Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, August 30, 2011

BREAKING NEWS: MAUGO ATANGAZA KIFO CHA CHEKA


   Bondia Adam Maugo amejitapa kumtoa roho bondia mwenzake Fransis Cheka ulingoni Idd pili y a kesho kutwa.
     Maogo amekuwa akijitapa mara kadhaa kwenye vyombo vya habari kuwa haendi kupigana bali anaenda kumuua Cheka ulingoni.
         Mbali na hivyo Maugo ambe ni mwanajeshi mstaafu amepewa ma MP toka JWTZ  ambao watampa ulinzi siku hiyo ambayo atamfirigisa cheka ulingoni.


MISS LINDI AWA VODACOM MISS SPORTS LADY 2011 
Vodacom Miss Sports Lady, Loveness Flavian akipongezwa na warembo wenzake wa Vodacom Miss Tanzania waliofanikiwa kuingia tano bora ya kuwania taji hilo la michezo baada ya mwenzao huyo kutajwa kuwa ndiye mshindi na anakuwa mtrembo  wa tatu kuingia katika hatua ya Nusu fainali
Vodacom Miss Top Model, Mwajabu Juma (katikati) ambaye alikuwa mrembo wa kwanza kuingia hatua ya Nusu Fainali ya Vodacom Miss Tanzania 2011.


NDOA YA BEENIE MAN NA D'ANGEL'S VIPANDEVIPANDE
beenie_man_divorce_split_d_angel_marriage_photos.jpgWell-renowned Dancehall power couple, Moses "Beenie Man" Davis and Michelle "D'Angel" Downer seem to be heading their separate ways after Beenie revealed on TVJ's Entertainment Report this past weekend that divorce papers have indeed been sent out and that the two are separating.
The couple's marriage has endured various trials and tribulations and endless speculation regarding possible infidelity by both parties amongst other rumors. Beenie and D'Angel previously separated in 2007 but reconciled shortly thereafter and all seemed normal within the Davis household. However, the "King of the Dancehall" now insists that their most recent break-up could be permanent. "Yeah, divorce papers send, mi nuh kno if it sign.” Additionally, he claimed that D'Angel told him to disappear from her life and intimated that the two haven't spoken within the last two weeks. "Divorce a divorce man, that how it goes man, you move on. In life, you have to adapt and adjust, when yuh adjust in life, yuh haffi jus move on, yuh a big man," he intimated.


 
BOBY WINE AFUNGA NDOA

 Msanii Robert Kyagulanyi a.k.a Bobi Wine kwa sasa ni husband halali wa Barbara Itungo, ndoa yao ilifungwa weekend hii ilyopita nchini uganda. 

No comments: