Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, December 3, 2012

BERENIKI KIMARO NDIYE MSHINDI WA MAISHA PLUS 2012

Na Mshindi wa Maisha Plus 2012 ni BERENIKI KIMIRO, amejishidia Tshs. Millioni 20, -- Mshindi wa Pili ni Venance Mushi amejishindia Tshs. Million 6…. Mshindi wa Tatu ni Justine Bayo, amejishindia Tshs. Million 4.
Mshindi wa Maisha Plus 2012, BERENIKI KIMIRO ameanza kwa Kumshukuru Mungu kwa ushindi, asema ye si kitu kwa wenzake, hilo ni zali tu.. Amemshukuru baba yake mzazi kwa kumshauri kusali.. Amewashukuru pia wapenzi watazamaji kwa kumpiga kura, ameahidi kuendeleza kile alichokianza kijijini na kuitendea haki nchi yake.. Amemshukuru babu, Brother Masoud na Crew nzima ya Maisha Plus.. Amemshukuru pia mwanae Kelvin (6yrs) kwa kuvumilia kipindi chote bila kuongea na mama.. Amesema Mungu amejibu maombi yake kwani ukipiga goti, maombi yako yatajibiwa..

No comments: