Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, October 25, 2011

MARTHA KAMANYOLA NA MCHUMBA WAKE MAPENZI HADHARANI

  Mshiriki wa shindano la kumsaka Mrembo wa chuo kikuu cha Kampala University Martha Kamanyola amemweka hadharani mpenzi wake aitwae Hurrein.
  Martha amechukua nafasi hii kumtangaza king'asti wake huyo baada ya kuanza kupata usumbufu mkubwa toka kwa vidume wakwale wanaomwinda kimapenzi  mrembo huyo kwa udi na uvumba.
  "uhusiano wa kimapenzi na Boy wangu ni wa muda mrefu hivyo nampenda sana,wanaume wananaonisumbua waniache nisome ndiyo maana nikaamua kumweka wazi ili watu wasinisumbue".aliitonya blog hii kwa njia ya simu.
  Mrembo huyo mwenye mvuto wa aina yake amekuwa akinyatiwa sana na vidume hasa hasa baada ya kushika nafasi ya pili katika shindano hilo vidume kadhaa wamejiapiza kumnasa binti huyo bashasha la hali ya juu.


BREAKING NEWS: WATU ZAIDI YA 40 WAHOFIWA KUFA KATIKA AJALI YA BASI LA DELUX
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhV8zv_gQi2Q5zN5enbXRZA-OmRXDZeLzW-ACrOO6Hwv05d_FINAcpFZ_bAwnNo1yijAA3ZKx-VqsdKZNMZLbzRaScgGtcKla_G7TX4aZy4kKn4y_CIFAYfbVpJU13EpCbyaYZVOYGDyiiW/s1600/shabibiby.jpg
Watu zaidi ya 40 wamekisiwa kupoteza maisha katika ajali ilyotokea leo barabara ya Morogoro ikiwa basi hilo linalofanya safari zake Dar-Dodoma lilipopata ajali maeneo ya kongowe mkoani Pwani...Habari zaidi stay tuned.


JESSICA SIMPSON ADUNGWA MIMBA

Jessica Simpson is very, very pregnant! The 31-year-old Dukes Of Hazzard actress has been dodging pregnancy rumors for a couple of weeks ― until now. 

Msemaji mmoja wa baraza la kitaifa la mpito (NTC) ameiambia BBC kuwa miili ya watu hao watatu imezikwa baada ya utata kuhusu pale watakapo zikwa.

mwili wa kanali Gaddafi
Gaddafi amezikwa


Jamaa wa kabila la Kanali Gaddafi waliomba wapewe mwili wa kiongozi huyo ili wauzike mjini Sirte, alipozaliwa lakini inasemekana kuwa viongozi wa baraza la kitaifa la mpito walipinga ombi hilo.
Taarifa zingine zinamnukuu msemaji wa NTC Ibrahim Beitalmal akisema jamaa wachache wa familia ya Gaddafi walishiriki katika mazishi hayo na dua zilisomwa kulingana na utaratibu wa Kiislamu.
Baadhi ya watu mjini Misrata wanasema miili ya watu hao watatu iliondolewa usiku kutoka sehemu ilipohifadhiwa katika harakati za kupanga mazishi hayo.
Raia wa Libya wamekuwa wakitembelea eneo hilo la Misrata kujionea mwili wa kiongozi huyo ili kuthibitisha ukweli kuwa ameuawa.
Viongozi wa NTC walikuwa wanahofia kuwa huenda Kanali Gaddafi akizikwa katika sehemu iliyowazi, kaburi lake huenda likabadilishwa kuwa pahali patakatifu na wafuasi wake.
Pamoja na hilo mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekuwa yakishinikiza uchunguzi ufanyike kubainisha jinsi alivyouawa kanali Gaddafi, kwani picha za awali zilionyesha kuwa alikamatwa akiwa hai.
Kiongozi wa NTC Mustafa Abdul Jalil, ametangaza kuwa uchunguzi utafanyika kuhusu hilo. Hata hivyo, kuna wale wanaohoji ikiwa kweli uchunguzi huo utakuwa wa wazi ikiwa mashirika ya kujitegemea hayata husishwa.


Wiz Khalifa and Amber Rose
Wiz Khalifa and Amber Rose
Wiz Khalifa and Amber Rose
 Wapenzi wakiponda raha katika visiwa vya Hawaii ijumaa iliyopita.
Wiz Khalifa and Amber Rose

No comments: