Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, September 15, 2013

PRISCA CLEMENT ATWAA TAJI LA VIPAJI MISS TANZANIA 2013

Mrembo Prsica Clement, kutoka Kitongoji cha Sinza (katikati) akipunga mkono kwa furaha baada ya kutangazwa mshindi wa shindano la Redd's Miss Talent kwa mwaka 2013, na kufanikiwa kupata tiketi ya kuingia hatua ya 15 bora ya shindano la Redd's miss Tz mwaka huu.
Washiriki wa shindano la kumtafuta mshiriki wa kuingia katika hatua ya 15 bora ya Shindano la Redd's Miss Tanzania kwenye shindano la Redd's miss tz Talent 2013 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutangazwa washindi wa hatua ya tano bora.

 Mrembo Prisca Clement ambaye ni mwakilishi kutoka Sinza na Kanda ya Kinondoni usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji hilo dogo.
Shimdano hilo lilifanyika katika Hoteli ya Giraffe Ocean View ambako ndiko Kambi ya Warembo hao ilipo.
 Prisca akipita jukwaani mara baada y.a kutajwa kuwa ndio mshindi
 Prisca Clement (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wenzake aliyeshika nafasi ya pili Joyce Shayo (kushoto) na Lucy Tomeka aliyeshika nafasi ya tatu.
 Mambo yalikuwa hivyo kwa baadhi ya washiriki
 Lucy Tomeka akifanya vitu vyake
 Huyu ni kama Lil Bow Wow!!
 Huyu ni balaaaa
 Hapa jee
 Weeeeee
 Prisca alikula moto kama hana akili nzuri na kuibuka mshindi
 hii we acha tu...
 Huyu alitoka hivi...na twist kali aliicheza

No comments: