Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, June 6, 2010

GENEVIA EMMANUEL ATWAA TAJI LA MISS CHANG"OMBE 2010,Ambapo mtanange huo ulifanyika siku ya ijumaa 4june ambapo Upendo Urasa(kulia)alipiku nafasi ya pili wakati Anna Daudi akitoka kifua mbele kwa nafasi ya tatu.

***********************************************************************************
YUSUPHU CHUCHU AFARIKI DUNIA AKIWA MATIBABUNI NAIROBI
   Marehemu yusphu chuchu ni moja ya watu niliishi nao vizuri enzi za uhai wake ambapo alipofungua Radio ya CHUCHU FM aliniita niwe mtangazaji wa kwanza katika kipinda cha UPTOWN FLAVA,mimi ni moja ya mafounder wa radio yake .tutamkumbuka milele Bwan chuchu.AMINA.

*********************************************************************************
              ZAHRA SULEIMAN MISS ARUSHA CITY CENTER 2010,Ambapo nafasi ya pili ilienda kwa Glady Mollel(kulia) na watatu ni Berther Denis(kushoto).
*************************************************************************************
                     MISS DAR INDIAN OCEAN 2010 JUNE 10 .Kupitia kitongojio hiki wamewahi kutoka mamiss mahili nkama NANCY SUMARI,RICHA ADHIA na WEMA SEPETU n.k.pichani hapo juu ni nancy sumari akiwa na irene kiwia ambao ni waandaaji wa Dar indian ocean nkupitia kampuni ya front line management.
*********************************************************************************
                  AMISUU MALIK ATWAA TAJI LA MISS SINZA 2010, Ambbapo mtanange na swaga la kufa lenye warembo wanono ka kutizama,Calorine Ndembo alikuwa wa pili wakati  Salma Ally akinyakua nafasi ya tatu ndani ya vatcan sinza.

No comments: