Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, May 10, 2013

YALIOJILI MISS SHINYANGA 3013

Katikati ni Redds Miss Shinyanga 2012/2013 Maiya Mohamed, akiwa katika furaha mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi katika  shindano la kumsaka mrembo wa mkoa wa Shinyanga lililofanyika Usiku wa kuamkia Jumapili katika uwanja wa Halmashauri mjini Kahama. Kulia kwake ni Mshindi wa Pili Sylvia Joseph na kushoto kwake ni Mshindi wa tatu Happyness Joseph.
Huyu ndiye Maiya Mohamed, Redds Miss Shinyanga 2012/2013
Kutoka kushoto ni Happyness Boniface akishika nafasi ya tatu, katika ni mshindi wa kwanza Maiya Mohamed na kulia ni Sylvia Joseph mara baada ya kutangazwa kuwa washindi wa Miss Shinyanga 2012/13
Redds Miss Shinyanga 2012/13 Maiya Mohamed akivishwa taji mara baada ya kuatngwazwa kuwa mshindi
Malkia wa mipashoTanzania Bi. Khadija Kopa akiwa jukwaani
Khadija Kopa, akiwajibika jukwaani katika shindano la Miss Shinyanga 2012/13 katika uwanja wa Halmashauri mjini Kahama
Robert kutoka TBL, mdhamini mkuu wa Miss Shinyanga 2012/13 akitoa neno la shukrani
Majaji wakikagua matokeo kabla ya kutangazwa mshindi
Mrembo Maiya Mohamed akiulizwa swali na MC wa shughuli Masanja Mkandamizaji kutoka kundi la Orijino Komedi
DJ Rammy akisababisha vilivyo
Mrembo Happyness Boniface katika vazi la Usiku la kutokea
Mrembo Sylvia Joseph katika pozz, vazi la Usiku
Mrembo Diana Dickson katika Pozz, vazi la Usiku
Tano bora ya Miss Shinyanga 2012/13
Mrembo Maiya Mohammed katika Pozz, vazi la Usiku
Chegge na Temba walisababisha vilivyo
Pendo na Happy ni warembo kutoka wilaya ya Nyamagana Mwanza, nao walikuwepo kushuhudia shindano la Miss Shinyanga 2012/13
Kumi Bora ya Miss Shinyanga 2012/13
MC wa shughuli ni Masanja Mkandamizaji wa Orijino Komedi
Warembo wakipita na vazi Ufukweni
Vazi la Ufukweni
Washiriki wa Miss Shinyanga 2012/13 katika vazi la Usiku
Asela Magaka muandaaji wa Miss Shinyanga 2012/2013, akiwa pamoja na Malkia wa mipasho Tanzania Bi. Khadija Kopa
Hawa ni washindi wa Mkoa wa Mara, nao walikuwepo kushuhudia shindano hilo

No comments: