Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, February 11, 2013

PENZI LA DIAMOND NA PENNIEL LAPAMBA MOTO!

 
Uvumi ulionea kuhusiana na muunganiko wa mapenzi kati ya Diamond Platnum na DTV VJ Penniel  kua ni  wapenzi baada ya kusambaa kwa picha kwenye mitandao ya kijamii inayowaonesha wakiwa pamoja kitandani na kula bata sehemu mbalimbali.
Juzi Diamond alithibitisha rasmi kuwa kwa sasa anajivinjari shuka moja na mdada huy huyo kwa kupost picha ya Penny kwenye mtandao wa Instagram na kuandika:.
 #MaBabyMama #De’MumOfMyBlood #MamaYounDiamond #YounPlatnumz #YoungPrezident…..

Mwenye macho haambiwi tizama,pia penniel amekuwa karibu sana na mama Diamond kwa kipindi hiki ambapo wachambuzi wa mambo ya kichokonozi wanadai ni katika hali ya kuweka mazingira ya kukubalika ukweni.

No comments: