Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, September 17, 2012

SALOME KIULA NA FATMA HUSSEIN WAIBUKA WASHINDI MISS UTALII

 
 Miss Utalii Wilaya ya Ilala, Salome Kiula (katikati) akiwa amepozi pamoja na mshindi namba mbili Caroline Yust (kulia) na mshindi wa tatu Lucy Julius.
 Miss Utalii Wilaya ya Ilala, Salome Kiula (kulia) akiwa na Miss Utalii Wilaya ya Kinondoni Fatuma Hussein muda mfupi baada ya kutawazwa kuwa mamalikia wa utalii katika mashindano yaliyofanyika usiku wa kuamkia leo.

 Miss Utalii mwenye kipaji Wilaya ya Ilala, Zourha Malisa
 Miss Utalii mwenye kipaji Wilaya ya Kinondoni, Doreen Pereus 
 
 
 
 
 Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe akizungumza na umati wa watu waliofurika kushuhudia mashindano hayo.
 Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe
 
 
 Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe akitoa zawadi kwa miss utalii kiaji, Zourha Malisa
 
 

 Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe katika picha ya pamoja na mamiss utalii Ilala na Kinondoni
 
 
 
 
 
 

 


No comments: