Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, May 5, 2013

NANCY MOSHI NDIYE REDD'S MISS ARUSHA CITY CENTRE 2013


Redd’S Miss Arusha City Centre 2013, Nancy Moshi akipunga mkono mara baada ya kutawazwa mshindi wa Taji hilo katika shindano lililofanyika Usiku wa kuamkia jana jijini Arusha. Nancy aliwashinda warembo wenzake 10 waliokuwa wakiwania nae taji hilo.

Redd’S Miss Arusha City Centre 2013, Nancy Moshi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Glory Steven (kushoto) na mshindi wa tatu Neema Kessy mara baada ya warembo hao kutangazwa kuwa ndio washindi wa shindano hilo lililofanyika usiku wa kuamkia jana jijini Arusha.

Warembo wanaliokuwa wakiwania taji la Redd’s Miss Arusha City Centre 2013 wakicheza show ya ufunguzi wa shindano hilo jijini Arusha usiku wa Kuamkia leo.
 Wadau mbalimbali wa sanaa ya Urembo mjini Arusha wakifuatilia Onesho hilo la Redd's Miss Arusha 2013.
Mwandaaji wa shindano hilo Bi Upendo (kulia) na rafiki yake.
 Warembo walimfanyia tukio la kipekee Mwandaaji wao kwa Keki ya Birthday, na hapa Upendo akizima mishumaa hiyo...
 Warembo wa tano kati ya 11 waliokuwa wanawania taji la Redd’s Miss Arusha City Centre 2013 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutangwaza kufuzu hatua hiyo. Kutoka kushoto ni Minael Anderson, Neema Joel, Nancy Moshi, Neema Kessy na Glory Steven.
Mwana dada Rachel ndiye aliyekuwa msanii kinara wa show hiyo na hapa akicheza na mashabiki wake.

No comments: