Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, October 12, 2012

MISS TANZANIA WATEMBELEA SNAKE PARK

 Mrembo wa Kilimanjaro, Anande Raphael (kushoto) akipozi na Mrembo wa Lindi, Irine Veda huku wakiwa na nyoka.
 Mrembo Diana Hussein nae aliweka mapozi yake na nyoka
 Warembo wakimwangalia Catherine Masumbigana aliyemzungusha nyoka shingoni
 Hapa ni Mrembo wa Kitongoji cha Ukonga jijini Dar es Salaam, Mary Chizi akila pozi.
 Jesca Haule mrembo kutoka Kitongoji cha Chang'ombe jijini Dar es Salaam nae alionesha ujasiri wake wa kumvaa nyoka.
 Wapo walio ogopa kama Miss Photogenic 2012, Lucy Stephano
 Mrembo wa Mbeya Caren Elias nae aliogopa sana. Kulia ni Noela Michael kutoka Tabata nae akiogopa hata nyoka hajamshika.
 Lightness Michael nae aliweka pozi na Nyoka
 Fina Revocatus kutoka Chuo cha Usimamizi wa Fedha akipozi na wenzake.
 Warembo wakiwa katika eneo la Historia ya Jamii ya wamaasai ambayo nayo ipo Meserani mjini Arusha.

No comments: