Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, June 13, 2010

PRISCA NKONYI AWA MISS KILIMANJARO 2010



TUKIO LA MISS LINDI 2010

Shindano la kumsaka mlimbwende wa mkoa wa Lindi lililofanyika tarehe 29 may 2010 katika hotel ya Lindi Oceanic mjini Lindi.
Mshindi alikuwa Mary Adam ambapo nafasi ya pili ilenda kwa Safiana Hilary na nafasi ya tatu ilitwaliwa na Salma Omary.
Mgeni rasmi alikuwa mkuu wa wilaya ya Lindi mh.Magalula.S.Magalula.shindano liliandaliwa na kampuni ya alliance entertainment.




MISS SOUTH AFRCA 2010  YAANZA MCHAKATO WA KUSAKA WAREMBO WA KURITHI NICOLE FLINT WA MWAKA JANA.       

    
AZIZA  ALLY  KUVISHWA TAJI LA MISS PWANI 2010
        Aziza  Ally ndie bint pekee aliebahatika kutwaa taji la miss  pwani 2010 akifatiwa na shamu  Ally(kulia)   na wa  tatu alikuwa Magreth Akonai mtanange uliopigwa  katika ukumbi wa  kibaha  contena    mkoani pwani siku ya june 12.
  Ka ma univyoona swala la mvuto   liliku si jambo la kuuliza kila mrembo alijipanga  kimavazi na mapodozi .ama kweli miss tanzania ya mwaka  huu si mchezo.asie na mvutasubili kuangalia  mabinti wa kitanania .
WAKATI HUOHUO:     MISS  LAKE ZO NE , INTEGEMEWA KUFANYIKA  JUNE 7
 JIJINI MWANZA

Kwa staili hii THE GREAT atauwa   mtu...haya bwana ..ujue na wewe   martine  ...umo...umo lakini  ngumi unaziweza kaka.....     !! .
 

No comments: