Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, August 9, 2011

WAREMBO WA MISS TANZANIA WAFUNDWA NDANI YA GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL


 Warembo wanao wania taji la Vodacom Miss Tanzania 2011, wakifuatilia mafunzo katika semina maalum ya warembo hao inayoendelea katika Hotel ya Giraffe Ocean View iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. Warembo hawa baada ya kumalizika semina hii watahamia katika Jumba la Vodacom House.
 Mkurugenzi wa Lino International Agency, Waandaaji wa Miss Tanzania, Hasim Lundenga (katikati) akifafanua jambo wakati wa semina maalum kwa washiriki wa Vodacom Miss Tanzania 2011. Kulia ni Mkurugenzi wa Ukuzaji Sanaa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Nsao Shalua na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania Prashant Patel.
Warembo wakiunga mkono hoja kwa kuipigia makofi. Warembo 30 wapo kambini kwaajili ya kujifua na mchuano huo utakao fanyika mwezi Septemba jijini Dar es Salaam.
Wanyange hawa leo watapandaa jukwaani katika shindano dogo la kumsaka Miss Top Model. Mrembo ambaye moja kwa moja atapata tiketi ya kuingia nusu fainali za Miss Tanzania.
 
 
NATALIE NUNN NA BOIFRIEND MPYA
Natalie Nunn was out and about yesterday for the first time since she collapsed last month in her home.
Natalie was spotted with her boyfriend in Los Angeles getting her shop on at The Grove.



MASTAA WA MOVIE WAJIACHIA KISAWASAWA
Miley Cyrus and her new hubby Liam Hemsworth from the upcoming movie The Hunger Games spent a nice romantic day in Toluca Lake, L.A. yesterday.
Not worried about the public, they took a patio table at a restaurant and didn't only enjoy their food, they also looked to be enjoying each other's company

No comments: