Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Saturday, July 21, 2012

SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI ANNE MAKINDA ATOA POLE KWA RAIS WA ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, aliyeongozana na Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Jamhuri, walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais, kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Segull iliyozana juzi wakati Ikitokea Dar es Salam, kuelekea  Zanzibar. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Mambo ya Nje,Ulinzi na Usalama, Cynthia Hilda Ngoya, akiwa katika  ujumbe wa Wabunge  walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Margareth Sitta, ambaye pia ni mmoja kati ya Wajumbe wa bunge la Jamhuri waliofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais.

No comments: