Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, June 11, 2010

ALICE AWA MISS DAR INDIAN OCEAN 2010...pamoja na kufanikiwa kufanya shoW nzuri katika hotel ya double tree Hilton,kuna mapungufu yalionekana katika uandaaji wa washiriki ambapo washiriki wengine walichemka kuongea kiingereza mfano No.5 Happywitney alijikuta akiongea bloken english mwanzo mwisho,je kulikuwa hamna lieso yakuwa-tune kuchagua lugha sahihi ya kutumia ambapo wasichana wengi wanadhani Miss tanzania ni kuongea ngeli pekee,mbona mrembo maridhawa Miriam Gerald alishinda kwa kujibu swali kwa lugha ya Taifa.hii imewafanya washiriki wengi kula za ugoko,anywayz ni mtizamo tu msijenge chuki washkaji ! kupatikana kwa miss dar indian na miss sinza ni ni mwanzo wa kuangua kwa umalikia wa lulu Ibrahim miss kinondoni (2009-2010) na kumpa chance kimwana mpya ambae ni unknownmous mpaka sasa.


MR.&MRS charles Bekon walikuepo kupata burudani ya ulimbwende.
WAKATI HUOHUO:miss shinyanga 2010 itafanyika tarehe 19 katika ukumbi wa NSSF mjini shinyanga.jumla ya warembo kumi na mbili wanategemewa kupnda on stage kuchuana for for crown of mss shinyanga 2010



THE DREAT KANUMBA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA NA ROSE NDAUKA JIJINI DAR.
nI moja ya vipande vya movie mpya ya great kanumba inayoitwa (more than  pain) inayotarajiwa kutoka nhivi karibuni,wiki moja kabla nilitembelea katika camp ya uchukuaji wa movie hiyo nilikubali 


SILVIA SHALLY MISS ILALA 2009 ACHANGE MOTION GAFLA
Mrembo silvia jana mishale ya sita usiku wakati wakucheki miss dar indian ocean huko double tree hilton alichange mood gafla nakunza kulopoka ayajuayo baada kuwa akinitumia sms za mchakato mzima wa nani anafanyaje kwenye steji (aliebolonga na kufanya vizuri) kwani nilikua home najiandaa kuamka alfajili kwaajili ya safari ya kwenda Moshi kwaajili ya Miss kilimanjaro june 12.
Ndipo nilipomuuluza silvia ambae ni muangaliaji mzur wa blog ya uniqueentertz..swali likua hivi:IKIWA TUNAELEKEA UKINGONI MWA MASHINDANO YA MISS TZ KATIKA VITOGOJI HASA ILALA NA MCHAKATO WA KAMBI YA MISS ILALA IMEANZA  JE HUONI HUU NDIO WA UMALIKIA WAKO KATIKA MEDANI YA ULIMBWENDE?. .

No comments: