Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, September 30, 2011

JINAMIZI LA AJALI LAISAKAMA MKOA WA MBEYA

Hali ni tata kwa upande wa udhibiti ajali mkoani Mbeya.

AJALI sasa ni shetani aliyeukumbatia mkoa wa Mbeya, baada ya siku chache kupita tangu watu 14 wapoteza maisha kwa ajali ya Fuso la mnadani, watu wengine tisa wamekufa na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali nyingine. Watu hao wamepoteza maisha katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace namba T 219 ASQ na gari aina ya Prado namba T 155 ACQ yaliyogongana uso kwa uso katika barabara ya Mbeya - Tunduma. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Gabriel Kimolo amesema leo kuwa, ajali hiyo ilitokea jana saa 1.30 usiku katika Kijiji cha Chimbuya, Mbozi mkoani Mbeya. Kimolo amesema, dereva aliyekuwa akiendesha basi hilo, alishindwa kulimudu kutokana na mwendo wa kasi na kuyumba kutoka upande wake hadi upande wa pili na kugongana na gari hilo lililokuwa likienda Tunduma kutoka Mbeya.


KAPINGAZ DADAZ!! NDANI YA MSASANI BEACH CLUB

Wadada wa KAPINGAZ Blog ndani ya sherehe ya kumpongeza Dada Rehema kwa kufanya maamuzi mazuri ya kuolewa. Sherehe hiyo ilifanyika leo usiku katika ukumbi wa Msasani Beach Club.
Mmependezaa!!


MISS UTALII 2011/2010 KUPAMBWA NA VIONGOZI
Waheshimiwa wabunge wote wa Majimbo ya mkoa wa Dodoma, wakuu wa Wilaya zote na mkuu wa mkoa wa Dodoma, ni miongoni mwa wageni mashuhuri walio alikwa kuhudhuria shindano la kumpata mrembo wa utalii wa mkoa wa Dodoma 22-10-2011. Shindano hilo limepangwa kufanyika katika ukumbi wa hoteli ya kitalii ya New Dodoma hoteli, na kushirikisha jumla ya warembo kumi na tano toka wilaya zote za mkoa wa Dodoma, ambao hivi sasa wana endelea na kambi ya mazoezi katika Hoteli hiyo ya New Dodoma Hotel chini ya mkufunzi wao Neema Isdory (Miss Utalii Njombe 2010/2011) na Tabia Msuta (Miss Utalii Vyuo Vikuu Kanda ya Kati 2010/2011.

Mikoa na kanda karibu zote nchini wapo katika maandalizi ya fainali za mikoa na kanda zao, ikiwemo mikoa ya na tarehe za mashindano yao katika mabano Mara (7-10-2011),Shinyanga (29-10-2011), Njombe ( 26-11-2011), Iringa (28-10-2011),Kanda ya Kusini ( 2-12-2011),Kanda ya Kaskazini ( 3-12-2011),Dodoma ( 22-10-2011),Vyuo Vikuu Kanda ya Kati (8-12-2011),Kanda ya Magharibi (11-12-2011),,Kanda ya Mashariki (4-2-2012),Dar Es Salaam (28-1-2012), Kinondoni (9-12-2011),Temeke (31-12-2012),Ilala (24-12-2011),Pwani (25-12-2011), Kanda ya Ziwa (26-11-2011), Vyuo Vikuu Kanda ya Magharibi (21-1-2012),Morogoro (24-12-2011),Tabora (29-10-2011), aidha kalenda na tarehe kwa fainali za mikoa yote na kanda zote itatangazwa rasmi 5-10-2011 katika mkutano na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya kitaifa na kimataifa jijini Dar es Salaam.
Fainali za mwaka huu katika ngazi zote zinalenga, kuhamasisha na kutilia mkazo zaidi katika kuhamasisha Utamaduni, Utalii wa Ndani, Utalii wa Kitamaduni, Uzalendo kwa taifa na utumiaji wa Bidhaa za Tanzania, vita dhidi ya uharibifu wa Mazingira, Uvuvi haramu, Uwindaji Haramu ,.Mila Kongwe, Mila  Potofu, na vita dhidi ya Ujinga, Umasikini na Maradhi kupitia Utalii.
Wadhamini waliojitokeza ni pamoja na Asante Water, Kifimbo Radio, New Dodoma Hotel, Ngoto Funiture, Royal Vilage, Clouds Fm Radio, TANAPA, Ngorongoro Creater, VETA Hotel, Side Way Lodge, Shabibi Buss Service, Moronga By Makai Enterprises, Tanzania Daima & Sayari News Paper, Image Masters, Papaa Msofe, Zizzuu Fasheni, Dar City College, Kumekucha Action Mart, Viovena & Co LTD, pamoja na Waheshimiwa Wabunge wa Dodoma. 
Taarifa hii Imetolewa na Charles Gabriel Mkurugenzi wa Miss Utalii Mkoa wa Dodoma na Kuthibitishwa na Gideon Chipungahelo Rais Miss Utalii Tanzania



LAY IT ON ME YA KELLY ROWLAND SASA IKO KIDEONI
Although Kelly Rowland’s ‘Motivation’ video was almost too hot for TV, she’s definitely serving up more sexy in her latest video for her second single, ‘Lay It On Me’.   The video isn’t ready to premiere just yet, but in the meantime Kelly gives a quick behind the scenes peek at the visual that includes lots of boys with hot bodies and of course, Big Sean.

Thursday, September 29, 2011

MBUNGE WA CCM TUMBO JOTO

  Wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema kuwa mbunge wa mtera(ccm) Mh. Livingsote Lusinde atakuwa na wakati mgumu kutekeleza ahadi yake ya kunywa sumu endapo CCM itashindwa katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Igunga.
   Lusinde ambaye anambipu mungu kwa kutoa ahadi ya kunywa sumu akiwa na maana ya kujiua endapo CCM itashindwa uchaguzi huo unaofanyika jumapili hii.Ahadi hii aliitoa wakati anamnadi Peter Kafumu(mgombea ubunge jimbo la Igunga) kijiji cha Ugaka kata ya Nkinga.
   Mbunge huyo mfia chama amefanya watu wasubiri matokeo kwa hamu ili tuone kama kweli atakunywa sumu ama laa,angali hali ya nani atashinda ishaanza kujitokeza waiwazi.
   Wadodosaji wa habari za kichokonozi wanasema Lusinde amekata tamaa kwani kitendo cha kudiliki kunywa sumu ni hali ya kushindwa kuhimili kitu,mwanajeshi anafia vitani mwanajeshi ajiui,Lusinde vipi mbona unatuangusha....?.
   Kama mbunge utajiua kwa matokeo mabovu je wananchi wa jimboni kwako wanaolala na njaa wanyweshe familia zao sumu kwa kushindwa kumudu milo mitatu na mahitaji ya kila siku?...Hatuombi CCM kushindwa ila kama itashindwa tafadhali Mh.Lusinde tuite na waandishi wa habari tupate picha unapokunywa kikombe cha kwanza...cha pili...cha tatu.... mpaka unapokata roho...utakuwa umekufa kishujaa kwa kutekeleza ahadi yako mwenyewe.....aaaah Lusindeee..


MASHINDANO YA HELKOPTA IUGUNGA

Helikopta iliyokodishwa na CHADEMA                   Helikopta iliyokodishwa na CCM   helkopta iliyokodishwa na CUF.
 
          
MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA
      Halisi ya upatikanaji maji ni mgumu katika kata ya Kibirizi Bukoba vijijini ambapo wakazi takribani 6325 wanakabiliwa na uhaba wa maji katika kata nzima hawana kisima hata kimoja,Upatikanaji wa maji ni mpaka kipindi cha mvua,ambapo huchmbwa madimbwi katika miteremko ili yatunze maji,maji hayo ndio hutumika kwa matumizi ya nyumbani na mifugo.

     Katika kipindi cha Kiangazi wananchi wa maeneo hayo hulazimika kutembea urefu wa Km 16-32 katika eneo la Lake Ikimba au Rugaze Izimbya au katika Runch iliyoko Kibirizi...Hivi huku mbunge yupo kweli au anahudhuria tu vikao bungeni?

Wednesday, September 28, 2011

NAGRIS MOHAMED APATA DUME..NI BAADA YA KUSWAMPA NA ZALI LA MENTALI


Nargis Mohamed Jiwa (kushoto), akilishana keki kwa staili DENDA na mume wake mpendwa Idd Issa Suleiman Romore, katika Ukumbi wa Stallion Kawe Over kado jijini Dar es Salaam.Hapa Nargis na mumewe wakinyweshana 'Shampeni' ikiwa kama ishara ya ufunguzi wa vinywaji ukumbini hapo.
 Nargis na mmewe wakiteta jambo na mmoja wa wanakamati wa sherehe hiyo.... akimsaidia 'kusevu' chakula mumewe.Msanii wa Filamu Bongo Sintah (kulia), akiwa kwenye pozi na maharusi hao, anaemfuatia ni Mboni Masimba na rafiki yao wa kwanza kushoto.Mmoja wa watoto waliokuwa wakimwaga maua katika sherehe hiyo akiwa katika pozi na mama yake muda wa msosi.Mambo ya msosi yalikuwa hivi mahari hapo. prakata Katumba!!!..tumbaa..tumbaaHakunaga zaidi yako mi..na weee...hakunagaaa..    Cheers...     ukutiiii..ukutiii..ndiaba nawe..Maharusi wakiwa katika pozi na watoto waliokuwa wakimwaga maua Wakati maharusi hao wakiingia ukumbini.Sintah, Mboni na rafiki yao katika pozi.Sintah, akiwa katika pozi na Jacqueline Patrick.Sintah umefia wapi shostitoo...Salma Msangi (wa pili kulia), akitoka kupakuwa msosi.Jack nae hakuwa nyuma kujiandalia msosi mahari hapo.Watu walipozi kwa utulivu kama inavyoonekana.
 Mdoa ya kihistoria ya Miss Tanzania namba tatu 2003/04, Nargis Mohamed Jiwa aliyofunga na mfanyakazi wa benki moja maarufu jijini Dar es Salaam, Idd Issa Suleiman Romore, imevunja rekodi kufuatia mambo makubwa yalijitokeza katika shughuli hiyo.
Sherehe hiyo iliyoshuhudiwa na  hatua kwa hatua ilichukua nafasi mwishoni mwa wiki iliyopita Septemba 24, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa The Stallion uliopo Kawe, Dar es Salaam ambapo ilihudhuriwa na waalikwa.
 Nargis aliyeuza nyago kwenye Filamu ya Yellow Banana alionekana kuchangamka kupita maelezo na ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuonekana ‘beneti’ na mumewe huyo.
Baadhi ya mastaa hao ni pamoja na muigizaji Christina Manongi ‘Sintah’ modo Jacqueline Patrick, watangazaji Salima Msangi, Sakina Lyoka na Miss Mbeya wa miaka ya nyuma, Mboni Masimba.


PAKA ASURUBIWA MSALABANI
 
Vitendo hivi vya kikatili kwa wanyama vimekuwa vikiendelea mara kwa mara hasa katika maeneo ambayo yana mrundikano wa makazi ya watu, na hata vingine vikionyeshwa kwenye luninga zetu lakini wahusika wa haki za wanyama wakivitazama tu vikiendelea bila kuvikemea wala kuwachukulia hatua wale wote wanaoshiriki kufanya vitendo hivi. Kwa mataifa ya wenzetu ni lazima upate hukumu ya kifungo kwa kufanya vitendo hivi.


DUNIA IMEKWISHA MOKOZI UJE SASA..!!

When the news broke earlier today that L-Word actress Leisha Hailey was kicked off a Southwest Airlines flight for kissing her partner, we were a bit taken aback.
What’s wrong with a little PDA between two people that are sharing a loving moment?

Tuesday, September 27, 2011

NEW SONG : MAGESE FEAT SARAH "KIDOGO"


  Wadau its been long tym niliacha gemu la muziki,now am back on ma spot for leisure(naimba sababu naweza si kutafuta chochote) na kuleta ujumbe unaogusa maisha halisi ya mtanzania.
  "KIDOGO" ndiyo jina la wimbo niliomshirikisha Sarah yule mzungu alieimba na Akili the Brain/big jahman,its all about politics and changamoto kwa uongozi,mafisadi na hali halisi maisha ya watanzania na uchumi unakoelekea.
  Kabla ya trak hii niliwahi kurekodi na mastaa kadhaa miaka ya nyuma 2002-2006 niliacha gemu kwaajili ya masomo.STAY TUNED ngoma kibao kama mvua zinakuja.


RIHANNA KIDEONI TENA

Rihanna showed us a little nipple yesterday, and now she let us see her ass on the set of "We Found Love."
We absolutely love how free Rihanna is with her lady lumps and woman parts!



MATUMLA NA FRANSIS MIYAYUSHO WATUNISHIANA MISHULI

 Bondia Fransic Miyayusho (kushoto) naMbwana Matumla kulia wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa ubingwa wa Mabara (UBO) Dar es Salaam , utakaofanyika mwishoni mwa mezi ujao katikati ni mratibu, Mohamed Bawazir.


DROGBA NA MTOKO WA AINA YAKE
New look: Didier Drogba wore a pair of lederhosen at the Oktoberfest in Munich
Something in common: Drogba and former goalkeeper, Lehmann spent time together in the Hippodrome tent

Nice shoes: Drogba went all out with his costume and wore brown shoes with white ankle socks on show
You wouldn't get away with those on the pitch! Chelsea star Didier Drogba sports lederhosen at Oktoberfest.


TALAKA ZAENDELEA KUTOKA KWA MASTAA

What is going on in the Sanders household?
Last week news outlets reported that NFL Hall of famer Deion Sanders served his wife Pilar Sanders divorce papers because of her career aspirations of modeling and acting. Pilar has most recently appeared on VH1 ‘Football Wives’ as well as a recurring role as the mayor’s wife in VH1′s Single Ladies.

Monday, September 26, 2011

PEPO LA AJALI LAENDELEA KUITAFUNA MBEYA

     JINAMIZI la ajali za barabarani zimeendelea kumaliza watu Mkoani Mbeya,baada ya watu 14 wafariki dunia na wengine 41 kujeruhiwa vibaya baada ya gari aina ya Mitsubish Fuso waliyokuwa wakisafiria kutoka mnadani wilayani Chunya mkoani hapa kupinduka.
  Imeripotiwa kuwa Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Anacret Malindisa, alisema tukio hilo la ajali lilitokea Septemba 24 mwaka huu majira ya 9;30 alasiri katika eneo la kijiji cha Msangamwelu wilaya ya Mbeya vijijini barabara ya Chunya
-Mbeya.

Malindisa alisema majeruhi 37 wamelazwa katika Hospitali ya Teule ya Ifisi wakati majeruhi wengine wanne wamehifadhiwa katika hospitali ya Mwambani iliyopo mji wa Mkwajuni wilayani Chunya. Kwaupande wa waliofia hospitali teule ya Ifisi, Muuguzi Mkuu wa hospitali hiyo, Rhoda Kasongwa, aliwataja waliokufa kuwa ni Emilia Mwangove (40), mkazi wa Mbalizi.


JUSTIN BIEBER NA SELENA GOMEZ MAPENZI MOTOMOTO
0925_Justin_beiber_selena_gomez_dinnerdate
IT  has learned just how Justin Bieber surprised GF Selena Gomez with an intimate dinner and a movie for 2 at the otherwise empty Staples Center in downtown Los Angeles.

We broke the story ... Justin and Selena attended a Demi Lovato concert Friday night at the nearby Nokia Theater.  After the show, just after 11 PM, Justin instructed Selena, "Follow me," and then took her through the underground tunnel that connects Nokia to Staples.



MTOTO WA SIRI WA J-ZEE ANGUNDLIKA AKIWA NA MIAKA 9
Wiki chache baada ya mke wa Rapper Jay-Z,Beyonce kudai ana ujauzito,Imefunguliwa kuwa Rapper Jay Z ana mtoto wa siri wa miaka 9 aitwaye Jerald Andrews,akidaiwa kuzaa na Schenelle Scott,model toka Trinidad.
Hii ndiyo taswira halisi ya mama,baba na mwana,jigga hana jinsi kwani dogo ni jigga mtupu mwanzo mwisho...kazi iko kwa beyonce kukubaliana na matokeo haya kwani alizani mtoto wa kwanza wa J-Zee angetoka tumboni mwake.. DOZEE..DOZEEE..


                     PICHA ZETU
    Welcome to Giraffe Ocean View Hotel - Dar es salaam(the place to be in Tz).
      Waandishi nguli wa habari jijini Dar.
       Producer Samwel akifanya mambo yake.
           Mrembo Lilian.
           Wadau na swagga zao.
  Ajali ya magari mawiliiliyotokea maeneo ya ITV jijjini Dar ambnapo yalikwaruzana siunajua rangi nazo zimepanda lazima ukomalie fidia.
              Up commming model.
Ulevii...Nomaaaa... bidhaa njee..njee!,Vaileth wa ukweli akiwa chekoni angali yuko tilalila..!