Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, September 9, 2013

PICHA ZA MWANAMKE ALIEUWAWA KIKATILI

Mrembo Yusta Mkali, mkazi wa Kawe, Dar ambaye alikuwa mke wa mtu anadaiwa kuuawa kwa kutobolewa koromeo na mumewe, Musa Senkando na kusababisha simulizi ya kutoa machozi kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Polisi wa kituo cha Kawe wakiukagua mwili wa marehemu Yusta.
Mtuhumiwa wa mauaji, Musa Senkando.
Mwili wa marehemu Yusta ukipelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala.
Marehemu Yusta Mkali enzi za uhai wake.


Wakazi wa Kawe wakiwa na simanzi wakati mwili wa marehemu ukipelekwa hospitali.

“Huu ni unyama wa ajabu sana. Haya mapenzi ni ya kuyatazama sana. Ona sasa mwanaume amemuua mkewe. Inauma sana,” alisema mama Jack ambaye ni jirani wa familia hiyo.
Mtoto wa marehemu aitwaye Baraka Simon akiaga mwili wa mama yake kwa simanzi jana.
Ilikuwa ni simanzi na majonzi wakati wa kuaga mwili wa marehemu Yusta, jana katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar kabla ya kuusafirisha kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi

No comments: