Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, October 5, 2011

BOMOABOMOA YALETA MSIBA KWA FAMILIA 80 JIJINI MWANZA


  Zaidi ya kaya 80 katika Mtaa wa Ghana jijini Mwanza hazina mahali pa kuishi kutokana na Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza jana majira ya saa 3 asubuhi kubomoa nyumba walizokuwa wanaishi ili kupisha ujenzi wa mradi wa Jengo la Machinga Complex.
   Kwa siku ya leo imekuwa ni kama mwendelezo watu waliokuwa wakiishi katika nyumba hizo wameonekana wakihangaika huku na kule kuhamisha vifaa vyao kutoka katika nyumba hizo.
Wengine wakifanya mikakati ya kuhamahama kabla ghalika hajafika.
Kutokana na bomoa bomoa inayoendelea Eneo la Ghana kwa sasa limekatiwa umeme hali inayosababisha ulinzi wa mali kuwa mgumu, usiku mzima wananchi hao wamekesha kulinda mali zao kwani vibaka walikuwa wakilandalanda kuiba mali zilizonje ya magofu ya nyumba zilizobomolewa sambamba na kung’oa flemu za milango na madirisha.
Wananchi hao wameiomba serikali kuwapatia maturubai kwa ajili ya kujisitiri wakati wakiwa katika harakati ya kutafuta sehemu nyingine ya kupanga.

TANGAZO 
jiunge kwenye crew ya kijanja "UNIQUEENTERTZ.BLOGSPOT.COM" katika facebook yako ili upate habari hizi kiwepesi zaidi pia utajumuika na wajanja wenzako,mastaa kibao umejiunga wewe je utaki kuhabarika kistaa?.

MISS TOURISM MARA 2011/2012- WAREMBO WATAMBIANA USHINDI

Doreen Charles- 20
Anauhakika atashinda, Miss Tourism 2011/2012 Na atakua tayari kutangaza Vivutio vya Mkoa wa Mara Hasa Makumbusho ya Mwalimu Nyerere yaliyopo Butiama. Kwani wengi wamezoea Vivutio vya Ziwa Victoria na Mbuga ya Wanyama, Serengeti.
Ugenia Masatu- 21
Amejiandaa vizuri na mashindano na matarajio yake ni Ushindi. Endapo atabahatika kuwa Miss Tourism Mara. Atashirikiana na Taasisi mbalimbali kuutangaza utalii mkoani Mara na vilevile atakua tayari kuwaelezea wakazi wa mara faida za utalii na kuwahimiza kutembelea vivuto vinavyopatikana Mkoani Mara.
Gaudensia Joseph- 21
Amejiandaa vizuri na uhakika wa kushinda anao kwa sababu anajiamini. Iwapo atashinda taji la Miss Tourism Mara, atakua balozi mzuri katika mkoa wa Mara na kuweza kuhamasisha jamii kuondoa mila na desturi ambazo hazileti maendeleo katika mkoa wa Mara.
Suzana
Anajiamini atashinda, na yeye ndiye mshindi wa taji la Miss Tourism Mara 2011/2012. Matarajio yake baada ya kushinda taji ni kutangaza utalii wa ndani kwa nguvu zote.
Winfreda David- 21
Mategemeo yake ni kuwa mshindi, kwa sababu anajiamini na kujitambua yeye ni mrembo wa utalii. Iwapo atashinda taji la Miss Tourism Mara, ni kuwasaidia watoto yatima na watoto walio katika mazingira hatarishi.
Teddy James- 20
Anataraji kuwa mshindi kwa sababu ana vigezo vinavyostahili. Iwapo atashinda taji la Miss Tourism Mara 2011/2012 anataraji kutoa elimu kuhusu madawa ya Kulevya.
Veronica Fredrick- 18
Matarajio yake ni ushindi kwa sababu anajiamini kwa kile anachokifanya na amejiandaa kikamilifu. iwapo atashinda taji la Miss Tourism atakua tayari kuwasadia wajane, watoto yatima na waathirika wa Ukimwi.

Veronica Josephat- 19
Anataraji ushindi, kwa sababu anajiamini na anamvuto unaokubalika. Iwapo atashinda taji la Miss Tourim Mara 2011/2012 atazuia mila potofu za ukeketaji kwa wanawake.
Ramla Yunus- 21
Anataraji Kunyakua taji la Miss Tourism Mara 2011/2012 kwa sababu ana vigezo vyote kwa sababu amewasoma wenzake na kukuta wana mapungufu, kutokana na urembo wake na ufahamu wa mambo ya utalii na Utamaduni wa Mkoa wa Mara. Iwapo atashinda anataraji kuielimisha jamii kuhusu mila potufu ya kuwafanyia wasichana tohara na kuutangaza utalii wa ndani wa mkoa wa Mara.

Jasmine Salum- 20
Anasema tayari yeye ni mshindi wa Taji la Miss Tourism Mara 2011/2012 na atakua tayari kulinyakua taji la kanda ya ziwa na kunyakua taji la taifa. Anajiamini na anamvuto unaokubalika.
Anataraji kusaidia watoto yatima, waathirika wa ukimwi na watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.


MR.VEGAS ASHEREKEA BIRTHDAY YAKE KIAINA
mr_vegas_birthday_party.jpgInternational superstar Mr. Vegas celebrated his birthday in fine style with a rollicking wild party at Oakland's New Karibbean City last week. The occasion was Spicey Promotions' 10th anniversary party and boy was it crazy!
The New Karibbean City is an incredible venue, warehouse-like, with high ceilings, and tall windows. Huge paintings of Bob Marley adorn the walls which are dotted with Jamaican flags and an imposing Lion of Judah symbol. The venue was packed and inside was suffocatingly hot when Mr. Vegas hit the stage at 1:30 a.m and the temperate spiked again. He started off with the aggressively infectious "She's a Hoe" and people shouted out the lyrics as they sang along word for word, while other patrons ‘daggered’ suggestively 

MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI KUFANYIKA KITAIFA MKOANI KAGERA

Maandamano ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani Tarehe 3-10-2011 mpaka 8-10-2011 kitaifa yazinduliwa Mjini Bukoba

Viunga Katikati ya mji wa Bukoba maandamano yalikatiza kuelekea viwanja vya Ghemkana
Wadau Mbalimbali,wawakilishi wa vikundi kadha wa kadha, na mashirika yasiyo ya Kiserikali pamoja na wanafunzi
Barabara ya Samwel Luangisa kuelekea kati ya viunga vya NBC Bank kuelekea Manispaa wengi usema (kuelekea Kaitaba).


Kim Kardashian Ferrari
Kim Kardashian
just dropped a cool $325,000 on a pimped out new Ferrari, uniqueentertz has learned … and it may only be the SECOND most expensive ride in her MILLION DOLLAR auto collection.
 
The reality star picked up the super-customized, super-rare 458 Italia from Plantinum Motorsport in L.A. earlier this week ... the same place where she got that famous fleet of Phantoms for her wedding.

Kim’s new lightning fast car is painted white – which is shocking, ‘cause she typically prefers black speedsters.

Earlier this year, Kim picked up a BALLER customized Rolls Royce Ghost. It’s unclear how much she paid for that ride, but they usually START at $255k.

Kim also has a “super-charged” $115k Range Rover in her garage – along with several other cars she likes to drive when she doesn’t feel like showing off.

No comments: