Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Saturday, August 27, 2011

VODACOM MISS TANZANIA KUCHUANA KATIKA MICHEZO LEO


Warembo wanaowania taji la Vodacom Miss Tanzania 2011, leo wanatarajia kuchuana katika kuonyesha vipaji vyao katika michezo, kwenye ufukwe wa Jangwani Sea Breeze, Dar es Salaam.
Tukio hilo litakaloanza saa 3:00, ni miongoni mwa vipengele (fast tracks) vitano vya awali vya kinyang’anyiro hicho ambapo washindi hutinga moja kwa moja katika hatua ya nusu fainali.
Tayari warembo wawili wameshapata tiketi ya kuingia nusu fainali ya mashindano hayo ambao ni Mwajabu Juma aliyeshinda taji la Top Model na Tracy Sospeter aliyeshinda taji la Miss Photogenic.
Mbali ya vipengele hivyo, vingine vilivyobaki ni Kipaji (Talent) na Mvuto (Personality) ambapo mshindi wake hutangazwa kila wiki kabla ya fainali za taifa zilizopangwa kufanayika Septemba 10, mwaka huu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Lino International Agency, waandaaji wa shindano hilo, Hashim Lundenga, michezo itakayohusishwa leo ni riadha, mbio za magunia, kuogelea, kuruka chini, mpira wa miguu, mpira wa pete, kuvuta kamba na mingineyo.
Shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011, limedhaminiwa na Vodacom, Redd’s Original, New Habari (2006) Ltd, Star TV, Giraffe Hotel na Papa Zee Entertainment.


KIM KARDASHIAN ARUDI TOKA HONEYMOON
Kim Kardashian and new hubby Kris Humphries were spotted arriving back home in LaLa land after a mini honeymoon in Europe. The couple was snapped by the paps at LAX Airport last night looking refreshed and relaxed.


RIHANNA KIDEONI TENA
The video shows us different images from her LOUD Tour. We get to see RiRi doing all sorts of rockstar sh*t, posing with fans, getting on private jets, hanging out with her BFF Melissa and of course dancing her a** off on stage. Avril Lavigne even makes an appearance.
Our favorite Barbadian beauty, Rihanna, just hit us with her newest video for "Cheers (Drink To That)" off her LOUD album.

No comments: