Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, December 26, 2011

FLAVIAN MATATA ATOA SHUKURANI

 On behalf of the Flaviana Matata Foundation and Tanzania Mitindo, we would like to take this opportunity to thank Russell Simmons for his kind donation of auction items and cash for our annual charity event, Tanzania Red Ribbon Fashion Gala 2011 which took place on World Aids Day, December 11.The items he donated raised 7,700,000 tanzanian shillings and this year the event raised 56,000,000 tanzanian shillings in its entirety. 
 The fund will be used to establish Tanzania Mitindo House training centre for teenage orphans that will train and empower them economically.

The centre aims to train at least 100 teenage orphans from different orphanages in Dar es salaam each year. The centre will offer courses on life skills, education, fashion designing, tailoring, arts and crafts, hair and make up, computer skills and graphic designing.We believe one can pay back the loan of GOLD but one dies forever in DEBT to those who are KIND to them.

We at Flaviana Matata Foundation and Tanzania Mitindo House appreciate your contribution in succeeding the goal of helping and creating a better life for Tanzanian children.Thank you very much.

SAIDA CARLOLI AWACHENGUA WAHAYA BUKOBA

Msanii Saida Karoli akiwapagawisha mashabiki wake jioni ya leo Uwanjani Kaitaba....
Kundi zima la Msanii wa Nyumbani Saida Karoli wakisindikizwa na Msanii Asecdo .
Kushoto ni Mdau Willy Rutta wa Kiroyera Tours ambao ndio waandaaji wa Onyesho hili
Saida bado yupo hot na kwa sasa anaelewa ni nini kinachotakiwa.
Bukobawadau tunampa pongezi za dhati kwa kuendeleza Ngoma zetu.

CHRISMAS YA SERENA WILLIAMS UFUKWENI

Serena Williams is a boss in the water!


The 30-year-old tennis great spent Christmas day in a white bikini with black lace trimming, while doing some tubing down in Miami Beach, FL.


 ANOLD SCHWARZENEGGER NA MKEWQE PATASHIKA NGUO KUCHANIKA
1223_maria_shriver_arnold_getty_EX1Maria Shriver is telling friends she's now unsure if she wants to divorce Arnold Schwarzenegger ... UNIQUEENTERTZ has learned.
We're told Maria is torn, partly because of her strong religious beliefs that do not include divorce. 
Making matters even more complicated -- we're told Arnold still desperately wants Maria back, and has been "extremely sweet" to her and has made numerous gestures -- which include presents -- to win Maria back.
 Maria filed for divorce on July 1, though she moved out months earlier.  She's already bought a mansion in Brentwood, CA, which she's in the process of renovating.

Sunday, December 25, 2011

HAPPY BIRTHDAY ASIA IDAROUS

 Happy birthday mama wa mitindo Asia Idarous kufikia miaka hiyo, uniqueentertz blog inakupa hongera na tunakuombea maisha marefu.
Mpango mzima wa keki na vinywaji kiaina picha inazungumza wadau.

JAHAZI MOLDEN TAARAB YATIMIZA MIAKA 5 NA KUZINDUA ALBAM YAKE YA MPENZI CHOCOLATE

Hassan Yahya Mwinyi Katibu Mkuu wa kundi la Taarab la Safari Malindi kulia akimpongeza Khamis Koha Mkurugenzi Msaidizi wa kundi la Muziki wa Taarab la Jahazi, baada ya kuzindua rasmi albam yao mpya ijulikanayo kama Mpenzi Chocolate na sherehe za miaka 5 ya kundi hilo zilizofanyika mkesha wa Krismasi usiku wa kuamkia leo, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ikishuhudiwa na mashabiki lukuki wa muziki wa Taarab huku mtandao wako wa FULLSHANGWE ukiwa ni mmoja wa mashuhuda. Uzinduzi huo ulioambatana na Jahazi Molden Taarab kutimiza miaka 5 ilidhaminiwa na kinywaji cha Serengeti Lager kinachozaliswa na kampuni ya bia ya Serengeti (SBL)
Mwanamuziki Mzee Yusuf ambaye pia ni kiongozi wa kundi hilo akiingia ukumbini kwa staili ya aina yake huku akilakiwa na mashabiki wa muziki wa Taarab.
Mmoja wa kundi hilo Aisha Mahamoud akipagawisha mashabiki mbvele ya Camera na mashabiki wake.
Keki Maalum ya miaka 5 ya Jahazi Molden Taarab ikisubiri kuliwa na wapenzi wa bendi hiyo.

Saturday, December 24, 2011

JOXX CORNER: VINEGA V/s CLOUDS HAIJAPATA KUTOKEA HIII






  

MISS UTALII DUNIA KUFANYIKA TENA TANZANIA 2012

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa shindano la kumsaka Miss Utalii wa Dunia mwaka 2006 mara walipomtembelea IKULU (Picha na Maktaba ya Miss Utalii ORG.
Rais Kikwete akiwa na Gideon Chipungahelo (Chips)
Tanzania kwa mara nyingine tena imepewa heshima ya kuwa wenyeji wa fainali za Dunia za Miss Utalii ,ambapo safari hii , Kamati ya Dunia ya Miss Tourism United Nation Organisation, imeipa heshima ya kuwa wenyeji wa shindano la Miss tourism United Nations World 2012.
Kupitia kampuni ya Miss Tourism Tanzania Organization, waandaaji wa mashindano ya Miss Utalii Tanzania, Tanzania imezishinda nchi nyingine nne zilizo kuwa zikiwania fulsa hiyo adimu, nchi hizo ni pamoja na Jamaica, Korea,China,Kenya na Nigeria.
Sambamba na uteuzi huo, kamati hiyo ya Dunia imemteua Gideon E.G.chipungahelo kuwa mkurugenzi wa mashindano hayo barani afrika , na makamu wa rais wa mashindano hayo Duniani .kuanzia Novemba 1,2011.
Mashindano hayo yatashirikisha jumla ya nchi 120, duniani, na kurushwa LIVE katika TV za nchi zaidi 100 duniani kote. Pamoja na washiri hao,waandishi wa habari kutoka nchi zaidi 70 , vipngozi zaidi 120 na wanafamilia zaidi 200 wanatarajiwa kuja nchini sambamba na washiriki wa mashindano hayo. Tuna mshukuru mungu kwa kuweza kushinda nafasi na heshima hii kwa nchi yetu, hasa katika wakati huu ambapo ushindani katika sekta ya utalii na uwekezaji baina ya nchi na hata baina ya mabara ni mkubwa. Tunajisikia ufahari kwa nchi yetu na kuwa sehemu ya kuunga mkono juhudi za serikali katika kutangaza utalii,utamaduni na mianya ya uwekezaji wa Tanzania kitaifa na kimataifa. Shindano hili litatyoa fulsa ya pekee kwa Tanzania ,kutangaza utalii,utamaduni na mianya ya uwekezaji kimataifa na hata kitaifa,pia kuuthibitishia ulimwengu kuwa vivutio vikuu vya utalii Afrika ikiwemo Mlima Kilimanjaro,Ngorongoro Creators na Serengeti vipo Tanzania. Hii ni fulsa pia kwa viwanda na bidhaa za Tanzania kujitangaza kimataifa na kuingia katika masoko ya kimataifa.
Taratibu zote za mikataba za kimataifa zimekamilika,tunatarajia kutangaza rasmi tarehe ya kufanyika kwa shindano hilo nchi, wakati wa fainali za Miss Utalii Vyuo Vikuu 2011/12 – Kanda ya kati, litakalo fanyika Ijumaa , tarehe 30-12-2011 katika ukumbi wa Club la Azziz Dodoma. Shindano hilo linashirikisha zaidi ya warembo 15 kutika vyuo vikuu vilivyopo katika mikoa ya kanda ya kati, ikiwemo mikoa ya Dodoma, Singida na Tabora.
Tayari taratibu za kitaifa zimanza kufanywa ,zikiwemo za kushirikisha wadau na mamlaka mbalimbali wa ndani na nje ya nchi. Hatua zote madhubuti zimechukuliwa na zinaendelea kuchukuliwa kwa kuzingatie uzoefu na mapungufu ya liyo jitokeza katika fainali za Dunia zilizofanyika nchini mwaka 2006,pale Ubungo Plaza 11-3-2006.
Mkataba wa kufanyika kwa fainali hizo za Dunia ,nchini umesainiwa na Rais wa Miss Tourism United Nation Organisation, Ngugu Leon Willians na Rais wa Miss Tourism Tanzania Organisation ,Gideon Chipungahelo tarehe 8-12-2011.

NDOA YA MEL GIBSON NAYO CHALI...VIPANDEVIPANDE

1223_gibson_divorce_ex
Mel Gibson and Robyn Gibson are officially single -- a judge signed the divorce decree moments ago.
The only big change -- Robyn is going back to her maiden name ... so from now on it's Robyn Moore.
As we reported, the couple's been negotiating a financial settlement for over a year ... and we're told, it's finally a done deal. There is no prenup.
The couple's reported net worth is in the $900 million range -- but sources tell us, it's actually less.
Mel was represented by Larry Ginsberg.
Robyn -- who was repped by disso-queen Laura Wasser -- filed for divorce in 2009 following a three-year separation -- shortly after learning Mel's then GF Oksana Grigorieva was pregnant

KIGOGO WA CHADEMA ADAIWA KUNASWA KWA MGANGA WA KIENYEJI

MBUNGE wa viti maalum Katika moja Kati ya mikoa ya nyada za juu kusini kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) jina na mkoa wake vinahifadhiwa, amenaswa akiwa kwa mganga wa kienyeji (Sagoma) akifukizwa dawa pamoja na gari lake majira ya jioni katika eneo la Ilala mjini Iringa.
Reporter wa Mtandao wa www.sufianimafoto, kutoka mkoani Iringa anaripoti kuwa mbunge huyo alionekana akiwa kwa Sangoma huyo baada ya vyanzo vyetu vya habari kubonyeza juu ya tukio hilo .
Japo haikufahamika ni ugonjwa gani mbunge huyo alikuwa akitibiwa ila bado mtandao huu na mashuhuda wa tukio hilo walipata kushuhudua gari la mheshimiwa huyo likizindikwa (kuimarishwa) zaidi kwa dawa na Sangoma .
Baadhi ya mashuhuda wanadai kuwa wabunge mbali mbali wamekuwa wakifika eneo hilo kupata zindiko kutoka kwa Sangoma huyo ambaye amekuwa akipuuzwa na wenyeji wa eneo hilo huku wageni wakihangaika kumtafuta hasa waheshimiwa.

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AWATEMBELEA WANANCHI WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na mmoja kati ya wananchi waliohifadhiwa katika Kambi ya Shule ya Sekondari ya Azania, waliookolewa katika maeneo yaliyojaa maji kutokana na mvua zilizonyesha jijini Dar es Salaam kuanzia majuzi, wakati Makamu alipofika katika Kambi hiyo leo Desemba 23, kwa ajili ya kuwapa pole waathirika hao.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na mmoja kati ya wananchi waliohifadhiwa katika Kambi ya Shule ya Sekondari ya Azania, waliookolewa katika maeneo yaliyojaa maji kutokana na mvua zilizonyesha jijini Dar es Salaam kuanzia majuzi, wakati Makamu alipofika katika Kambi hiyo leo Desemba 23, kwa ajili ya kuwapa pole waathirika hao.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Bi. Monica Luis, Mkazi wa Jangwani aliyeathirika na mafuriko ya Mvua kubwa iliyonyesha jijini kuanzia majuzi, wakati makamu alipotembelea katika Kambi ya Shule ya Sekondari Azania jijini Dar es Salaam leo Desemba 23, kwa ajili ya kuwapa pole waathirika wa mafuriko hayo.

YAYA TOURE NDIYE MWANASOKA BORA WA AFRIKA 2011


KIUNGO wa Ivory Coast Yaya Toure (28) ametawazwa kuwa mwanasoka bora wa Afrika kwa mwaka 2011 kupitia tuzo zilizotolewa na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) na kufanyika katika ukumbi wa Banquet uliopo ndani ya Ikulu ya Ghana.
Toure anayekipiga katika klabu ya Manchester City ya Uingereza alitwaa tuzo hiyo baada ya kupata kura nyingi na kuwapiku nyota wenzake aliotinga nao fainali, Mghana Andre Ayew na Seydou Keita wa Mali .

Thursday, December 22, 2011

AMERICAN IDOL KUMBE NI SHOGA..LAKAMATWA BAADA YA KUSAFIRI NA DUME WAKE

1222_lambert_BN
There's trouble in paradise for American Idol singer Adam Lambert and his boyfriend Sauli Kosklnen!
The "What Do You Want From Me" singer and the Big Brother star were arrested in Finland last night after fighting outside a bar.
According to TMZ, the argument between Adam and Sauli started inside the bar, until they eventually took things outside. Adam reportedly started to get physical when people tried to break up the argument.
Police arrived on the scene and took both Adam and Sauli into custody. A Finnish newspaper reports they were arrested for multiple assaults.
Adam and Sauli were released after being questioned by police.
Sauli took to his blog to address the situation saying, "Publicity is not easy, but also celebrities are just human. Love is not easy either, but it lasts forever!"
We hope everything goes back to normal for Adam and Sauli!

MWANAMITINDO AZINDUA VIGUO VYAKE

 
 

Jersey Shore star JWOWW aka Jenni Farley, announced her new bikini line via Facebook yesterday, several weeks ahead of the new season of her reality MTV show, which is set to make its fifth season premiere on January 5th. 

EXCLUSIVE: MAFURIKO YALIVYOLETA HUZUNI JIJINI DAR

Hii ndio hali halisi kwa wakazi wa eneo la Jangwani leo mara baada ya mvua kubwa kuendelea kunyesha jijini Dar es Salaam leo na kuyafanya makazi ya wakazi wa eneo hili kuwa namna hii kama zinavyoonyesha picha hizi.
Mmoja wa wakazi wa eneo hilo akijaribu kupita kwenye maji hayo ili afike barabari kwa kujiokoa na mafuriko hayo.
Nyumba zote zimezungukwa na maji huku mengine yakiwa yamejaa ndani ya nyumba hizo.
Kwaambaali anaonekana mmoja wa wakazi wa eneo hilo akiwa kapanda juu ya paa la nyumba yake ili kujirusuru na mafuriko hayo ambayo yameenea katika kila kona ya eneo hilo la Jangwani leo.
Mmoja wa wakazi wa eneo la Jangwani Jijini Dar akiwa amekaa juu ya godoro mara baada ya kuokolewa na waokoaji waliofika katika eneo hilo leo.
Yaani ni kama bahari ilikuwa imeamia hapa maana maji yalienea kila kona.
Askari wa kikosi cha kutuliza Ghasia wakijaribu kuwazua watu waliokuwa wakiitumia barabara ya morogoro rodi kutokana na kujaa maji kwa barabara hiyo leo.
Wakazi wa Jangwani wakiwa juu ya mapaa yao wakisubiri kupatiwa msaada.

Askari wa Jeshi la Wananchi wakiwa na mtumbwi wakisaidia kuwaokoa wananchi ambao wamekubwa na Mafuriko hayo katika eneo la Jangwani jijini Dar.
Yaani hali ni mbaya sana kwa wakazi wa eneo hili maana mambo ni kama yanavyoonekana pichani hapa.
Helkopta ya Polisi ikiendelea na doria ya kuona kama kuna yeyote anaehitaji msaada kwa wakati huo.