawe madarakani hautokubalika.

Ja Rule to be jailed for up to five years on weapons and tax evasion convictions

LaTimes Though he made his name hollering "it's murda," Queens-born rapper Ja Rule now faces up to five years in prison for weapons possession and tax evasion.
On Tuesday, the rapper born Jeffrey Atkins pleaded guilty in a New Jersey Federal Court to two counts of tax evasion, each carrying a maximum one-year sentence.
ja_rule_sentenced_prison.jpg
Agreeing to fork over $1.1 million in back taxes and penalties, the rapper is currently free on $500,000 bail pending sentencing June 13. A week before that, he's scheduled to report to jail to begin serving a three-year sentence for a weapons possession conviction stemming from a 2007 arrest.
According to court reports, the rapper had failed to file tax returns from 2004 to 2008, despite significant revenues from royalty and touring. 2004 was the last year the formerly multiplatinum recording artist had an album of new material in stores. That year's "R.U.L.E." managed to go gold, an impressive feat in today's attenuated record industry, but a minor blip in that more robust era.

Yanga bingwa Tanzania 2011

Yanga
            Klabu ya Soka ya Yanga imetawazwa kuwa Bingwa wa ligi kuu ya soka nchini Tanzania baada ya kuifunga timu ya Toto Afrika ya nchini humo kwa jumla ya mabao 3 – 0.
            Timu hiyo imekuwa bingwa baada ya kufikisha pointi 49 sawa na timu ya Simba lakini imetawazwa bigwa baada ya kuwa na uwiano wa magoli 25 na 24 dhidi ya mahasimu wao Simba.
            Yanga ilikuwa ikigombea ubingwa huo baada ya kucheza mechi 22 na kufunga jumla ya mabao 32 na kufungwa mabao 8 ikifuatiwa na mahasimu wao Klabu ya Simba ambayo nayo ilikuwa ikigombea nafasi hiyo baada ya kufungana pointi.
            Simba ambayo imeshika nafasi ya pili imemaliza mchezo wake wa 22 kwa kufunga mabao 39 na kufungwa mabao 17.
            Kwa ubingwa huo Yanga inajihakikishia kitita cha shilingi milioni thelathini za kitanzania sawa na wastani dola 25,000 huku ikiiwakilisha Tanzania mwakani katika michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika.
           Simba ambayo imeshika nafasi ya pili itashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika maarufu kombe la CAF.



BRITNEY SPEARS AMCHUKUA NIKKI MINAJ KWENYE BONGE LA ZIARA
Sources involved in the negotiation tell TMZ ... the deal was signed several days ago, and Britney is elated. Everyone involved in the concert is relieved Enrique Iglasias' ego couldn't handle opening for Britney and feel Nicki will be infinitely better.

Minaj, who is on tour with Lil Wayne until the end of the month, currently has two singles on the Billboard Top 100 -- "Moment 4 Life" and "Did It On'em"

Everyone connected with the concert series things Nicki will create even more heat for the tour, which kicks off on June 17 in Sacramento, CA.

TMZ broke the story Nicki and Britney were in serious negotiations.  Right after we posted that story, the comments and emails were almost unanimous that Nicki is an infinitely better choice than Enrique.



    MJADALA WA KATIBA WAGEUKIA MTIZAMO WA KIDINI ZAIDI
       SIKU chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA) kutangaza maandamano ya nchi nzima kupinga mchakato unaoendelea wa muswada wa
katiba nchini, kundi moja la wasilamu limeonya uamuzi huo usifanyike Dar es Salaam kwa madai ya kwamba una agenda ya kumng’oa Rais Jakaya Kikwete ikulu.

        Onyo hilo limetolewa na Amir wa Vijana wa Kiislamu, Shekhe Shaban Mapeyo, wakati akihutubia kongamano la waislamu lililofanyika mjini Moshi, mkoani
Kilimanjaro, jana.
       “CHADEMA wamekuja na agenda mbalimbali wakidai ni za kisiasa na wengi tumeamini hivyo, ukweli ni kwamba wana agenda ya siri wao na maajenti wao tangu mwanzo kwa
njia mbaalimbali kama vile Dowans na sasa wameikomalia hii ya katiba mpya, hili waislamu tusilikubali wakija huko mikoani wakataeni.
        "Sisi Dar es Salaam tunawasubiri watakutana na nguvu za wenye historia ya Tanzania,” alisema Shekhe Mapeyo huku akishangiliwa na umati wa waliohudhuria kongamano hilo.
      Alisema agenda ya katiba inayotumiwa na CHADEMA kwa madai ya kutumia nguvu za umma ni danganya toto, lengo halisi ni kumng’o Rais Kikwete ikulu na kwamba waislamu watapambana kwa hali na mali kuzuia uovu huo kwa niaba ya Watanzania wote.
       Shekhe Mapeyo alisema kuwa waislamu wamekuwa wakinyamaza kwa kila jambo wakati ajenda zikiibuliwa na vyama mbalimbali vya siasa lakini kwa sasa wameamua kusimama
kidete baada ya kuona CHADEMA wamekuja na ajenda ya kutaka 'kuhatarisha amani ya nchi'.
       Sheikh Mapeyo alisema, “Meseji zimesambazwa zinazohamasisha watu wajiandae kumng’oa Mujahidina Ikulu na sisi tunajiuliza Rais Kikwete ni Mujahidina tangu lini? Maana sisi tunachojua ni kiongozi wa wananchi wa Tanzania anayefanya kazi zake kwa uadilifu mkubwa,” alisema Sheikh Mapeyo.




YUPI MKALI JAMANI!?
image
Asiye na mwana abebe jiwe....kila mtu anabembe pale pichani.

No comments: