Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, May 21, 2010

WASHIRIKI MISS MWANZA KUANZA MAZOEZI RASMI TAREHE 5 JUNE,WADHAMINI WAJITOKEZA KUDHAMINI

Washiriki wa miss Mwanza wanategemewa kuanza mazoezi ya pamoja ikiwa ni catwalk na kudance chini ya mwalimu wao Rehema Izuiya katika ukumbi wa Yatch club mjini Mwanza Ambapo mtanange utafanyika hapohapo tarehe 18 june 2010 ambapo jumla ya wa jukwaaniashiriki 22 watapanda kuwania taji hilo ambapo washindi watatu wataingioa miss lake zone.MissMwanza inandaaliwa na kampuni ya SISI ENTERTTAINMENT ya jijini DAR.Mkurugenzi wa kampuni hiyo Bwana JOHN dotto aliongea haya na blog hii june 20,kemy model ni moja ya washiriki miss mwanza2010.
**********************************************************************************
WAKATI HUO HUO: WADHAMINI WATATU WAJITOKEZA KUDHAMINI MISS MWANZA.
 Ambapo duka nguo la kisasa la ZAI FASHION litawavalisha na kuwapamba wakati MKAPO ENTERPRISES watengenezaji wa furniture mbalimbali wataoa zawadi kwa mshindi wa kwanza yenye thamani ya ml 2.5. pia sehemu ya kufanyia mazoezi imehamia katika hotel ya NYUMBANI HOTEL iliop[o jijini Mwanza,Ambapo REDDS na VODACOM walishajitangaza muda mrefu kuwa nasi

No comments: