Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Saturday, November 13, 2010
Mwenyekiti wa kamati ya ufundi Taifa Godfrey Jax Mhagama akitoa maelezo kwa washiriki wa mbio za baiskeli za Vodacom Mwanza Cycle Challenge kabla ya mbio hizo kuanza rasmi zilizofanyika jijini Mwanza.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Abbas Kandoro, akiinua bendera kama ishara ya uzinduzi rasmi kwa mbio za Vodacom Mwanza Cycle Challenge kwa wanaume na wanawake.
Washiriki wa mbio za baiskeli za Vodacom Mwanza Cycle Challenge Kilometa 196 kwa wanaume wakichuana vikali katika mbio hizo zilizofanyika jijini Mwanza.
No comments:
Post a Comment